Elections 2015 Dr. John Pombe Magufuli achaguliwa kuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM 2015

Elections 2015 Dr. John Pombe Magufuli achaguliwa kuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM 2015

This is the 21 Century, everything is Naked. You can search the truth by yourself.

He was even taken out of the Ministry of Health immediately, coz Drs were not ready to be led by a Fake Dr.

alifanya kazi muhimbili kama MD Muhimbili Hospital (1993-95) akahamia HKMU (1998-2000)

inamaana he was a fake Doctor miaka yote hii!

wacha chuki binafsi hizo........
 
Hapa, kwa huyu :welcome::welcome::welcome::welcome:

magufuli+picgha.jpg

 
Kanda ya ziwa tuliwahi kuwa na mwalimu Nyerere Rais wa kwanza alifanya nini ndani ya kanda ya ziwa?

Kanda ya ziwa tuliwahi kuwa na spika wa bunge mh.Pius Msekwa alifanya nini?

Sasa Dr Magufuli kapitishwa na chama chake Mungu akimjalia akapasua mawimbi na upepo wa kisulisuli wa UKAWA huwenda atakuwa Rais wa JMT.

je? Atafanya nini kanda ya ziwa?

Karibuni mnijibu!

no! magufuli ni rais wa watanzania wote na ndo maana amekuwa akiwatumikaia watanzania wote pasipo kujali kanda,
so naamini atawatumikia watanzania wote,
 
aliwahi kuwasaliti wasukuma na akawaacha wafanyishwe mapenzi na miti,inaskitisha sana tulivyowepesi kusahau
 
Rais Jakaya Kikwete hakutegemea John p. Magufuli kufika 3 bora na anajilaumu kukubali kumwingiza 5 bora...Lowassa na kambi yake wakaamua kumwaga mboga...
 
Wakuu Magufuli ni kiongozi mzuri pamoja na makosa yake madogo madogo ambayo naweza kuyaita kuwa ni udhaifu wa kawaida wa kibinadamu. Hakuna binadamu aliye mkamilifu 100%

Tatizo kubwa Sana ninaloliona kwa Magufuli Ni mfumo wa chama alichomo. Ni vigumu Sana yeye as an individual kuubadilisha mfumo huo kwa sababu Kuna wakongwe ndani ya chama ambao hatakuwa na ubavu wa kuwaweka sasa. Hawa ndiyo waliyoliuwa azimio la Arusha.

Tone moja la maji safi haliwezi kufanya maji ya pipa ya masafi, haiwezekani. Hivyo Ni kuuondoa mfumo mzima ili nchi i-experience mfumo tofauti na ambao umekuwepo kwa zaidi ya miaka 50 bila mafanikio yaliyotarajiwa na ahadi nyingi ambazo zimeshindikana kutekerezeka.
Iko wapi nguvu mpya, Ari mpya na Kasi mpya? Iko wapi nguvu mpya zaidi, Ari mpya zaidi na kazi mpya zaidi? Yako wapi maisha bora kwa kila mtanzania? Iko wapi Kigom kama Dubai ya Tanzania? Ziko wapi meli zilizoahidiwa kule Victoria, Tanganyika, Nyasa?

Bila kubadili mfumo Ni sasa na kuweka kuweka kilaka kwenye suruali ya zamani amakuweka mvinyo wa zamani kwenye kiriba kipya. Suruali itakuwa Ni ile ile ya zamani na mvinyo utakuwa Ni ule ule wa zamani. What we need is a complete chemicle change not physical change.
Kwa urais kwakweli Magufuli kura yangu atapata,Wapinzani wafokasi kwenye ubunge na udiwani ili watupiganie katiba ya Warioba, katiba ya Warioba ikipita maanake na mfumo huo tunaoulalamikia utakuwa umefumuliwa na kusukwa upya,hatutaweza kuipata katiba tuitakayo kama Wapinzani hawatapata Wabunge wengi wa kutosha,we don't have to take our eyes off ball man!we need to strategize!
 
1. John magufuli kura 2104 %87.1
2. Rose migilo kura 59 %2.4
3. Amina salumu kura 253%10.5
ZilizoPigwa 2422
Haribika 6
Halali 2416

Hivyo magufuli ndio mgombea urais

UKAWA ijipange otherwise they will stay
ukawa wakitemper kidogo tu kutuletea wale watu wao imekula kwao mazima.
 
Kanda ya ziwa tuliwahi kuwa na mwalimu Nyerere Rais wa kwanza alifanya nini ndani ya kanda ya ziwa?

Kanda ya ziwa tuliwahi kuwa na spika wa bunge mh.Pius Msekwa alifanya nini?

Sasa Dr Magufuli kapitishwa na chama chake Mungu akimjalia akapasua mawimbi na upepo wa kisulisuli wa UKAWA huwenda atakuwa Rais wa JMT.

je? Atafanya nini kanda ya ziwa?

Karibuni mnijibu!

Subirini kampeni zikianza utaambiwa atakachofanya
 
Umofia kwenu wana JF,
Mh Pombe alitumia madaraka yake vibaya na kujimilikisha
viwanja nane vya Mbweni Beach JKT na kujenga ghorofa
katika kila kiwanja na ghorofa jingine amemuweka nyumba
ndogo.
Huyu Pombe amepata wapi fedha za kujenga maghorofa
nane(kila ghorofa kwenye kiwanja kimoja) simultaneously
kuanzia mwanzo mpaka mwisho?
Tumekabidhi wizara kafanya haya ,Je akipewa urais si
itakuwa balaa? Huyu mtu sio muadilifu kabisa hafai
kuongoza nchi hii.
 
