johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kwa kiswahili tafadhali!He is bluffing.
Kigwa anamiliki ranchi ya mifugo wewe unasema ana njaa?Njaa mbaya sanaa
Hahahaaaa.........!Pale jambazi anapotaka akupige nusu kaputi huanzaga hivi ili ujisahau
Njaa ya umaarufu maana yule jamaa anapenda sanaa kuonekana onekana kwenye mitandaoKigwa anamiliki ranchi ya mifugo wewe unasema ana njaa?
Hahahaaaa....... Kwahiyo anataka abebwe tena?!!!Njaa ya umaarufu maana yule jamaa anapenda sanaa kuonekana onekana kwenye mitandao
2010 Ubunge Nzega: Matokeo kura za maoniKama mpango yake ya siasa ilifunguliwa na Jk basi aliyeifunga ni Jpm
Kumbe je ? Ndo njaa yake akiona mtu ameteka umaarufu anajisogeza kwake ili na yeye atajwe tajwe.Hahahaaaa....... Kwahiyo anataka abebwe tena?!!!
Hii nchi ina vituko vingi.
Nilikuwa nasuspect huyu mheshimiwa ana multiple personality syndrome. Lakini ☝️inathibitisha.Dr Kigwangalla amesema mzee Kikwete ndiye aliyemfungulia mlango wa kuingia kwenye siasa hivyo anajisikia fahari sana.
Kigwangalla amemtakia mstaafu mzee Kikwete maisha marefu na yenye furaha.
Awali Kigwangalla alisema mawaziri wanaoteuliwa kwa kubebwa huwa hawana ubunifu na huishia kukaa tu maofisini lakini mawaziri wenye maono na uthubutu wa kutenda huambulia misukosuko mingi ikiwemo kutupwa nje ya ofisi.
Yeye kabuni nini zaidi ya kutukana watuDr Kigwangalla amesema mzee Kikwete ndiye aliyemfungulia mlango wa kuingia kwenye siasa hivyo anajisikia fahari sana.
Kigwangalla amemtakia mstaafu mzee Kikwete maisha marefu na yenye furaha.
Awali Kigwangalla alisema mawaziri wanaoteuliwa kwa kubebwa huwa hawana ubunifu na huishia kukaa tu maofisini lakini mawaziri wenye maono na uthubutu wa kutenda huambulia misukosuko mingi ikiwemo kutupwa nje ya ofisi.
Anabufua bufua. Kwa hisani ya mkalimani wa serikali.Kwa kiswahili tafadhali!
Alibuni " mzaha siyo mzaha?"Yeye kabuni nini zaidi ya kutukana watu
Hiyo pekee haikutosha. Bali alikwenda na kwa masangoma wa Nzega wakakamtoa kafara mwanaye mchanga ili apate vyeoDr Kigwangalla amesema mzee Kikwete ndiye aliyemfungulia mlango wa kuingia kwenye siasa hivyo anajisikia fahari sana.
Kigwangalla amemtakia mstaafu mzee Kikwete maisha marefu na yenye furaha.
Awali Kigwangalla alisema mawaziri wanaoteuliwa kwa kubebwa huwa hawana ubunifu na huishia kukaa tu maofisini lakini mawaziri wenye maono na uthubutu wa kutenda huambulia misukosuko mingi ikiwemo kutupwa nje ya ofisi.
Yeye mwenyewe walibebwa baada ya kupigwa chini na Basheal hafu leo anawaponda wanaobebwa ......!!Dr Kigwangalla amesema mzee Kikwete ndiye aliyemfungulia mlango wa kuingia kwenye siasa hivyo anajisikia fahari sana.
Kigwangalla amemtakia mstaafu mzee Kikwete maisha marefu na yenye furaha.
Awali Kigwangalla alisema mawaziri wanaoteuliwa kwa kubebwa huwa hawana ubunifu na huishia kukaa tu maofisini lakini mawaziri wenye maono na uthubutu wa kutenda huambulia misukosuko mingi ikiwemo kutupwa nje ya ofisi.