DuppyConqueror
JF-Expert Member
- Mar 30, 2014
- 9,466
- 6,966
Hakika huyu ni Rais wetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnamdanganya kwani kura hamtampa. Nimewasikia mara nyingi mkisema kuwa Mzee huyu tumpeleke waoi!Tunaimani na lowassa.
Swissme
Sifa zote za kuwa Rais anazo Dr. Magufuli. Hivyo kura yako mwananchi ni ya muhimu sana. Kiongozi ulivyosema ni sahihi kabisa.Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, ndiye kiongozi pekee ambaye siku zote wakati wa kampeni zake anawasisistiza na kuwataka Watanzania kuwa makini kuchagua kiongozi muadilifu, akionya kuwa wasio waadilifu wasipewe mgaraka hayo zingatia jamaa aliyetimkia upande wa pili na kuwa msaka tonge. Je? Usaka tonge ni uadilifu?
Magufuli ni muadilifu, mchapakazi na mzalendo hizi ni sifa muhimu kwa kiongozi wa kuiongoza Tanzania ya leo. Achana na wapiga dili waliotufikisha pabaya na baadae kutoroka na kupokelewa na maadui zao. Ama kweli chui na mbuzi wanashirikiana.Sifa zote za kuwa Rais anazo Dr. Magufuli. Hivyo kura yako mwananchi ni ya muhimu sana. Kiongozi ulivyosema ni sahihi kabisa.
Sifa zote za kuwa Rais anazo Dr. Magufuli. Hivyo kura yako mwananchi ni ya muhimu sana. Kiongozi ulivyosema ni sahihi kabisa.
Sifa zote za kuwa Rais anazo Dr. Magufuli. Hivyo kura yako mwananchi ni ya muhimu sana. Kiongozi ulivyosema ni sahihi kabisa.
Huyohuyo muadilifu aliikataa katiba ya wananchi yenye maadili; hiyo miujiza yake ya kuleta uadilifu ataitoa akilini mwake?Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, ndiye kiongozi pekee ambaye siku zote wakati wa kampeni zake anawasisistiza na kuwataka Watanzania kuwa makini kuchagua kiongozi muadilifu, akionya kuwa wasio waadilifu wasipewe mgaraka hayo zingatia jamaa aliyetimkia upande wa pili na kuwa msaka tonge. Je? Usaka tonge ni uadilifu?
Kuweka kumbukumbu sawa mkuu! Hata sasa tuna Makamu wa Rais ambaye ni mwanasayansi tena Nguli PhD holder!