Dr. Diallo: Katiba inatengenezwa na Wananchi siyo Wanasiasa, 2014 tuliikosa katiba mpya kwa ubinafsi wa wanasiasa CCM ikiwemo!

Dr. Diallo: Katiba inatengenezwa na Wananchi siyo Wanasiasa, 2014 tuliikosa katiba mpya kwa ubinafsi wa wanasiasa CCM ikiwemo!

Tuna mashujaa wawili wa wakati huu katika nyanja mbili tofauti...!
SOKA; Mzee MPILI
SIASA: Mzee DIALLO.
TRUE!
1625874436570.png
 
47506356-B44B-4E1D-97B1-392DA91849E0.jpeg


Fisadi tu wanampamba mama irudi kuiba mijitu mingine aiwezi ishi bila ya hela za serikali na CCM. Biashara zilifungwa sasa hizo ajira ziliongezeka vipi kwa mujibu wa NBS.

Watu wafunge viwanda halafu kila mwaka ajira karibu laki saba zizalishwe, uchimi gani.



5F4E055B-D91A-401B-8662-6E479E73CE83.jpeg


Katika miaka ya Magufuli sector ya uzalishaji (viwanda) na services sector ndio ajira zimeongezeka source ya hizo data huwa ni registered number of employees paying PAYE that is what IMF and world bank expect to get your data from.

Hivi kama watu walikuwa wanaondoa mitaji ya biashara hizo ajira zilitoka wapi IMF would want to verify hizo data ndio maana PAYE is the only credible source.

Yaani mtu anaweza tunga uongo inakuwa raisi kuwa na cascading effect Tanzania kirahisi sana; it’s appalling in this age of information to have a such an easily gullible society.

Next waulize hizo data za watu kufunga biashara na Magufuli kuharibu uchumi zipo wapi zaidi ya upuuzi tu kwenye vichwa vyao.
 
Hao wazee ni wabinafsi tu,

Ni aina ya watu ambao wamezoea kujinufaisha tu.
 
Daah kumbe ccm ilipasuka vipande vipande kiasi hiki?
Anathubutu kusema JPM alikuwa na file mirembe!
Na sasa watu wanafuraha...hahaha
Tulipokuwa tukiyaandika haya tulikuwa tukinangwa kishenzi na lmb7 na mataga...leo kila kitu hadharani
 
Nimefatilia interview ya Diallo, inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii akiishutumu serikali ya JPM, serikali iliyopambana kwa ajili ya wananchi. Naenda kujibu hoja zake kwa niaba ya JPM. Rais ambaye ntampigania mpaka kufa.


1. Kwanza, naomba ujue kuwa kudhamini chama kwenye kampeni hukulazimishwa, wewe kama mwanachama ni wajibu wako. Hivyo usitegemee hela ya wananchi walala hoi, ndio wakulipe pesa eti ulipigana kunusuru chama kushindwa uchaguzi 2015.

2. Eti chama kiwe kinaangalia mtu kabla ya kumuweka kuwania urais,.

Chama chenu ni cha vichaa kwa sababu mlimchagua kichaa. Ina maana hamukuona wengine mpaka mkamuona JPM? Ukweli utabakia kuwa ukweli tu, chama chenu kilikuwa kimeoza. Wananchi tuliwachoka, mlikuwa mafisadi, walafi, wezi, mlikuwa mnanuka. Mkaona mmutumie JPM ili awasafishe maana yeye alikuwa ni msafi.

Mlitegemea JPM atapotoka, na mtamuendesha...ila mligonga mwamba!

Mlitegemea atawasamehe kodi mnazodaiwa ..mabilioni ya pesa...mlitegemea atawaachia mianya muibie chama na serikali.


Eti alikuwa na ulinzi uliotisha? Hivi kwa akili zako na usomi wako ulitegemea JPM atapendwa na mafisadi kama wewe na wanaCCM wenzako? Alijijengea maadui wengi ndani na nje ya nchi kwa ajili ya raslimali za watanzania ambazo nyie kwa miaka mingi mmeshindwa kuzilinda.

Nikukumbushe tu, rais huchaguliwa na Mungu, katika mioyo yenu hamkutegemea JPM awe rais ila Mungu alimleta.


Ntarudi badae kdgo!
Diallo anawatoa nyoka wote pangoni[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naona Diallo anataka na yeye atoke kijanja kipindi hiki cha mzee mpili
 
Naona kwa sasa anaweza kuioiga jeki Sahara media group iwe kama Azam
 
View attachment 1848066

Fisadi tu wanampamba mama irudi kuiba mijitu mingine aiwezi ishi bila ya hela za serikali na CCM. Biashara zilifungwa sasa hizo ajira ziliongezeka vipi kwa mujibu wa NBS.

Watu wafunge viwanda halafu kila mwaka ajira karibu laki saba zizalishwe, uchimi gani.



View attachment 1848074

Katika miaka ya Magufuli sector ya uzalishaji (viwanda) na services sector ndio ajira zimeongezeka source ya hizo data huwa ni registered number of employees paying PAYE that is what IMF and world bank expect to get your data from.

Hivi kama watu walikuwa wanaondoa mitaji ya biashara hizo ajira zilitoka wapi IMF would want to verify hizo data ndio maana PAYE is the only credible source.

Yaani mtu anaweza tunga uongo inakuwa raisi kuwa na cascading effect Tanzania kirahisi sana; it’s appalling in this age of information to have a such an easily gullible society.

Next waulize hizo data za watu kufunga biashara na Magufuli kuharibu uchumi zipo wapi zaidi ya upuuzi tu kwenye vichwa vyao.
Wakati mwingine mimi huwa najiuliza inakuwa vipi mtu afufue reli ya Arusha to Moshi, Tanga to Dar, Aanzishe miradi mikubwa ya ujenzi wa reli, bwawa la umeme, ujenzi wa madaraja, ujenzi wa meli na vivuko ujenzi wa stendi na masoko kila mkoa, awaachie machinga uhuru wa kufanya biashara, ahamishie serikali Dodoma kwa ajii ya kucreate opportunity mpya za kibiashara halafu leo linaibuka kundi linadai eti ajiri zilikuwa hakuna.

Kwa hali ndio maana wa Afrika tutaendelea kudharaulika duniani kote, yaani hatupendi kujiamini na kujikubali, akitokea mtu miongoni mwetu anayetaka kutufanya tujiamini na tusonge mbele sisi tunamuona kama ni kichaa tunasahau hata huko ulaya maendeleo hayakuja kwa kubembelezana.
 
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza Dr Anthony Diallo amesema ni makosa makubwa na hatari sana kuwaachia wanasiasa watengeneze katiba ya nchi.

Diallo amesema wanasiasa ni wabinafsi hivyo lazima wajipendelee ndio maana katiba ni lazima itengenezwe na wananchi wakisaidiwa na wataalamu kama ilivyofanyika nchini Kenya.
 
Diallo amekuwa mbunge na waziri kwa muda mrefu lakini hana legacy yoyote aliyowaachia watanzania kwenye utumishi wake.
Ni kweli, ila alikuwa hahitaji legacy ya mauaji na wizi wa kura. Kama ni madaraja, barabara nk hata Kaburu Pieter Botha wa Afrika kusini alijenga, mbona tulikuwa tunawaunga mkono akina Mandela walipokuwa wanamsumbua mtu aliyekuwa anaijenga Afrika kusini?
 
Nimeamini kuwa huyu mwendazake watu walimchukia kupita shetani. Alitesa watu , aliua watu, alinyanyasa watu, nakubaliana na mh Diallo kuwa alikuwa na file milembe.
 
Back
Top Bottom