Tetesi: Dr Dau kurudishwa nyumbani kimya kimya!!

Tetesi: Dr Dau kurudishwa nyumbani kimya kimya!!

Haponi MTU msimu huu, utachekewa na huku unachunguzwa ukibainika unaweza kufa kwa presha pindi udhalimu wako utakavyo sambaa mitandaoni.
Udhalimu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bumbuli saccos ni kina nani? hii nchi kila mfanya kazi wa umma mwenye kacheo kidogo ni mwizi sijui ni kwa nini? kikwete aliizinisha wizi nchini kama kazi ya kujipatia kipato kwa wafanyakazi wa umma. Na nchi hii Tanzania wasomi ndo wanaliangamiza Taifa, hawako pale kusaidia Taifa wako pale kuiba tu,wasomi wanatakiwa wajue kuwa ukitaka pesa za haraka na nyingi ni kufanya biashara sio kuiwaibia watanzania, binafsi naona katika nchi za Afrika mashariki Tanzania tunaongoza kwa ufisadi kwa sasa, maana kila sehemu ni wizi wizi tu,sio wanasiasa, sio watumishi wa umma , imefikia wakati serikali itoe adhabu kali kwa hawa mafisadi, ikibidi tuanze kuwanyoga ,tutoe adhabu kali ili liwe fundisho kwa kizazi hiki na kichajo, lasivyo watu hawataongopa rushwa, watachukulia ni swala la kawaida ,watu wanaiba wanatumia hizo pesa kwenda mahakamani kuendesha kesi na wanashinda. Ifike mahali hata maafisa wa Takururu/DPP waanze kuchunguzwa na kupewa adhabu kali wanaposhindwa kesi hizi za ufisadi. Huu mchezo wa kuwasimamisha au kuwafukuza kazi bila kufunga au kunyonga watu hatuwezi kufika, hakuna mtu atakae ogopa rushwa kwa mchezo huu tunaocheza kwa sasa.
Mkuu haya Maoni hayaonekani vizuri na ni ngumu mno kwa mtu kusoma kila adia ya kila uzi. Anzisha uzi wake maana yapo kizalendo sana, ili yaonekane, haya maoni yangu lakini
 
Huyu mzee hajakaa kifisadi, ila labda kama anajusika ni sababu yeye alikuwa bosi hivyo anawajibika sababu ya wa chini yake!!
 
Hamna kitu hapo kwani kwa Lugumi, Escrow, UDA kuna nini kimefanyika?
 
Kama unakumbuka siku ile ya uzinduzi wa daraja la Nyerere Mh. Alimsifia Dau kinyume na watu walivyokuwa wanawaza ngoja tuone part two kama star atapona mbele ya jambazi.
 
Hakuna jiwe litakaloachwa bila kugeuzwa! Waliotumia nafasi zao vibaya wote wanayo ya kutujibu! Mahakama za mafisadi zifanya kazi yake!
 
Kama unakumbuka siku ile ya uzinduzi wa daraja la Nyerere Mh. Alimsifia Dau kinyume na watu walivyokuwa wanawaza ngoja tuone part two kama star atapona mbele ya jambazi.
Usiamini Kwenye Ccm MkubwA
Tena Wanakufa Na Wauaji Wanajulikana Ila Kimya
Container Za Pembe Zinakamatwa Ughaibu Halafu.....
 
Uzur wa Magu huwa haangalii sura.Sitashangaa akirudishwa
 
Tutampokea Airport Kwa Furaha Maana Haiwezekani
Aipe Pesa Newcastle United Hapa Home Hali Mbaya
 
Back
Top Bottom