Dr. Joyce Ndalichako, Katibu Mtendaji wa NECTA! "It's Time To Go!.

Of all the people ndugu Pasco unatoa hii, naamini wamekuibia password na kupost hii kitu.
 
plz kabla ya kuandika chochote fikiri kwanza mm na masters pia ni mwalimu mitihani waliyofanya f4 ni saizi yao hakuna kilichotolewa nje ya mada zao.....kwa ujumla wanafunzi wengi wao ni wazembe hawapendi kujisomea.
 
Of all the people ndugu Pasco unatoa hii, naamini wamekuibia password na kupost hii kitu.

We unamfahamu sana hadi uone si Pasco aliyeandika? si ndio huyu huyu huwa anaona kuwa ccm ni watawala wazuri? kawambwa ndio!
 
Last edited by a moderator:
malalamishi ya wazazi wao ndio yamepelekea anguko hilo.hakuna standardisation iliyofanyika na mitihani ilisahishwna systems ,hakuna huruma ya aliyekuwa anakaribia jibu au la kilichotakiwa ni jibu sahihi tu upate maksi.tatizo kubw ani secta binafsi zilizoingilia secta ya elimu nakutaka wafanye kam wao watakavyo kitu ambacho si sawa wjipange upya .unataka wqafaulishwe kama wale darasa la saba wanafika form 2 hawajui kusoma nkauandika?
 
Baadhi ya Wahandishi wa Habari epukeni kufikiria kwa kutumia masaburi!
Kusema za ukweli nilimheshimu Pasco ila hii sredi imenishangaza kweli. Hebu Pasco ikarabati ili ikufanane. Ukipata ujumbe usioufurahia katika barua iliyotumwa kupitia posta, utalaumu posta au mwandishi?
 
Githeri wewe jembe!
 
Sawa umesema vyema kwani hao NECTA wametunga mtihani nje ya silabasi ya o, level?au ulitaka waangalie kitu gani
 
plz kabla ya kuandika chochote fikiri kwanza mm na masters .

Na masters yako bwana mushi..mawazo yako bado ni butu! kisaikolojia mwalimu toka moyoni anauwezo mkubwa wakumwezesha mwanafunzi yeyote..kitaalamu!!
 
Mkuu kwani wapi imeainisha lazima kila mwaka zipatikane points 7 au 8 ndio kiwe kipimo cha ufaulu, kuna miaka ya nyuma kwa A, level points 3 ilikuwa inatamkwa tu ila kupaikani ilikuwa ishu
 


Mkuu ndio maana nikasema kua sitetei wajinga, wasiwasi wangu yawezekana kukawa na kitu ambacho kinaendelea sisi hatukijui lakini kinatugharimu. Sakata la Islamic knowledge lilimlenga Ndalichako moja kwa moja lakini yasemekana kuna watu walimtega kwa maksudi ili ionekana kua anahusika, na ndio maana serikali baada ya kufanya utafiti ikagundua kua hakua na hatia(ulikua ni mpango maalum wa kumchonganisha na jamii fulani). Ndani ya NECTA kuna watu wana matatizo na wanajua wazi kua anaebeba mzigo ni Ndalichako. Ninachoweza kusema(ninavyoona mimi) ni kua NECTA kuna tatizo na tatizo lenyewe ni zaidi ya Ndalichako mwenyewe.
 
je hilo tatizo limeanza kujitokeza hii 2012???kwanini sio long time .nafikiri kila aliyepata ilikuwa ni sahihi kwake na NECTA haina tatizo ,sehemu nyeti zimekaliwa na hawa jamii fulani sas wanataka na huko NECTA wawepo ili wafanye mambo yao ya upendeleo.
NINAHAKIKA NECTA HAINA TATIZO TATIZO NI WANAFUNZI WENYEWE KILA MWAKA WANABEBWA NA STANDADIZATION SASA HAIKUWEPO BASI CHALIIII WANAONA SHIDA,LAWAMA JE WAZIRI WA ELIMU HAPASWI KULAUMIWA?KATI YA KAWAMBWANA NDALICHAKO NANI ANA DIRECT IMPACT NA WATAHINIWA????MSIMTWIKE DDA WA WATU FEDHEHA ALISOMESHWA NA WAZAZI WAKE NDIO SABABU YUKO PALE NA KIUTENDAJI YUPO VIZURI THATS WHY SHE IS THERE.
 
Mkuu kwani wapi imeainisha lazima kila mwaka zipatikane points 7 au 8 ndio kiwe kipimo cha ufaulu, kuna miaka ya nyuma kwa A, level points 3 ilikuwa inatamkwa tu ila kupaikani ilikuwa ishu


Mkuu siku hizi mazingira ya kusoma ni tofauti na ya zamani.
 
