Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
malalamishi ya wazazi wao ndio yamepelekea anguko hilo.hakuna standardisation iliyofanyika na mitihani ilisahishwna systems ,hakuna huruma ya aliyekuwa anakaribia jibu au la kilichotakiwa ni jibu sahihi tu upate maksi.tatizo kubw ani secta binafsi zilizoingilia secta ya elimu nakutaka wafanye kam wao watakavyo kitu ambacho si sawa wjipange upya .unataka wqafaulishwe kama wale darasa la saba wanafika form 2 hawajui kusoma nkauandika?Ufaulu wenyewe siyo huo tulioutegemea, nimejaribu kufuatilia shule nyingi sikuona point 7 au 8. Hata watoto waliofaulu bado wengi wao hawaamini kilichotokea. Ukitaka kuelewa vizur zitafute shule zilizoingia top ten mwaka huu halafu angalia na top ten ya mwaka jana ndo ulinganishe matokeo ya mwaka huu na ya mwaka jana. Sitetei wabovu ila kitenndo cha point 7 & 8 kutokuonekana kinanipa wasi wasi.
Kusema za ukweli nilimheshimu Pasco ila hii sredi imenishangaza kweli. Hebu Pasco ikarabati ili ikufanane. Ukipata ujumbe usioufurahia katika barua iliyotumwa kupitia posta, utalaumu posta au mwandishi?Baadhi ya Wahandishi wa Habari epukeni kufikiria kwa kutumia masaburi!
Githeri wewe jembe!Sikubaliani nawe Pasco kwa hili. Tangu ameingia Dr. J. Ndalichako hapo NECTA wizi wa mitihani hamna. Kabana kona zote. Je ni yeye anayefanya wanafunzi wakose learning materials, facilities, walimu wakose teaching morale etc zinazosababisha vijana wafeli. Tutafute mzizi wa tatizo then tuchukue hatua!
Sawa umesema vyema kwani hao NECTA wametunga mtihani nje ya silabasi ya o, level?au ulitaka waangalie kitu ganindugu yangu sikubaliani na wewe. mwalimu anapotunga mtihani shuleni, lazima ajiulize kuwa syllabus imefundishwa hadi wapi. akitunga mtihani wa muhula wa kwanza, itakua ajabu akiweka topics ambazo hajazifundisha. zinafaa kufundishwa
muhula wa pili. huo ndiyo upimaji (evaluation)
ile formula ya kcaase kwa waliyo chukua ualimu wanaelewa umuhimu wake. kugawa maswali kwa 25. 50 na 25% kama nilivyo andika awali ni muhimu sana. kwa mwalimu bora, akipelekwa senegal kutunga mitihani, hawezi kukurupuka kutunga kabla ya kuzingatia vipengele vingi. baadhi yake ni kuuliza kama hapajatokea mafuriko au vita au janga lolote lililofanya syllabus zisifundishwe kwa ukamilifu, maabara zipo mashuleni, ufaulu wa mwaka uliopita ulikuwaje, nk......
ufaulu mzuri ni ule ambao umekaa kama bakuli lilofunikwa. pande za pembeni ziko chini na upande wa katikati uko juu. namaanisha kuwa wanaofaulu kwa division 1 wachache, wanaopata div 11 na 111 wengi, na wale wa iv na 0 wachache. mwaka huu wa iv na 0 ndiyo wengi! hii ni hatari. sababu zitafutwe naamini ni nyingi lakini lazima waliyotunga nao wana swali la kujibu. dkt. ngalichako ajiuzulu
plz kabla ya kuandika chochote fikiri kwanza mm na masters .
Mkuu kwani wapi imeainisha lazima kila mwaka zipatikane points 7 au 8 ndio kiwe kipimo cha ufaulu, kuna miaka ya nyuma kwa A, level points 3 ilikuwa inatamkwa tu ila kupaikani ilikuwa ishuUfaulu wenyewe siyo huo tulioutegemea, nimejaribu kufuatilia shule nyingi sikuona point 7 au 8. Hata watoto waliofaulu bado wengi wao hawaamini kilichotokea. Ukitaka kuelewa vizur zitafute shule zilizoingia top ten mwaka huu halafu angalia na top ten ya mwaka jana ndo ulinganishe matokeo ya mwaka huu na ya mwaka jana. Sitetei wabovu ila kitenndo cha point 7 & 8 kutokuonekana kinanipa wasi wasi.
