Tetesi: Dr Dau kurudishwa nyumbani kimya kimya!!

Tetesi: Dr Dau kurudishwa nyumbani kimya kimya!!

Mkuu dau na maofisa wote waliosimamishwa Nssf walishahojiwa kinachosubiriwa ni ripoti baada ya kufanya ukaguzi/uchunguzi mpya,ishu hapa syo dege tu Bali kuna tuhuma nyingi vijiweni viwanja hewa,can u imagine uongozi mpya ulienda kutembelea shamba LA kuwekeza kulima miwa walipowasiliana na wenyeji kutaka waongezewe eneo wakaambiwa lazima wawasiliane kwanza na mwenye eneo kuuliza mwenye eneo nani wakaambiwa ni Nssf,na mwenyeji alikuwa hajui anaongea nao ni viongozi toka Nssf,na hilo shamba halimo ktk register ya assets za shirika.ukiambia madudu yote ya Nssf utafariki mkuu
Aiseee kuiongoza hii nchi lazima ujitoe ufahamu kwanza manake usipo angalia unaweza kumtumbua hata mzazi wako hii nchi watu walikuwa wezi sana daa namwonea huru Rais wangu anasafari ndefu sana maombi yanahitajika kwa kweli.
 
Hakuna jipya hapo angekuwa ni DC,DED,RAS,DAS and the like angetumbuliwa......ya LUGUMI vipi jamaa si wadunda tu!!
 
Bumbuli saccos ni kina nani? hii nchi kila mfanya kazi wa umma mwenye kacheo kidogo ni mwizi sijui ni kwa nini? kikwete aliizinisha wizi nchini kama kazi ya kujipatia kipato kwa wafanyakazi wa umma. Na nchi hii Tanzania wasomi ndo wanaliangamiza Taifa, hawako pale kusaidia Taifa wako pale kuiba tu,wasomi wanatakiwa wajue kuwa ukitaka pesa za haraka na nyingi ni kufanya biashara sio kuiwaibia watanzania, binafsi naona katika nchi za Afrika mashariki Tanzania tunaongoza kwa ufisadi kwa sasa, maana kila sehemu ni wizi wizi tu,sio wanasiasa, sio watumishi wa umma , imefikia wakati serikali itoe adhabu kali kwa hawa mafisadi, ikibidi tuanze kuwanyoga ,tutoe adhabu kali ili liwe fundisho kwa kizazi hiki na kichajo, lasivyo watu hawataongopa rushwa, watachukulia ni swala la kawaida ,watu wanaiba wanatumia hizo pesa kwenda mahakamani kuendesha kesi na wanashinda. Ifike mahali hata maafisa wa Takururu/DPP waanze kuchunguzwa na kupewa adhabu kali wanaposhindwa kesi hizi za ufisadi. Huu mchezo wa kuwasimamisha au kuwafukuza kazi bila kufunga au kunyonga watu hatuwezi kufika, hakuna mtu atakae ogopa rushwa kwa mchezo huu tunaocheza kwa sasa.
Aisee umenigusa kusema ukweli nilishachoka na hii nchi especially kama ulishakaa nje miaka mingi unaweza ona tabu...wezi wa serikali wangesema wa seize Mali zao zote na zitaifishwe zikafanyie kazi zingine.whats the point unaiba na kufukuzwa tu...serikali chukuwa mali zao zooteeeeeee pesa zikipatikana tukafanyie mambo ya maana. Na wakifanya hivyo watakuta wengi mno wameiba
 
Nilisema from day one kuwa Dau atalipiwa aibu ya mwaka. Chezea wataalam wa kulipiza visasi.
 
