Elections 2015 Dr. John Pombe Magufuli achaguliwa kuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM 2015

Elections 2015 Dr. John Pombe Magufuli achaguliwa kuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM 2015

Kura yangu ni kwa UKAWA kunazia diwani mpaka Rais. Gari bovu limeoza lote unabadilisha dereva tu alafu unategemea abiria wendawazimu na mazuzu washangilie kupata dereva mzuri wakati gari ndo bovu!!!

Mateka wa Tengeru na Ufipa utawajua tu...
 
Yaan hii kama ni kubeti mhindi kapiga hela sana..duh Samia...namkumbuka alikua makamu mwenyekiti wa bunge lile la katiba..Hawa CCM hawa..makamu wa raisi mwanamke..
 
Katika hali isiyotarajiwa, majina matatu yanawapasua vichwa vigogo Nani awe mgombea Mwenza, ambao ni Shamsi Vuai Nahodha, Hussain Mwinyi na Seif Khatib, huku spika Makinda akimpendekeza Amina ili kupata kura za Zanzibar. Karume hataki jina la Nahodha na Dr Shein anaomba Bilal aendelee ili kupunguza uzito wa kampeni Zanzibar.

Source : Mlinzi wa kiongozi mwandamizi.

Update zitakuja baada ya muafaka.

Pole sana mkuu mlinzi wa kiongozi mwandamizi.....umeumbukaaaaaa.. ....
 
Umofia kwenu wana JF,
Mh Pombe alitumia madaraka yake vibaya na kujimilikisha
viwanja nane vya Mbweni Beach JKT na kujenga ghorofa
katika kila kiwanja na ghorofa jingine amemuweka nyumba
ndogo.
Huyu Pombe amepata wapi fedha za kujenga maghorofa
nane(kila ghorofa kwenye kiwanja kimoja) simultaneously
kuanzia mwanzo mpaka mwisho?
Tumekabidhi wizara kafanya haya ,Je akipewa urais si
itakuwa balaa? Huyu mtu sio muadilifu kabisa hafai
kuongoza nchi hii.

Wewe mwehu una ugomvi gani na Magufuli kila thread unapost hii makitu! Mimi Ukawa lakini sina chuki za kijinga hivi!
 
Back
Top Bottom