Dr. Dre asherehekea kuachana na mke wake

Dr. Dre asherehekea kuachana na mke wake

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1639296107260.png

Tumtakie Dr Dre kila la kheri katika maisha yake mapya maana inaonekana amepitia mengi katika ndoa hii.
 
kuna jamaa alileta point moja katika uzi fulani..
nadhani alikuwa mwanadada..alisema
wanawake huwa hawana wivu wa mapenzi kama wanaume tunavyoamini.
wivu wao huwa kwamba mchepuko anakata mirija yake!!ya ulaji.
wao ukichepuka huwa wanahisi yule uliempata anafaidi vitu vizuri kama fedha na zawadi kuliko wao.imeisha hiyooo

jicheki km mkeo au mpenzi hakuonei wivu jua wee ni maskini.u got nothing to offer
 
Mimi tangu mama kimbo wangu ashinde udiwani basi imekuwa tabu tupu.
Mara arecord taarifa ya habari kwenye Flash tuangalie siku nzima,
Anadai wanawake wameshika dola.

Hivi ndugu mtoa mada hakuna dalili za talaka kweli hapo?

Nitafumua dabo kiki mwezi mzima.
 
kuna jamaa alileta point moja katika uzi fulani..
nadhani alikuwa mwanadada..alisema
wanawake huwa hawana wivu wa mapenzi kama wanaume tunavyoamini.
wivu wao huwa kwamba mchepuko anakata mirija yake!!ya ulaji.
wao ukichepuka huwa wanahisi yule uliempata anafaidi vitu vizuri kama fedha na zawadi kuliko wao.imeisha hiyooo

jicheki km mkeo au mpenzi hakuonei wivu jua wee ni maskini.u got nothing to offer
Umenena
 
Mimi mke wangu ananilazimisha niangalie tamthiliya, nikienda kulala kidogo anakuja na kelele zake mara unaachaje watoto peke yao kwenye tv , sasa hata majina sizijui nakaa hivohivo kinyonge hadi wamalize kuangalia ndio naenda kulala, hivi huu si unyanyasaji kweli
 
Back
Top Bottom