kallenge
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 623
- 606
Kwani wewe ndio yupi hapoView attachment 3156989Kando yake iliyomponza Dr….
Picha inajieleza, sitoandika zaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wewe ndio yupi hapoView attachment 3156989Kando yake iliyomponza Dr….
Picha inajieleza, sitoandika zaidi.
Hivi huyo wa nyuma yake ni sanamu au mtu maana ana bichwa kubwa sana ...........hivi huyo naye alipita ukeni au???View attachment 3156989Kando yake iliyomponza Dr….
Picha inajieleza, sitoandika zaidi.
Tido ni 70+Sawa.
Aisee soo jamaa aliona bora abe e mbususu yake 🤣🤣🤣🤣View attachment 3156973
Wakuu, poleni kwa janga la Kariakoo. Mungu awarehemu waliotangulia, majeruhi wapate nafuu mapema na ambao bado wapo katika kifusi wapate kuokolewa wangali hai, Amen!
Kama mtakumbuka vyema, mwishoni mwa mwezi May niliwaletea habari kuhusiana na suala la Dr. Khiago kutumia nafasi yake kama Katibu Mtendaji wa bodi ya filamu nchini kufanya upendeleo katika ziara iliyoandaliwa na Ofisi ya Rais ambayo wasanii na wadau wa filamu nchini waliungana na Rais kuelekea Korea ya Kusini.
Niliwaelezea namna Dr. Khiago alivyotumia nafasi yake hiyo kumuengua msanii (Mwanamama) aliyependekezwa hapo kabla kisha kumuweka anayedaiwa kuwa 'mpango wa kando' wake. Kitendo hicho kilituumiza tuliokuwa wengi, hadi kupelekea mimi kupaza sauti hapa jamvini...
Hivyo basi, hilo na mengine mengi vimepelekea Dr. Khiago kukosa sifa ya kuendelea kuwa Katibu Mtendaji wa bodi ya filamu nchini.
Taarifa za uhakika nilizonazo ni kwamba tayari ameshaenguliwa katika nafasi hiyo, na Katibu Mkuu mpya atakuwa baina ya Tido Muhando, Dr. Kasiga kutoka Udom au mwingine ambaye nimeshindwa kulipata jina lake kwa uharaka.
Penzi kitovu cha uzembe... Dokta atarudi kufundisha chuo kikuu kutoka kuwa Bosi wa bodi ya filamu nchini!
Chanzo changu nyeti pamoja nami,
Nifah.
Pia soma
Zengwe lagubika ziara ya Rais na wasanii; waratibu wadaiwa kufanya mchezo mchafu
Mkono mtupu haulambwi! Naam, ndivyo ninavyoweza kulielezea hili. Wikiendi iliyopita Rais alijumuika kwenye uzinduzi wa albam ya msanii wa kizazi kipya Harmonize akiwa kama mgeni rasmi pamoja na wageni waalikwa wengine ambao ni viongozi na wadau wa tasnia ya burudani. Katika uzinduzi huo Rais...www.jamiiforums.com
Just a funny tu sijamaanisha .........sorryNilishaanza kucheka ila umemalizia vibaya, dah!
Ah muhimu alikula mbususu hayo ya madaraka yanakuja nankuondoka asingekaa hapo milele.Imemponza, kala umeme.
Acha MajunguView attachment 3156989Kando yake iliyomponza Dr….
Picha inajieleza, sitoandika zaidi.
Vipi kuhusu maslahi? Anarudi kusubiri mshahara kwa mshahara kutoka kuwa bosi.Ila kufundisha chuo kikuu ni kazi ya heshima sana na huko anaweza kujisevia naniliu mabazo zipo fresh, aachane na hizo za bongo muvi ambazo zimeshatembea kilometa nyingi 😏
😂😂😂😂😂😂Hivi huyo wa nyuma yake ni sanamu au mtu maana ana bichwa kubwa sana ...........hivi huyo naye alipita ukeni au???