Mkuu siku hizi mazingira ya kusoma ni tofauti na ya zamani.
Nakubaliana na wewe mkuu ila hayo mzaingira ndio yanachangia kuwaharibu wengi badala ya kuyatumia vizuri yawasaidie wamekuwa na mambo mengi kuliko hata walezi wao,inawezekana moja ya kuongezeka kufail kwao ni kutotumia vizuri technologia
 
Naogopaga kuwabishia waandishi wa habari na watangazaji kwa sababu wanaonekana kuwa na akili nyiiingiiii!

Sijawahi kujiuliza kama hii kazi unaisomea ukiwa na Div gani? Je ni % gani ya waandishi walipata Div I O-level na A-level.

Isije ikawa mtu kaandika kinachomhusu "nilifeli kwa sababu pepa ilikuwa siyo".
 
Pasco unaingia kwenye mtego wa kwamba mtihani ulikuwa mgumu?? kisa watoto wako wamefeli?
Wewe mwenyewe mtoto wako alikuambia mtihani ulikuwa mrahisi,iweje sasa hivi usema NECta walitungabmtihani mgumu??

Msitafute visingizio visivyo na maana,msijifanye kama hamuoni tatizo la Elimu kushuka ni nini?

Mbona mnajifanya kutoona utendaji wa serikali towards elimu?

Nikuambie ukiiongea na wanafunzi wengi wanasema mtihani ulikuwa fair sana,mfano Civics kulikuwa na swali la kwanza What is the importance of Civics? Ugumu huu waapi bwana Pasco,kama mwandishi mkongwe kama wewe unaandika haya basi sishangai kwanini watoto wako wamefeli.

Msitafute pa kutokea,wizara yenye dhamana ndio wa kuanza kuwanyooshea kidole,husipepese macho na kuanza kuandika upuuzi wenu kwa kuipeperushia serikali lawama hizi.

Wewe muandishi Pasco,ulifuatilia majibu ya kidato cha pili miaka miwili iliopita

Wana JF Pasco ni mtu mbaya sana,mchochezi mkubwa mnajua hilo kundi analoliita "watu fulani" ni wakina nani? mmeshalijua mnakumbuka sakata lao last year PAsco anajua kundi hilo wasivyo na subira na uwezo usio mkubwa kufikiri ndio maana kalenga kwenye kundi hilo awawashe hasira.
 
Ukisifiwa unajua kukimbia utapita kwenu
 
Mawazo mgando. Mdogo wangu mwenyewewe kafail na si wa upande huo. Nyie watu nyie?
 
minadhani tuandamane atoke kawambwa au mnasemaje mazee

Huyu Kawambwa has failed in all the positions that his relative [who happens to be the President] has given him undeservedly!! Huyu ndio wa kutimuliwa kwani amehatalisha uhai wa Taifa na sio Dr. Ndalichako. Wasitafute mchawi kwani anajulikana.
 

Kazi ya uandishi wa habari ni kipaji na sio shule (wao wanavyodai), waandishi wengi wa habari tulionao ni baadhi tu ya watu waliofeli mitihani yao ya NECTA form IV na VI.

Ndio maana kila kukicha tunaona madudu kwenye tasnia hii ya habari, tunawaita makanjanja, wachumia tumbo etc. Inshort kama ulifeli mitihani na hukujua kwa nini ulifeli wewe ni felia mbaya, na hii ndiyo inamwathiri mwanzilishi wa topic.

Please, advise your kids to work hard.
Kukiwa na cut-off ya 150%, tukawa tunahitaji watoto 80, kama 85 wamepata zaidi ya 150%, then tutachukua top 80, so mwanao atakuwa kwenye waiting list.
Enzi zetu tulikuwa na lugha ya umefaulu lakini hukuchaguliwa, unaielewa hii? Maana yake uko above average lakini nafasi ziko limited.
 
.
Mkuu Nokia Tochi, kwanza asante kwa posti hii, wewe uu mmoja kati ya wengi "who can read in between the line!". Nchi hii ukiwa mkweli sana huitwa "mchochezi!", hivyo sishangai!. Swali langu kwako ni jee is it fair kwa hilo kundi la "watu fulani?!", jee unaweza kufanya utafiti hao 60% waliozungusha ni kina nani?!, ukiwajua, huu utakuwa ni ukweli mchungu!. Niite mchochezi ila ukweli ndio huo!, kama hatutaukubali ukweli huu, haya yanayoendelea sasa ni rasharasha tuu, na ni dalili ya mawingu, mvua zinakuja!.
Pasco.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…