Dr. Leaky Abdallah, Shafih Dauda, Edo kumwembe na Geofrey Leah nani mchambuzi bora wa soka?

Babu Alex Kashasha yuko vema.
 
Leaky atabia kuwa best milele... kwanza mkongwe afu itikadi sio saaaana......

Achna na wachambuzi wa maelekezo na kuzoom zoom camera.....

Kidoogo yule othman kazi anayafaham haya mambo hajapewa uwanja tu
 
Dkt Leakey anajitahidi sana hasa history ya soka kumwembe anajitahidi sana kwa kuandika makala za soka
 
Wapi Charles Hillary???
Baada yake ndio anafuata dr. Leakey
 
Dr. Leaky kama peluigi colina.
Anajua kuchambua, kuoanisha, kufikirisha na kutambua.
Hatafuti sifa, ana uelewa mpana wa soka (haungiungi)

Ana misamiati maridhawa.

Akichambua soka utaangalia kabla ya mchezo, mchezo wenyewe mpaka watakapoaga studio.

Kipindi cha mapumziko kwako itakuwa burudani level ingine.
"yatakukera matangazo ya biashara tu"
 
Edo a.k.a kumwembe achana na huyu kiumbe wa kusin mwa tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…