greenwoods
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 2,328
- 3,955
Yani kumkomalia mtu alipe kodi hiyo ni siasa chafu!!!! Hivi hii nchi tunaenda wapi.leo hii tunafurahi kupokea misaada kutoka ulaya tokana na raia wao kulipa kodi kisawasawa sisi huku tukiomba kodi tunasema ni siasa chafuAmka ww, zama za siasa chafu na utawala wa kishenzi umepita. Mama juzi si alisema watu walibambikiwa kesi na takukuru zaidi ya 147? Mwigulu si ndio huyo jana kasema kuna watu hela zao zimechukuliwa kimakosa kwenye bank? Katika mazingira hayo unawezaje kupima kwa uhalisia ukwepaji kodi wa huyo Diallo? Ni hivi, Magu alikuwa kiongozi dhalimu na muovu fullstop.
Kasema watumike wataalamu na sio hao wanasiasa, maana wakiingia wanasiasa tuu hawatakubaliana kwenye serikali tatuArudi kusoma vitabu vya Civics topic ya direct and indirect democracy!
View attachment 1847692
Dialo mdaiwa sugu na wafanya kazi wake vip alisha mlipa marehemu Fred waaah au kamuachia zigo?Nimefatilia interview ya Diallo, inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii akiishutumu serikali ya JPM, serikali iliyopambana kwa ajili ya wananchi. Naenda kujibu hoja zake kwa niaba ya JPM. Rais ambaye ntampigania mpaka kufa...
hhahaaa wameanza kumkana mwenzao wazi waziAmeongeza kwa kusema nchi imepita kwenye kiza kinene ktk kipindi cha miaka 5. Rais wa awamu hiyo hakuheshimu utu, haki na alivunja katiba wazi wazi.
Anaomba tuwe tunarejea histori za wagombea kabla ya kuwapa urais. Kamwe tusirejee tuliyoyapitia.
View attachment 1847668
Alishazoea zile dezo alizokua anazipata tawala zilizopita za kukwepa kodi na misamaha isiyo na maana.Diallo ametema nyongo ya madhila tuliyopata katika awamu ya Magufuli! Amesema kamwe tusije rudia kuchagua mtu ambaye hatuna historia yake!
Diallo ameonyesha wazi hata ndani ya CCM Magufuli hakukubalika bali ni mabavu tu yaliendelea kumweka madarakani
Diallo kupitia kampuni yake ya Sahara Media group bado anaidai CCM fedha nyingi kutokana na matangazo ya kampeni ya mwaka 2015. Pamoja na kuisaidia CCM katika kampeni lakini Magufuli aliamua kuifungia kwa muda na kuinyima matangazo ya biashara kutoka serikalini na hivyo kusababisha kuyumba kiuchumi hadi kushindwa kulipa wafanyakazi mishahara yao.
Aidha Diallo ambaye ni mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza amedai alionja joto la jiwe la Magufuli hivyo amewaasa viongozi kuwa na busara. Amedai kuwa enzi za Magufuli viongozi walilewa madaraka.
Kwa kifupi Diallo amewaasa viongozi kutii sheria na katiba.
Lazima Diallo ataitwa kwenye kamati ya maadili ya chama kama Kinana!
Kumbuka aliyetangaza matokeo ni Ndugai ambaye anafahamika kuwa bingwa wa kutangaza kura fake. Kura zilizo tangazwa hazikuwa halisi!Mbona hakupiga kura ya hapana 2020 kwenye mkutano Mkuu wa kumpitisha JPM, hansadi yao inaonesha alishinda kwa asilimia mia moja kabisa.
Huo ni unafiki wa Diallo,na top up huyo ni mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Mwanza. na MNEC.
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Mjadala ulikuwa unahusu utawala wa awamu ya Magufuli!Mbona hajasema alivyo nyanyaswa na Severe Mkurugenzi wa Utalii , wakati Yeye ni Naibu waziri wa Utalii, na EL ndio waziri mkuu. N.a. haya yanawezeshwa na katiba mbovu ambayo ina dekeza upendeleo
Yaani unaongelea ajira upande wa sector moja tu ya construction ambayo nayo ilikuwa almost kwa suma JKTWakati mwingine mimi huwa najiuliza inakuwa vipi mtu afufue reli ya Arusha to Moshi, Tanga to Dar, Aanzishe miradi mikubwa ya ujenzi wa reli, bwawa la umeme, ujenzi wa madaraja, ujenzi wa meli na vivuko ujenzi wa stendi na masoko kila mkoa, awaachie machinga uhuru wa kufanya biashara, ahamishie serikali Dodoma kwa ajii ya kucreate opportunity mpya za kibiashara halafu leo linaibuka kundi linadai eti ajiri zilikuwa hakuna.
Kwa hali ndio maana wa Afrika tutaendelea kudharaulika duniani kote, yaani hatupendi kujiamini na kujikubali, akitokea mtu miongoni mwetu anayetaka kutufanya tujiamini na tusonge mbele sisi tunamuona kama ni kichaa tunasahau hata huko ulaya maendeleo hayakuja kwa kubembelezana.
Sawa msomiBwiru Boys gani umesoma mjinga wewe? Hujui hata tofauti ya kula na kura?!! Sema ulikuwa unakaa kona ya Bwiru!
weka uthibisho nduguYule mtu ni kweli alikuwa na faili Mirembe, mtu timamu hawezi sema nchi ina masaa 48! Au kudeny ugonjwa ambao ni tatizo la dunia nzima
Kila la heri mkuu,nenda kalipie kadi.Diallo kama mkristo apewe sakrament 5
Kssema ukweli kabisa,anafaa kuwa mshauri wa Rais na UVCCM
Naenda kulipia kadi ya chama
Sio katiba yenye mapungufu ambayo inaweza kutumika vibaya ?? Au kwake katiba inakuwa mbovu inapomnyima kula yeye , ikiwanyima wengine ni sawa.Mjadala ulikuwa unahusu utawala wa awamu ya Magufuli!
Maendeleo ya uwanja wa ndege chattle.Kwakuwa sahara midia ilifungwa kwa kutolipa madeni ya zaidi ya bilion. Halafu shujaa akamlazimisha kulipa fedha ilikujenga miundombinu ya maendeleo ya watanzania. Kumbe utawala ulikua mbovu kwa namna hiiiii??