Bumbuli saccos ni kina nani? hii nchi kila mfanya kazi wa umma mwenye kacheo kidogo ni mwizi sijui ni kwa nini? kikwete aliizinisha wizi nchini kama kazi ya kujipatia kipato kwa wafanyakazi wa umma. Na nchi hii Tanzania wasomi ndo wanaliangamiza Taifa, hawako pale kusaidia Taifa wako pale kuiba tu,wasomi wanatakiwa wajue kuwa ukitaka pesa za haraka na nyingi ni kufanya biashara sio kuiwaibia watanzania, binafsi naona katika nchi za Afrika mashariki Tanzania tunaongoza kwa ufisadi kwa sasa, maana kila sehemu ni wizi wizi tu,sio wanasiasa, sio watumishi wa umma , imefikia wakati serikali itoe adhabu kali kwa hawa mafisadi, ikibidi tuanze kuwanyoga ,tutoe adhabu kali ili liwe fundisho kwa kizazi hiki na kichajo, lasivyo watu hawataongopa rushwa, watachukulia ni swala la kawaida ,watu wanaiba wanatumia hizo pesa kwenda mahakamani kuendesha kesi na wanashinda. Ifike mahali hata maafisa wa Takururu/DPP waanze kuchunguzwa na kupewa adhabu kali wanaposhindwa kesi hizi za ufisadi. Huu mchezo wa kuwasimamisha au kuwafukuza kazi bila kufunga au kunyonga watu hatuwezi kufika, hakuna mtu atakae ogopa rushwa kwa mchezo huu tunaocheza kwa sasa.
Hakiyamungu hadi kitanzi ndio watakoma.
 
hapo mkulu atakuwa amejijengea jina kimataifa zaidi
 
Mkuu dau na maofisa wote waliosimamishwa Nssf walishahojiwa kinachosubiriwa ni ripoti baada ya kufanya ukaguzi/uchunguzi mpya,ishu hapa syo dege tu Bali kuna tuhuma nyingi vijiweni viwanja hewa,can u imagine uongozi mpya ulienda kutembelea shamba LA kuwekeza kulima miwa walipowasiliana na wenyeji kutaka waongezewe eneo wakaambiwa lazima wawasiliane kwanza na mwenye eneo kuuliza mwenye eneo nani wakaambiwa ni Nssf,na mwenyeji alikuwa hajui anaongea nao ni viongozi toka Nssf,na hilo shamba halimo ktk register ya assets za shirika.ukiambia madudu yote ya Nssf utafariki mkuu
Hakuna kitu kama hicho. Kama kawaida yetu watanzania, tunaanziwa issue , basi kila mmoja anatengeneza story yake na kuipachika katika hiyo issue, na kila mmoja jee ndiye ajuaaye. We are the most evil and jelousy lot in Africa, tumeshika number moja kwa karne kadha na hakuna wakutufikia.

Hoja za NSSF hakuna jipya tulishalisikia siku njingi. Cha kushangaza yote haya yalisemwa sana, kwa nini siku zote hizo halikushugulikiwa, leo Dau kapewa ubalozi limeanza upya.

Hapa pana kitu kuna visasi vinajengwa na naona sasa vimekamilika, na leo wakimdhalilisha Serekali yetu itaabika na kuonekana ina siasa za chuki na visasi.

Mheshimiwa Raisi jichunge na hili, kama nia ni kumpata ZITTO Iku njia nyingi sana, lakini hili la kutaka kuua ndege wawili kwa jiwe moja linaleta sura mbaya sana.

Na pia tujiulize huyu mkurugenzi wa idara ya upelelezi aliyetenguliwa leo, ni kwa sababu gani? Jee sababu ni Dau au Zitto??
 
Kuna tetesi kuwa Dau atarudishwa nyumbani muda wowote kuhojiwa na maafisa wa Takukuru .

Pia atatakiwa kuwataja washirika wake waliofanikisha ukwapuaji wa mamilioni pale NSSF

Inasemekana mkuu anataka kujua ukweli kwanza kabla ya kuchukua hatua za kumtumbua.
Kwa nini ajue ukweli wa huyu wakati wengine anatumbua tu? Huyu ni untouchable?
 
Hapa haponi mtu, wote kina Lowasa wanafuatia na Richmond yao. Ufissdi uliotukuka wa kwenda kutukodishia majenerator na kufunga mikataba mibovu ambayo inatufunga kwa kulipa mamilioni ya pesa eitha wamewasha au hawajawasha, wakati tungeweza kununua na kuokoa ma trilioni.
 
ni ndoto ya mchana serikar ya ccm kumshitaki dr dau hawa ni sehem yao ukiona unapewa nafasi kwenye haya mashirika ya umma basi una extra quality sio kiraisi raisi tu mifuko ya ifadhi ya kijamii ni vichaka sana.vya wakubwa kufanya mambo yao serikar inadaiwa kias gan na mifuko hiyo?? kama lugumi ,iptl ,na magumashi mengine yamepotezewa basi watatia pamba na ilo kwa faida ya yao
 
Back
Top Bottom