Dr. Dre asherehekea kuachana na mke wake

Dr. Dre asherehekea kuachana na mke wake

Hapana naamini mwanamke kakimbia tabia za mwamba ,Dr Dre
hata mimi naamini hivyo hivyo, Dr Dre ndio kazingua, kwa sababu mbili:

moja, mtu yeyote ambae anafurahi ndoa kuvunjika most likely yeye ndio tatizo manake hakumaanisha kuishi ndani ya ndoa milele

mbili, mwanamke alipoomba divorce alitaja masaibu ya ndoa yake ikiwemo matusi na kuwekewa pistol kichwani mara mbili.... Dr. Dre akadai mahakamani anashangaa hata siku moja mke hakusema kwa polisi, mama yake, dada zake, social media au popote kwamba anasulubiwa hadi na mapisto

ambacho kimenifunza kitu kimoja, hii conventional wisdom ya kusema tutunze matatizo yetu ndani kwa ndani kuna siku utaambiwa we muongo, kwa nini hukusema hata kwa ndugu kwamba kunawaka moto humo ndani

Nimepoteza heshima yote kwa Dr Dre, nilidhani ame move past his NWA post-tenage bravado. Mtu mzima unaandikaje bango la DIVORCED AS F@CK ?
 
D.R.E. right back up on top of thangs
Smoke some wit' your Dogg
No stress, no seeds, no stems, no sticks!
Some of that real sticky-icky-icky
Ooh wee! Put it in the air!
Well, you's a fool, D-R, ha-ha.

Did y'all think I'ma let my dough freeze, h0e please
You better bow down on both knees
Who you think taught you to smoke trees?
Who you think brought you the oldies?
Eazy-E's, Ice Cubes, and D.O.C's

So f**k y'all, all of y'all
If y'all don't like me, bl0w me.
 
D.R.E. right back up on top of thangs
Smoke some wit' your Dogg
No stress, no seeds, no stems, no sticks!
Some of that real sticky-icky-icky
Ooh wee! Put it in the air!
Well, you's a fool, D-R, ha-ha.

Did y'all think I'ma let my dough freeze, h0e please
You better bow down on both knees
Who you think taught you to smoke trees?
Who you think brought you the oldies?
Eazy-E's, Ice Cubes, and D.O.C's

So f**k y'all, all of y'all
If y'all don't like me, bl0w me.
Forgot About Dre
Song by Dr. Dre and Eminem.

The Chronic is the classic Dr's album
 
Dre ni mjinga, kipindi anamuoa huyo mzungu Nicole akina surge knight, trotman, yella, ice cube wali muonya adi kufikia kutishana kwa mitutu ya AK47, sijui anacho shangilia ni nini wakati huyo Caucasian tayari amemkomba zaidi ya 1.0b Usd,
 
hata mimi naamini hivyo hivyo, Dr Dre ndio kazingua, kwa sababu mbili:

moja, mwanamke alipoomba divorce alitaja masaibu ya ndoa yake ikiwemo matusi na kuwekewa pistol kichwani mara mbili.... Dr. Dre akajitetea mahakamani kwamba mbona hata siku moja mke hakusema kwa polisi, mama yake, dada zake, social media au popote kwamba anasulubiwa ndani ya ndoa ?

ambacho kimenifunza kitu kimoja, hii conventional wisdom ya kusema tutunze matatizo yetu ndani kwa ndani kuna siku utaambiwa we muongo, kwa nini hukusema hata kwa dada yako kwamba kunawaka moto humo ndani

na pili, mtu yeyote ambae anafurahi ndoa ikivunjika most likely yeye ndio alikuwa tatizo manake hakumaanisha kuishi ndani ya ndoa milele

Nimepoteza heshima yote kwa Dr Dre, nilidhani ame move past his NWA bravado. Mtu mzima unaandikaje bango la DIVORCED AS F@CK ?
Kwenye kutalikiana mara nyingi mwanamke ndio anaonekana ana shida
 
Mimi tangu mama kimbo wangu ashinde udiwani basi imekuwa tabu tupu.
Mara arecord taarifa ya habari kwenye Flash tuangalie siku nzima,
Anadai wanawake wameshika dola.

Hivi ndugu mtoa mada hakuna dalili za talaka kweli hapo?

Nitafumua dabo kiki mwezi mzima.
Mkuuu umenichekesha sana ...sasa na ww si utafute mchepuko
 
kuna jamaa alileta point moja katika uzi fulani..
nadhani alikuwa mwanadada..alisema
wanawake huwa hawana wivu wa mapenzi kama wanaume tunavyoamini.
wivu wao huwa kwamba mchepuko anakata mirija yake!!ya ulaji.
wao ukichepuka huwa wanahisi yule uliempata anafaidi vitu vizuri kama fedha na zawadi kuliko wao.imeisha hiyooo

jicheki km mkeo au mpenzi hakuonei wivu jua wee ni maskini.u got nothing to offer
[emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]

Hebu nitag huo uzi

NB

Nathibitisha alichosema huyo mwanadada
 
Back
Top Bottom