malalamishi ya wazazi wao ndio yamepelekea anguko hilo.hakuna standardisation iliyofanyika na mitihani ilisahishwna systems ,hakuna huruma ya aliyekuwa anakaribia jibu au la kilichotakiwa ni jibu sahihi tu upate maksi.tatizo kubw ani secta binafsi zilizoingilia secta ya elimu nakutaka wafanye kam wao watakavyo kitu ambacho si sawa wjipange upya .unataka wqafaulishwe kama wale darasa la saba wanafika form 2 hawajui kusoma nkauandika?
je hilo tatizo limeanza kujitokeza hii 2012???kwanini sio long time .nafikiri kila aliyepata ilikuwa ni sahihi kwake na NECTA haina tatizo ,sehemu nyeti zimekaliwa na hawa jamii fulani sas wanataka na huko NECTA wawepo ili wafanye mambo yao ya upendeleo.Mkuu ndio maana nikasema kua sitetei wajinga, wasiwasi wangu yawezekana kukawa na kitu ambacho kinaendelea sisi hatukijui lakini kinatugharimu. Sakata la Islamic knowledge lilimlenga Ndalichako moja kwa moja lakini yasemekana kuna watu walimtega kwa maksudi ili ionekana kua anahusika, na ndio maana serikali baada ya kufanya utafiti ikagundua kua hakua na hatia(ulikua ni mpango maalum wa kumchonganisha na jamii fulani). Ndani ya NECTA kuna watu wana matatizo na wanajua wazi kua anaebeba mzigo ni Ndalichako. Ninachoweza kusema(ninavyoona mimi) ni kua NECTA kuna tatizo na tatizo lenyewe ni zaidi ya Ndalichako mwenyewe.
Mkuu kwani wapi imeainisha lazima kila mwaka zipatikane points 7 au 8 ndio kiwe kipimo cha ufaulu, kuna miaka ya nyuma kwa A, level points 3 ilikuwa inatamkwa tu ila kupaikani ilikuwa ishu
Nakubaliana na wewe mkuu ila hayo mzaingira ndio yanachangia kuwaharibu wengi badala ya kuyatumia vizuri yawasaidie wamekuwa na mambo mengi kuliko hata walezi wao,inawezekana moja ya kuongezeka kufail kwao ni kutotumia vizuri technologiaMkuu siku hizi mazingira ya kusoma ni tofauti na ya zamani.
Ukisifiwa unajua kukimbia utapita kwenuMkuu Fidelity, sijutii uamuzi wangu kusomesha vijana wangu shule za kata, bali naumizwana kijana wangu kichwa wa hisabati, kupata daraja C.
Mwaka juzi, binti yangu last but one, aliomba kujiunga St. Marian Girls nini nikamgomea wife akawasha moto, hadi kumpeleka kufanya usahili, matokeo alikosa, alilia sana baada ya kuambia cut off point ni makisi 150/200. Akamthibitishia mama yake kuwa amedhulumiwa, hawezi kukosa average ya 75 kwa mitihani mitatu waliofanya!, binti analia tuu, hatimaye nikakubali, mimi, binti na mama, hao Bagamoyo kwa mkuu wa shule, tuki demand kuona matokeo halisi ya mwanetu!.
Kwanza tulikataliwa, nilipoeleza sababu nyeti nilizozisikia kuhusu selection ya St. Marian, Mkuu wa shule akanikubalia, ikaitishwa file, narking scheme na pepa za mwanangu, wamefanya pepa 4. hesabu, sayansi, Kiingereza na maarifa!. Kila pepa maswali 50 na kila swali makisi 1. Cut of point ni makisi 150/200. Binti kapiga 42, 32, 38 na 36. Total ni zaidi ya 150/200 hivyo ni over and above ile cut off point yao, kuuliza sasa kwa nini hakuchaguliwa, nikaletewa hadithi!.
Kufuatia matokeo haya mabaya, wale wazazi tunao waaminia wenetu, hatuwezi kukubali hili likapita hivi hivi tuu!.
