Design ya Iddi Amin, alikua anakuchekea na dakika tano mbele mood inabadilika. Wataalam wanaotaka hali hiyo schizophreniaNiliwahi kuambiwa, na mtu mmoja mkubwa sana katika vyombo vya usalama, ambaye kutokana na nafasi yake, ni sharti aongee na Rais kila siku, alisema, 'tuna Rais kichaa, anaweza kuua, anaweza kumfunga mtu yeyote, msidhani ni utani"
Marehemu hakuwa mzima. Kuna wakati alikuwa anakuwa afadhali, kuna wakati ilikuwa dhahiri kabisa ana tatizo la afya ya akili.
Samaki mkunje angalia mucho, akikauka ukimkunja atavunjika, hivyo njia nyingine rahisi ni "kumloweka" ili Madhara ya kuvunjika yasiwe mabaya sana. Kwa wahunzi wanasema kikunje chuma kikiwa cha moto kinakuwa kama uji uni.Mpaka kadamu kamwagikepo ndio katiba ipatikanepo
Jinyonge au kaombe interview startvNimefatilia interview ya Diallo, inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii akiishutumu serikali ya JPM, serikali iliyopambana kwa ajili ya wananchi. Naenda kujibu hoja zake kwa niaba ya JPM. Rais ambaye ntampigania mpaka kufa...
Mbona ameeleweka sana kwamba hao representative wanaangalia maslahi yao sasa wewe hapo kigumu kukielewa nini nini . Je katika kuzisoma hizo njia, ulijifunza uzuri wake na ubaya wake? Sasa katika ubaya wake ulielewa nini???Arudi kusoma vitabu vya Civics topic ya direct and indirect democracy!
View attachment 1847692
Mara tu baada ya uchuguzi ghushi wa 2015 wapinzani kwa maana ya CHADEMA wakaanza kushughulikiwa vilivyo na mtesi mkuu aliyeapa kuifuta CHADEMA kwenye ramani ya siasa za Tanzania ifikapo 2020...
View attachment 1848066
Fisadi tu wanampamba mama irudi kuiba mijitu mingine aiwezi ishi bila ya hela za serikali na CCM. Biashara zilifungwa sasa hizo ajira ziliongezeka vipi kwa mujibu wa NBS.
Watu wafunge viwanda halafu kila mwaka ajira karibu laki saba zizalishwe, uchimi gani.
View attachment 1848074
Katika miaka ya Magufuli sector ya uzalishaji (viwanda) na services sector ndio ajira zimeongezeka source ya hizo data huwa ni registered number of employees paying PAYE that is what IMF and world bank expect to get your data from.
Hivi kama watu walikuwa wanaondoa mitaji ya biashara hizo ajira zilitoka wapi IMF would want to verify hizo data ndio maana PAYE is the only credible source.
Yaani mtu anaweza tunga uongo inakuwa raisi kuwa na cascading effect Tanzania kirahisi sana; itβs appalling in this age of information to have a such an easily gullible society.
Next waulize hizo data za watu kufunga biashara na Magufuli kuharibu uchumi zipo wapi zaidi ya upuuzi tu kwenye vichwa vyao.
Mbona hajasema alivyo nyanyaswa na Severe Mkurugenzi wa Utalii , wakati Yeye ni Naibu waziri wa Utalii, na EL ndio waziri mkuu. N.a. haya yanawezeshwa na katiba mbovu ambayo ina dekeza upendeleoDiallo ametema nyongo ya madhila tuliyopata katika awamu ya Magufuli! Amesema kamwe tusije rudia kuchagua mtu ambaye hatuna historia yake...
Lazima Diallo ataitwa kwenye kamati ya maadili ya chama kama Kinana!
Kwakuwa sahara midia ilifungwa kwa kutolipa madeni ya zaidi ya bilion. Halafu shujaa akamlazimisha kulipa fedha ilikujenga miundombinu ya maendeleo ya watanzania. Kumbe utawala ulikua mbovu kwa namna hiiiii??Na amesema tulikuwa na kiongozi mwenye matatizo ya akili. Hivyo tusirudie tena kupata viongozi wa aina ile. Anasema huyo jamaa alikuwa ni mlevi wa madaraka.
PumbavuuuuuuuuJizi kama hili nani analitaka..mkwepa kodi mpuuzi kabisaa..walifungiwa na TRA kwa kutokulipa kodi wafanyazi wengi wa star tv wakahama pale wengine walikuwa wanajitolea kufanya kazi..ebu nyie nyamazeni jpm alipambana na majitu ya ajabu..sanaaa..walikomeshwaa sasa hv yanarudi kwa kasi kama hawa kina sexless..watu waliofukuzwaa kwa kuwa na vyeti feki na wauza ngadaaa...
Note this..it will take more than a century to have someone like jpm...
Naiona Katiba Mpya ileee inakaribia.Na amesema tulikuwa na kiongozi mwenye matatizo ya akili. Hivyo tusirudie tena kupata viongozi wa aina ile. Anasema huyo jamaa alikuwa ni mlevi wa madaraka.
Vingi mnoo ni nyie wapumbavu wachache mliovaa miwani ya mbao na kutia pamba masikioni ila soon muda haujulikani ni saa ngapi usipoongea wewe ata mawe yatasema uzuri na mema ya magufuliHuyu mwenye legacy ya sanamu la shaba kawaachia nini watanzania cha kujivunia?
Ndio inavyotakiwa kufanyika ili kupata katiba imara. Yaani mtu ukikubali kuwa mjumbe wa tume, kamati au taasisi yoyote ya mchakato wa katiba mpya unapaswa kutengwa kabisa kimadaraka yoyote ya nchi, iwe kuchaguliwa au kuteuliwa kwa miongo kadhaa ili kuondoa conflict interest.Nimekuwa nahubiri hiyo ambapo conflict of interest lazima iangaliwe. Njia ya kufanya ni kubadili kwanza sheria na kuhakikisha yeyote atakayehusika na katiba mpya asigombee kwa muda wa miaka 20. Hapo tutapata katiba konki.
Afadhali angalau umepatikana mmoja mwenye ufahamu si hawa akina Erythrocyte kupiga madebe katiba bila kuona hatari inayotukabili. Angalau ile ya Warioba ilikuwa na uhai kuliko draft ya JK na mifisadi myenzakeNdio inavyotakiwa kufanyika ili kupata katiba imara. Yaani mtu ukikubali kuwa mjumbe wa tume, kamati au taasisi yoyote ya mchakato wa katiba mpya unapaswa kutengwa kabisa kimadaraka yoyote ya nchi, iwe kuchaguliwa au kuteuliwa kwa miongo kadhaa ili kuondoa conflict interest.
Hilo halikufanyika kipindi kile cha katiba la Warioba, lilikuwa ni kosa kubwa mnoo.