[h=2]Member of Parliament CV[/h]
SalutationHon.
First Name: Dr. Hussein
Middle Name: Ali
Last Name:Mwinyi
Constituent: Kwahani
Political Party: Chama Cha Mapinduzi
Office Location: P.O. Box 9120, Dar es Salaam
Office Phone: +255 754 279 343/+255 754 995 555Office Fax:
Office E-mail: hmwinyi@parliament.go.tz
Member Status: Active
Date of Birth 23 December 1966

[TH="colspan: 3, align: left"] GENERAL [/TH]

[TD="width: 42%, align: center"] Member picture
1042.jpg
[/TD]

[TD="width: 20%"] Member Type: [/TD]
[TD="width: 38%"]Elected Member[/TD]
Manor House Junior School, Cairo, Egypt
Oysterbay Primary School
Azania Secondary School
Tambaza High School
Marmara University Medical School, Istanbul Turkey
Hammersmith Hospital, London, UK
Hammersmith Hospital, London, UK

[TH="colspan: 5, align: left"] EDUCATION [/TH]

[TH="width: 35%"] School Name/Location [/TH]
[TH="width: 27%"] Course/Degree/Award [/TH]
[TH="width: 15%, align: center"] Start Date [/TH]
[TH="width: 13%, align: center"] End Date [/TH]
[TH="width: 10%, align: center"] Level [/TH]

[TD="align: center"]CPEE[/TD]
[TD="align: center"]1977[/TD]
[TD="align: center"]1981[/TD]
[TD="align: center"]Primary School[/TD]

[TD="align: center"]CPEE[/TD]
[TD="align: center"]1972[/TD]
[TD="align: center"]1976[/TD]
[TD="align: center"]Primary School[/TD]

[TD="align: center"]CSEE[/TD]
[TD="align: center"]1982[/TD]
[TD="align: center"]1984[/TD]
[TD="align: center"]Secondary School[/TD]

[TD="align: center"]ACSEE[/TD]
[TD="align: center"]1984[/TD]
[TD="align: center"]1985[/TD]
[TD="align: center"]Secondary School[/TD]

[TD="align: center"]Doctor of Medicine[/TD]
[TD="align: center"]1985[/TD]
[TD="align: center"]1991[/TD]
[TD="align: center"]Certificate[/TD]

[TD="align: center"]Masters (Medicine)[/TD]
[TD="align: center"]1991[/TD]
[TD="align: center"]1997[/TD]
[TD="align: center"]Masters Degree[/TD]

[TD="align: center"]PhD[/TD]
[TD="align: center"]1994[/TD]
[TD="align: center"]1997[/TD]
[TD="align: center"]PhD[/TD]
Company Name
Ministry of Defence and National ServiceMinister
Ministry Of HealthMinister
Vice-President's Office - Union AffairsMinister
Ministry of HealthDeputy Minister
Ministry of Defence and National ServiceMinister
Hubert Kairuki Memorial UniversityLecturer
Hubert Kairuki Memorial UniversitySpecialist Doctor
Ministry of Health - Muhimbili HospitalRegistrar
Ministry of Health - Muhimbili HospitalDoctor
Marmara UniversityIntern

[TH="colspan: 4, align: left"] EMPLOYMENT HISTORY [/TH]

[TH="align: center"] Position [/TH]
[TH="align: center"] From [/TH]
[TH="align: center"] To [/TH]

[TD="align: center"]2014-01-20[/TD]
[TD="align: center"]2015[/TD]

[TD="align: center"]2012[/TD]
[TD="align: center"]2014-01-20[/TD]

[TD="align: center"]2006[/TD]
[TD="align: center"]2/8/2008[/TD]

[TD="align: center"]2000[/TD]
[TD="align: center"]2005[/TD]

[TD="align: center"]2/13/2008[/TD]
[TD="align: center"]To Date[/TD]

[TD="align: center"]1998[/TD]
[TD="align: center"]2000[/TD]

[TD="align: center"]1998[/TD]
[TD="align: center"]1999[/TD]

[TD="align: center"]1994[/TD]
[TD="align: center"]1995[/TD]

[TD="align: center"]1993[/TD]
[TD="align: center"]1993[/TD]

[TD="align: center"]1991[/TD]
[TD="align: center"]1992[/TD]
Chama Cha Mapinduzi, CCMMember - National General Council
The Parliament of TanzaniaMember - Kwahani Constituency
Chama Cha Mapinduzi, CCMMember - Kwahani /Mkuranga Political Committee
The Parliament of TanzaniaMember - Mkuranga Constituency

[TH="colspan: 4, align: left"] POLITICAL EXPERIENCE [/TH]

[TH="class: text_menu, width: 47%"]Ministry/Political Party/Location [/TH]
[TH="class: text_menu, width: 31%, align: center"]Position [/TH]
[TH="class: text_menu, width: 12%, align: center"]From[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 10%, align: center"]To[/TH]

[TD="align: center"]2005[/TD]
[TD="align: center"]Todate[/TD]

[TD="align: center"]2005[/TD]
[TD="align: center"]2015[/TD]

[TD="align: center"]2000[/TD]
[TD="align: center"]To Date[/TD]

[TD="align: center"]2000[/TD]
[TD="align: center"]2005[/TD]
 
Mwinyi anafaa kwa hii zamu kama umegundua alihama kugombea Mkiuranga na kwenda ZNZ katika kutengeneza Mazingira. Ni mwaka wa Ma-doctor (PhD) Safari hii wenye vyeti dhoofu mlie tu
 
no! magufuli ni rais wa watanzania wote na ndo maana amekuwa akiwatumikaia watanzania wote pasipo kujali kanda,
so naamini atawatumikia watanzania wote,

Kwa hiyo unapingana na wanaosambaza ukanda siyo?
 
Back
Top Bottom