Tetesi: Dr Dau kurudishwa nyumbani kimya kimya!!

Tetesi: Dr Dau kurudishwa nyumbani kimya kimya!!

Inasemekana, inasemekana, inasemekana.

Kwa kusemekana tu, hamjambo.

Hovyooo.
Mbona inasemekana Dau hausishwi na Ufisadi? au ndio kusemekana pia na uhovyooo? Kama kapiga pesa kapiga tu Maandishi yapo na Statements ya Bank huwa hazidanganyi...
 
Mbona inasemekana Dau hausishwi na Ufisadi? au ndio kusemekana pia na uhovyooo? Kama kapiga pesa kapiga tu Maandishi yapo na Statements ya Bank huwa hazidanganyi...
Unataka tujadili huu uharo wako?
 
Natamani kujua Dr Dau ameitoa wapi NSSF kabla yake.. Natamani kumjua pia mtangulizi wake aliifanyia nini NSSF. Lakini natamani kuona report kamili ya tuhuma za Hon Dau sio tetesi kila siku.
 
Natamani kujua Dr Dau ameitoa wapi NSSF kabla yake.. Natamani kumjua pia mtangulizi wake aliifanyia nini NSSF. Lakini natamani kuona report kamili ya tuhuma za Hon Dau sio tetesi kila siku.
Kinachomponza Dau ni dini yake ya Uislam hamna kingine angekuwa mwana kwaya wala usingesikia hizi kelele.
 
Tangu alipoteuliwa kuwa Balozi nilijua tu kwamba lengo ni kuja kumuaibisha hapo baadaye. Haiwezekani umsimamishe mtu kwa kashfa, badala ya kusubiri uchunguzi wa kashfa zilizokupelekea umsimamishe wewe unamteua kwa nafasi nyingine.
 
Malasia walikuwa wameshapokea nyaraka zake za ubalozi?
 
Unataka tujadili huu uharo wako?
We sema ni Uharo japo uharo ndio huyo Mwizi... Unalo hilo... Mzee wa Msoga ana kinga la sivyo mngeimba nyimbo zenu za kigoma karuba yeee
 
We sema ni Uharo japo uharo ndio huyo Mwizi... Unalo hilo... Mzee wa Msoga ana kinga la sivyo mngeimba nyimbo zenu za kigoma karuba yeee
Bado tu unaandika uharo?
 
Watu wajadili mada ya uwajibikaji bila kuiba hela za umma,
 
Back
Top Bottom