Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Ha ha h hamna lolote hapa tunataka watu watokwe na mapovu tuMbona Dau anajadiliwa sana leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha h hamna lolote hapa tunataka watu watokwe na mapovu tuMbona Dau anajadiliwa sana leo
mkuu umeniquote vibayaUmeambiwa waisraeli/wayahudi wanaendekeza mambo ya dini sana?
Sawa Mkuu. Heshima yakomkuu umeniquote vibaya
Vita vya kanisa dhidi ya uislamu na waislamu haitaisha mpaka pale Tanzania itakapotangazwa kuwa nchi ya msalabaDr Dau lazima arudishwe nyumbani haraka sana na uteuzi wake unatakiwa kutenguliwa kupisha uchunguzi kuhusu tuhuma za hizo bilioni zimeliwa.
Unajua ile ya "Kimambi" haikuwa masihara !! Lakini...wapi anadunda tu! nadhani pia atazidi kudunda tu!Bumbuli Development Iniatiative hawachomoki.... Mr. February nasikia anahaha vibaya sana
Hata mie nilitaka kuhoji hilo jambo, naona watu wamemic sana[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Mbona Dau anajadiliwa sana leo
Kuna tetesi kuwa Dau atarudishwa nyumbani muda wowote kuhojiwa na maafisa wa Takukuru .
Pia atatakiwa kuwataja washirika wake waliofanikisha ukwapuaji wa mamilioni pale NSSF
Inasemekana mkuu anataka kujua ukweli kwanza kabla ya kuchukua hatua za kumtumbua.
Tulieni kwanza!!Mshirika mkubwa wa NSSF ni serikali ya CCM.Srikali ya CCM itueleze ilivyonufaika na uongozi mbovu wa NSSF.Haiwezekani yote hayo yatokee bila kengele kulia mahali na kama kengele ililia nani aliinyamzisha?Kuna tetesi kuwa Dau atarudishwa nyumbani muda wowote kuhojiwa na maafisa wa Takukuru .
Pia atatakiwa kuwataja washirika wake waliofanikisha ukwapuaji wa mamilioni pale NSSF
Inasemekana mkuu anataka kujua ukweli kwanza kabla ya kuchukua hatua za kumtumbua.
Vipi kuhusu wale wa escrow na PAP?....Nao watashukiwa lini na mkulu?Kuna tetesi kuwa Dau atarudishwa nyumbani muda wowote kuhojiwa na maafisa wa Takukuru .
Pia atatakiwa kuwataja washirika wake waliofanikisha ukwapuaji wa mamilioni pale NSSF
Inasemekana mkuu anataka kujua ukweli kwanza kabla ya kuchukua hatua za kumtumbua.
wewe si ulikua unataka kujenga nyumba ya vyumba viwili na sebule ndomanaMaeneo ambayo NSSF walinunua kiwanja kwa milioni mia saba kwa heka mie nilipewa ofa ya kununua kwa milioni mbili kwa heka!