Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
BushokeMimi mke wangu ananilazimisha niangalie tamthiliya, nikienda kulala kidogo anakuja na kelele zake mara unaachaje watoto peke yao kwenye tv , sasa hata majina sizijui nakaa hivohivo kinyonge hadi wamalize kuangalia ndio naenda kulala, hivi huu si unyanyasaji kweli
hata mimi naamini hivyo hivyo, Dr Dre ndio kazingua, kwa sababu mbili:Hapana naamini mwanamke kakimbia tabia za mwamba ,Dr Dre
Niko singo, nainjoi mama....View attachment 2041238
Tumtakie Dr Dre kila la kheri katika maisha yake mapya maana inaonekana amepitia mengi katika ndoa hii.
Forgot About DreD.R.E. right back up on top of thangs
Smoke some wit' your Dogg
No stress, no seeds, no stems, no sticks!
Some of that real sticky-icky-icky
Ooh wee! Put it in the air!
Well, you's a fool, D-R, ha-ha.
Did y'all think I'ma let my dough freeze, h0e please
You better bow down on both knees
Who you think taught you to smoke trees?
Who you think brought you the oldies?
Eazy-E's, Ice Cubes, and D.O.C's
So f**k y'all, all of y'all
If y'all don't like me, bl0w me.
Kosea kujenga utabomoa ila ukikosea kuoa namba za kirumi lazima uzisome.Jamaa kapitia mengi , ukiwa na mwanamke tough aisee utaomba po, nilikuwa na mwanamke mmoja hv daah nilitaman ardhi ipasuke , nikatafta upenyo wa kuchora , sku nimeupata nilishangilia sana nikaenda kutoa na sadaka church
Dre na snoopy adi leo wanavutana juu ya utunzii na ummliki wa huu wimbo, kila mmoja ana sema ni wake, hii beat ni ya 1991/92 lakini bado ina hit kwenye music industryNuthing But A G Thang,. Dr Dre ft Snoop Dog
Kwenye kutalikiana mara nyingi mwanamke ndio anaonekana ana shidahata mimi naamini hivyo hivyo, Dr Dre ndio kazingua, kwa sababu mbili:
moja, mwanamke alipoomba divorce alitaja masaibu ya ndoa yake ikiwemo matusi na kuwekewa pistol kichwani mara mbili.... Dr. Dre akajitetea mahakamani kwamba mbona hata siku moja mke hakusema kwa polisi, mama yake, dada zake, social media au popote kwamba anasulubiwa ndani ya ndoa ?
ambacho kimenifunza kitu kimoja, hii conventional wisdom ya kusema tutunze matatizo yetu ndani kwa ndani kuna siku utaambiwa we muongo, kwa nini hukusema hata kwa dada yako kwamba kunawaka moto humo ndani
na pili, mtu yeyote ambae anafurahi ndoa ikivunjika most likely yeye ndio alikuwa tatizo manake hakumaanisha kuishi ndani ya ndoa milele
Nimepoteza heshima yote kwa Dr Dre, nilidhani ame move past his NWA bravado. Mtu mzima unaandikaje bango la DIVORCED AS F@CK ?
Ila production ni ya Dre kupitia Aftermath Record na wimbo huu ulimtambulisha SnoopDre na snoopy adi leo wanavutana juu ya mmliki wa huu wimbo
Mkuuu umenichekesha sana ...sasa na ww si utafute mchepukoMimi tangu mama kimbo wangu ashinde udiwani basi imekuwa tabu tupu.
Mara arecord taarifa ya habari kwenye Flash tuangalie siku nzima,
Anadai wanawake wameshika dola.
Hivi ndugu mtoa mada hakuna dalili za talaka kweli hapo?
Nitafumua dabo kiki mwezi mzima.
Naonaga ndoa nyingi zikiwa na matatizo mwanamke ndo huwa wa kwanza kunyoshewa vidoleKwenye kutalikiana mara nyingi mwanamke ndio anaonekana ana shida
[emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]kuna jamaa alileta point moja katika uzi fulani..
nadhani alikuwa mwanadada..alisema
wanawake huwa hawana wivu wa mapenzi kama wanaume tunavyoamini.
wivu wao huwa kwamba mchepuko anakata mirija yake!!ya ulaji.
wao ukichepuka huwa wanahisi yule uliempata anafaidi vitu vizuri kama fedha na zawadi kuliko wao.imeisha hiyooo
jicheki km mkeo au mpenzi hakuonei wivu jua wee ni maskini.u got nothing to offer