Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ama kweli umenena vyema na mimi kama mtanzania nisiyetumia viroba wala kugawiwa viroba sitafanya makosa.Mfuatiliaji,
mchapakazi,
muadilifu,
amebeba dhamira za mabadiliko ya kweli.
Dr john pombe magufuli ni kiboko cha mafisadi.....
Mzalendo wa kweli....
Ewe mtanzania naomba kura yako kwa dr john pombe magufuli siku ya jumapili tarehe 25 ili na wewe uwe kwenye historia ya kumchagua rais wa awamu ya tano..
Tudumishe amani na upendo siku ya kupiga kura kwani tanzania ni moja........
Asante...
Tarehe 25 tumpigie Magufuli mtu mkweli na mchapa kazi
Tuikatalie mbali UKAWA.ni wababaishaji,wahuni na vigeugeu.mwenye akili anaona wazi
UKAWA TUIKATAE KABISA.kila mtu anafahamu UKAWA ndio kitovu HATARI cha udini,ukanda, ukabila na uhuni.eti watamfufua Gavana.uhuni mtupuAidia;
Watanzania letu moja tuuuu. 25 Oktoba, 2015 tunamchagua Edward Ngoiyai Lowasa kuwa rais wetu, na mbunge wa ukawa na diwani wa ukawa tuliondoe zimwi hili ccm madarakani. Tumechoka kudanganywa na ahadi zisizotekelezeka. Tumechoka kuongozwa na wasio na mwelekeo kazi kukopy na kupesti sera za upinzani.
Tumechoka kuwasikia viongozi wetu wakishangilia matusi, yaani tumechoka.
Tumechoka kusikia watu wanaupinga Ukanda, ukabila na udini huku wakienda kwenye majukwaa hizo ndo sera zao mpaka wanaomba kura kisukuma. Yaani tumechoka.
Hapa kazi ni moja tu. Tunachukua karatasi ya uchaguzi, tunamchagua LOWASA kwa MABADILIKOoooooooooooOOOOOOOO
UKAWA NDO MABADILIKOOOOOOoooooOOOOOO. Kwa heriiiiii
Kazi ni moja tu... Peopleeeezzzzz!
UKAWA hawafai KABISA.vivax MagufuliWaache waseme, Hapa Kazi Ku. Matumaini nendeni angaza.