Timothy walter
Member
- Jul 11, 2015
- 55
- 7
CCM itashinda kote kote. Imeshinda kwenye serikali za mitaa haitashindwa kwenye uchaguzi Mkuusio kweli mkuu kipimo wanacho kipia ccm kiwe halali kwao na haramu kwa cdm??
uchaguzi wa serikali za mitaa hutoa picha ya nini kinakwenda kufanyika kwenye uchaguzi mkuu??
upinzani huanzia kwenye ngazi za chini.
kama ilivyo hapo kwenye serikali za mitaa baada ya hapo kwenye majimbo na mwishowe ni kwa raisi.
ukisha ona kwenye serikali za mitaa chama kimeshinda sana tegemea hayohayo hata kwenye majimbo.
na chama kikiwa na wabunge wengi basi tegemea na raisi kwa asilimia kubwa atatoka huko huko pia
Bahati nzuri ni sisi Wananchi ndio tunamchagua Rais. Na tuna imani na magufuli. Slaa anadhani mamlaka ya Rais ni mepesi kama kupora wake za watu?
Kweli kabisa Mkuu. Slaa anatamani tumkutaka kugombea kwa vile anapata ruzuku ya mberere na chama chakeSLAA anajua Maghufuli ni jembe na ndiyo maana ameomba asitangazwe kuwa mgombea wa UKAWA kwenye kkkao cha juzi na kuomba apewe muda atafakari kwanza.
Kwani huyo mwanafunzi alikuwa mke wa nani?kama ilivyo kwa magufuli kumjaza mimba mwanafunzi wa Geology pale UDSM...Itafahamika tu mwaka huu
Ni kweli utendaji wake ni mzuri sana maana mvua moja tu BARABARA zote hoi!!!!!!!!!!!!!!!Kisa ten percent,huyu aliyempa nyumba ndogo nyumba ya serikali,duh kweli ndani ya CCM hakuna wasafi bali kuna wenye nafuu tu.Na bei ya huyu hao anaowasema watamkoma wameshaijua,subiri matokeo...................
Mimi Binafsi Limeridhika Na Uteuzi Wa Dk.Magufuli Kama Mgombea Uraisi Kwa Tiketi Ya Chama Cha Mapinduzi.Hakuna Ubishi Wowote Kuhusu Utendaji Kazi Wake Na Uchapakazi Wake Na Uadilifu Wake.Hana Skendo Za Ufisadi Na Ubadhilifu Wa Pesa Za Umma.Ccm Wana Akili Sana Na Natumia Nafasi Hii Kuwapongeza Kwa Kulisimamisha Jembe.Ukawa Wanatakiwa Wajipange Upya Kwasababu Hili Jembe Litawatoa Kamasi Na Litawasumbua Sana Kwasababu Linakubalika Na Watanzania Walio Wengi.Mimi Binafsi Ni Ukawa Damu Lakini Kwa Nafasi Ya Uraisi Kura Yangu Naiweka Kwa Hili Bulldoza Bingwa Wa Kukariri Liende Likatifuetifue Na Kungoa Magugu Pale Ikulu.Ninaimani Kubwa Sana Na Dk.Magufuli Kwa Uzalendo Wake.He Is An Asset And Not A Liability.Kwa Wale Wote Mnaoendelea Kumponda Ongereni Kwa Juhudi Zenu Za Kupaka Rangi Upepo.Ila Ukweli Utabaki Palepale Kua "DK.JOHN POMBE MAGUFULI(THE PRESiDENT OF UNITED REPUBLIC OF TANZANIA)"
And Good News Ni Kwamba Hili Jembe Limeshaanza Kupewa Presidential Escort Inapendeza Sana!
Mkuu ebu tueleze maana ya akili nyingi? Na ukifanikiwa kueleza tupe faida za kuwa na akili nyingi?
Hivi ni kweli zile 700m alizokutwa nazo "Rostam" pale Dodoma zilikuwa za membe? Anayejuwa lile sakata limeishaje atujuze.Na bado mtaweweseka sana jipeni moyo muishi kwa matumaini kama ili safari yenu ya matumaini wakati sisi tunahitaji safari ya uhakika
barabara zote ziko chini ya viwango
Bahati nzuri pia Magufuli anafahamika kwa uropokaji, ubabe, ujivuni na ukosefu wa hekima!!Bahati nzuri ni sisi Wananchi ndio tunamchagua Rais. Na tuna imani na magufuli. Slaa anadhani mamlaka ya Rais ni mepesi kama kupora wake za watu?
Nilimsikia babu akitapatapa kwamba sasa watashinda kiulaini wakati hata mgombea hawana. Wakati ule alisema wakimuweka EL watatangaza ushindi saa 4 ash, leo kawekwa JPM bado anang'ang'ana eti watashinda! Akili za bavicha hovyo kabisa.Mi naona kama ukawa wamepagawa hawakutegemea kama ccm watatoa mtu safi.sasa kila mwana ukawa anajaribu kumchusha hadhi magufuli kinguvu.muhimu ni kujipanga tu jinsi ya kuomba kura jamaa hachafuliki
Unaanzaje kampeni kabla ya muda kutangazwa na tume ya uchaguzi?Hakuna Mtu Mpumbavu Duniani Kama Yule Anaejaribu Kupambana Na Ukweli.Na Nadhani Hata Wewe Utakua Unawawakilisha Wapumbavu Wenzio Mnaotembea Na Miwani Ya Giza Usiku.Kubali Ukweli Hata Kama Unauma Ndio Uungwana.Magufuli Ni Kisiki Na Atatusumbua Sana Sisi Ukawa