Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiongozi wakweli ni yule anayekuwa na Hofu ya mungu na kuweza kujali wanzake kwa kuwapa haki yao, Tanzania ni muda mrefu sana hatujapata kiongozi ambaye anaweza kujitoa kwa ajili ya watu wengine lakini kwa sasa tunamshukuru mungu kwa kutupa kiongozi mzuri Dk.Magufuli kwa kutupa matumaini ya kuirudisha hii nchi kwenye misingi ya Maendeleo bora na Haki kwa kila mtanzania, Vigogo Wanasiasa ambao wamelifanya ili Taifa kama Shamba la BIBI kuchuma wanavyotaka na kuwaancha wananchi wakikosa msaada na wazalengo.
Magufuli tunakushukuru kwa kutupa matumaini mapya na tumekuona kwenye wizara nyeti ya Ujenzi wa Hii nchi na umekuwa mwadilifu na mchapakazi bora kwa kweli wewe kama Rais ajae utaweza kurudisha hii nchi kwa Watanzanial.
Hongera sana TINGATINGA TUNAOMBA BAADA YA TAREHE 25 UKIWA RAIS HAKIKISHA VILE VIPAUMBELE VYAKO TUNAVIONA KWA KWELI KAMA ULIVYOTUFANYIA KWENYE UVUVI, TANROAD, NA BAADHI YA HUDUMA ULIZOZIPIGANIA.
Kiongozi wakweli ni yule anayekuwa na Hofu ya mungu na kuweza kujali wanzake kwa kuwapa haki yao, Tanzania ni muda mrefu sana hatujapata kiongozi ambaye anaweza kujitoa kwa ajili ya watu wengine lakini kwa sasa tunamshukuru mungu kwa kutupa kiongozi mzuri Dk.Magufuli kwa kutupa matumaini ya kuirudisha hii nchi kwenye misingi ya Maendeleo bora na Haki kwa kila mtanzania, Vigogo Wanasiasa ambao wamelifanya ili Taifa kama Shamba la BIBI kuchuma wanavyotaka na kuwaancha wananchi wakikosa msaada na wazalengo.
Magufuli tunakushukuru kwa kutupa matumaini mapya na tumekuona kwenye wizara nyeti ya Ujenzi wa Hii nchi na umekuwa mwadilifu na mchapakazi bora kwa kweli wewe kama Rais ajae utaweza kurudisha hii nchi kwa Watanzanial.
Hongera sana TINGATINGA TUNAOMBA BAADA YA TAREHE 25 UKIWA RAIS HAKIKISHA VILE VIPAUMBELE VYAKO TUNAVIONA KWA KWELI KAMA ULIVYOTUFANYIA KWENYE UVUVI, TANROAD, NA BAADHI YA HUDUMA ULIZOZIPIGANIA.