Dr Levy: Ali Kiba ni dozi ya kutwa mara tatu

Nakusaidia kitu hapa "kiba mwanamuziki na nasibu ni msanii"
 
Ongeeni vyote xee bt we still appriciate what dimond doing naweza uliza kwa kile kilicho semwa et dimond angekuw na voice kam ali angesimamisha dunia asa hy ali wap yup kuisimamish en msinambie hataki kujitangaza kama hv asingetaka kuingia kweny tuzo za kimataifa.
 
Mwaka huu mtakoma Bila kumtaja baba enu hamwend sawa na WCB tushasema hatutoi Kiki mwaka huu mnakufa kivyenu
 
Hata DSTV haipo
 
Sawa tumekuelewa Msemaji Wa Ali kibakuli...
 
Mbona nyingi diamond ashazpata kasoro soundcity tu
 
itu vingine vinakuja automatically.

Huwezi kumkwepa Diamond halipo Ali.
Huwezi kumkwepa Ronaldo alipo Messi.
Huwezi kuikwepa Yanga ilipo Simba.

hii ni kwa mashabiki wa Ali wanaotaka awe kama Diamond.

We ni muelewa...naamini umenielewa.
Mashabik I wa Ali wanataka kuwa kama mond so mond yupo juu yenu
 
Naam mkuu.

We umetuelewa vzuri kabisa...hiyo ndiyo tofauti ya Ali na Nasibu.

Ali haumizi kichwa kumpita Nasibu kibiashara maana kwenye akili yake Muziki ni burudani kama anavyocheza mpira kiburudani...
 
Naam mkuu.

We umetuelewa vzuri kabisa...hiyo ndiyo tofauti ya Ali na Nasibu.

Ali haumizi kichwa kumpita Nasibu kibiashara maana kwenye akili yake Muziki ni burudani kama anavyocheza mpira kiburudani...
Asa kama anafanya mziki burudani mbona unamfananisha na anafanya mziki biashara au sizitaki mbivu izi......mnalilia adi tunzo..!!
 
Naam mkuu.

We umetuelewa vzuri kabisa...hiyo ndiyo tofauti ya Ali na Nasibu.

Ali haumizi kichwa kumpita Nasibu kibiashara maana kwenye akili yake Muziki ni burudani kama anavyocheza mpira kiburudani...

Ali kiba anafanya kazi gani?!
 
Yaani wewe ni mbaya kuliko ubaya wenyewe, nnachokuomba katika hii vita ya uteam humu mitandaoni jitoe maana utaua upinzani.
 
ila kaa ukijua kwamba Bila Mond bin Laaaden uyo kiba leo angekuwa kama Ally nipishe 2
 
Kiba anaekwenda Dodoma na shabiby line,likaharibika,akalisubiri litengenezwe,kaingia dodoma saa 7 za usiku,kwenda kwenye shoo akataka kuuwawa na mashabiki wenye hasira au kiba yupo huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…