technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Udhalimu [emoji23][emoji23][emoji23]Haponi MTU msimu huu, utachekewa na huku unachunguzwa ukibainika unaweza kufa kwa presha pindi udhalimu wako utakavyo sambaa mitandaoni.
Inasemekana, inasemekana, inasemekana.
Kwa kusemekana tu, hujambo.
Hovyooo.
Mkuu haya Maoni hayaonekani vizuri na ni ngumu mno kwa mtu kusoma kila adia ya kila uzi. Anzisha uzi wake maana yapo kizalendo sana, ili yaonekane, haya maoni yangu lakiniBumbuli saccos ni kina nani? hii nchi kila mfanya kazi wa umma mwenye kacheo kidogo ni mwizi sijui ni kwa nini? kikwete aliizinisha wizi nchini kama kazi ya kujipatia kipato kwa wafanyakazi wa umma. Na nchi hii Tanzania wasomi ndo wanaliangamiza Taifa, hawako pale kusaidia Taifa wako pale kuiba tu,wasomi wanatakiwa wajue kuwa ukitaka pesa za haraka na nyingi ni kufanya biashara sio kuiwaibia watanzania, binafsi naona katika nchi za Afrika mashariki Tanzania tunaongoza kwa ufisadi kwa sasa, maana kila sehemu ni wizi wizi tu,sio wanasiasa, sio watumishi wa umma , imefikia wakati serikali itoe adhabu kali kwa hawa mafisadi, ikibidi tuanze kuwanyoga ,tutoe adhabu kali ili liwe fundisho kwa kizazi hiki na kichajo, lasivyo watu hawataongopa rushwa, watachukulia ni swala la kawaida ,watu wanaiba wanatumia hizo pesa kwenda mahakamani kuendesha kesi na wanashinda. Ifike mahali hata maafisa wa Takururu/DPP waanze kuchunguzwa na kupewa adhabu kali wanaposhindwa kesi hizi za ufisadi. Huu mchezo wa kuwasimamisha au kuwafukuza kazi bila kufunga au kunyonga watu hatuwezi kufika, hakuna mtu atakae ogopa rushwa kwa mchezo huu tunaocheza kwa sasa.
Ngoja abatizwe kwa Moto.Bumbuli Development Iniatiative hawachomoki.... Mr. February nasikia anahaha vibaya sana
Nauona Ubatizo wa Moto kwa Jicho la tatu.Makamba junia ataandika kimemo labda this taimu kitatekelezwa.
Link Waziri Mkuu: Makao Makuu ya makanisa kujengwa DodomaHii misaada ya kujengewa misikiti itasababisha na wa upande wa pili nao watafute wa kuwajengea makanisa. Najaribu tu kufikiri...Msikiti wa Ghadafi Dodoma. Sasa huu sijui utakuwa msikiti wa Morocco (Dar)?
Usiamini Kwenye Ccm MkubwAKama unakumbuka siku ile ya uzinduzi wa daraja la Nyerere Mh. Alimsifia Dau kinyume na watu walivyokuwa wanawaza ngoja tuone part two kama star atapona mbele ya jambazi.
Uzuri mimi sio mtanzania ngoja nirudi nyumbani wiki ijayo.Usiamini Kwenye Ccm MkubwA
Tena Wanakufa Na Wauaji Wanajulikana Ila Kimya
Container Za Pembe Zinakamatwa Ughaibu Halafu.....