Mimi ni kama Tomaso, sikubali mpaka nione pepa moja tuu, ya hesanu ya kijana wangu!. Kiukweli, pamoja na mengine yote, " The games that NECTA plays on poor people!, its very dangerous gamea!".
Pasco.
Wanabodi,
Kwa maoni yangu, kitendo cha NECTA kutunga mtihani ambao siyo ili kuwakomoa "watu fulani " kulikopelekea wanafunzi kufeli vibaya ili kujustify hao kina "fulani" ni wajinga!, na kuyapeleka makaratasi halisi ya mtihani kuuanika uthibitisho wa jinsi hao kina fulani walivyo jibu utumbo yakiwemo matusi ili kupata public sympathy kujustify tatizo sio NECTA, sio mitihani wall sio usahihishaji bail ni wanafunzi ndio wajinga na vibonde, hakipaswi kuachwa bila kupingwa!.
Wengi waliangalia hili kwa jicho la juu juu juu tuu bila kujiuliza wajinga halisi ni kina nani na long impact ya ukomoaji huu wa NECTA utalifikisha wapi taifa letu in a long run baada ya matokeo hayo kujenga matabaka ya wenye nacho na wasionacho!.
Kwa sio jua Wengi wa waliofaulu ni watoto wa wenye nacho ambao wana uwezo wa kuwalipia watoto wao shule bora, na wengi wa waliofeli ni watoto wa wa wasionacho hivyo Mama Ndalichako kupitia NECTA anawanyanganya hata hicho kidogo walichonacho, unategemea mini after a long time ?!.
I think it's time up for Mama, Dr. Joyce Ndalichako to go!, not withstanding madhaifu mengine yote wenye mfumo wetu wa elimu.
Pasco.
minadhani tuandamane atoke kawambwa au mnasemaje mazee
By Pasco![]()
Mkuu Fidelity, sijutii uamuzi wangu kusomesha vijana wangu shule za kata, bali naumizwana kijana wangu kichwa wa hisabati, kupata daraja C.
Mwaka juzi, binti yangu last but one, aliomba kujiunga St. Marian Girls nini nikamgomea wife akawasha moto, hadi kumpeleka kufanya usahili, matokeo alikosa, alilia sana baada ya kuambia cut off point ni makisi 150/200. Akamthibitishia mama yake kuwa amedhulumiwa, hawezi kukosa average ya 75 kwa mitihani mitatu waliofanya!, binti analia tuu, hatimaye nikakubali, mimi, binti na mama, hao Bagamoyo kwa mkuu wa shule, tuki demand kuona matokeo halisi ya mwanetu!.
Kwanza tulikataliwa, nilipoeleza sababu nyeti nilizozisikia kuhusu selection ya St. Marian, Mkuu wa shule akanikubalia, ikaitishwa file, narking scheme na pepa za mwanangu, wamefanya pepa 4. hesabu, sayansi, Kiingereza na maarifa!. Kila pepa maswali 50 na kila swali makisi 1. Cut of point ni makisi 150/200. Binti kapiga 42, 32, 38 na 36. Total ni zaidi ya 150/200 hivyo ni over and above ile cut off point yao, kuuliza sasa kwa nini hakuchaguliwa, nikaletewa hadithi!.
Kufuatia matokeo haya mabaya, wale wazazi tunao waaminia wenetu, hatuwezi kukubali hili likapita hivi hivi tuu!.
Mimi ni kama Tomaso, sikubali mpaka nione pepa moja tuu, ya hesanu ya kijana wangu!. Kiukweli, pamoja na mengine yote, " The games that NECTA plays on poor people!, its very dangerous gamea!".
Pasco.
.Pasco unaingia kwenye mtego wa kwamba mtihani ulikuwa mgumu?. Ugumu huu waapi bwana Pasco,kama mwandishi mkongwe kama wewe unaandika haya basi sishangai kwanini watoto wako wamefeli.
Wewe muandishi Pasco,ulifuatilia majibu ya kidato cha pili miaka miwili iliopita
Wana JF Pasco ni mtu mbaya sana,mchochezi mkubwa mnajua hilo kundi analoliita "watu fulani" ni wakina nani? mmeshalijua mnakumbuka sakata lao last year PAsco anajua kundi hilo wasivyo na subira na uwezo usio mkubwa kufikiri ndio maana kalenga kwenye kundi hilo awawashe hasira.