Dr Kigwangalla: Mzee Kikwete alinifungulia mlango wa kuingia kwenye siasa, namtakia maisha marefu!

Dr Kigwangalla: Mzee Kikwete alinifungulia mlango wa kuingia kwenye siasa, namtakia maisha marefu!

Nadhani JK atakuwa anajutia sana kwa kuingiza mtu ambae sio sahihi kwenye career sahihi

JK Hawezi kusema tu ila huo ndio ukweli

Tumepoteza sana kama nchi kuwa na watu wasio sahihi kwenye career sahihi
 
Dr Kigwangalla amesema mzee Kikwete ndiye aliyemfungulia mlango wa kuingia kwenye siasa hivyo anajisikia fahari sana.

Kigwangalla amemtakia mstaafu mzee Kikwete maisha marefu na yenye furaha.

Awali Kigwangalla alisema mawaziri wanaoteuliwa kwa kubebwa huwa hawana ubunifu na huishia kukaa tu maofisini lakini mawaziri wenye maono na uthubutu wa kutenda huambulia misukosuko mingi ikiwemo kutupwa nje ya ofisi.
Pamoja na ile ripoti ya CAG kumutuhumu bado yupo mtaani anadunda
 
Lazima amfagilie aendelee kupata unafuu wa maisha maana kwa sasa maagizo yanatililika paap ndo yanaenda ikulu kutekelezwa.
Hayo maagizo umeyaona yakitoka huko usemako na kwenda IKULU?!!!

Conspiracies tu zimewajaa.....
 
Dr Kigwangalla amesema mzee Kikwete ndiye aliyemfungulia mlango wa kuingia kwenye siasa hivyo anajisikia fahari sana.

Kigwangalla amemtakia mstaafu mzee Kikwete maisha marefu na yenye furaha.

Awali Kigwangalla alisema mawaziri wanaoteuliwa kwa kubebwa huwa hawana ubunifu na huishia kukaa tu maofisini lakini mawaziri wenye maono na uthubutu wa kutenda huambulia misukosuko mingi ikiwemo kutupwa nje ya ofisi.
Bado anakinyongo na cheo! ajiajiri sababu ana mtaji na huu ndiyo huwa wimbo wao kuwa watu wajiajiri lakini mwenyewe hawataki
 
Dr Kigwangalla amesema mzee Kikwete ndiye aliyemfungulia mlango wa kuingia kwenye siasa hivyo anajisikia fahari sana.

Kigwangalla amemtakia mstaafu mzee Kikwete maisha marefu na yenye furaha.

Awali Kigwangalla alisema mawaziri wanaoteuliwa kwa kubebwa huwa hawana ubunifu na huishia kukaa tu maofisini lakini mawaziri wenye maono na uthubutu wa kutenda huambulia misukosuko mingi ikiwemo kutupwa nje ya ofisi.
Karudisha ile mil. 900 aliyotamka CAG kwenye ripoti yake? nafikiri ni wakati sasa wa PM kwenda kule maliasili baada ya kutoka wizara ya fedha.
 
Back
Top Bottom