Diamond alichomzidi Kiba ni ubunifu na akili ya biashara, full stop. Diamond has made himself a multi milion brand. He has worked so hard to spread his music to the rest of Africa. He has opened a record label, he has signed 4 artists. His brand has seen him become a brand ambassador for lucrative brands such as Vodacom. Automatically his woman and his children have also become brands (angalia 40 ya Tiffa na angalia makampuni yaliyo sponsor 40 ya Nillan). All this came through his hard work and creativity. He is becoming wealthier every year. His children and his family have a secured life and future.
Kaeni hapo mkimuongelea Ali Kiba na sauti yake. Yes ana sauti nzuri kushinda Diamond. Haya hiyo sauti inatamfikisha wapi kama hana ubunifu? Hana akili ya biashara...muziki ni talent na bila kufanya biashara utabaki unaimba for nothing. Kuweni na akili na mshaurini Ali vizuri. Mnafikir mki mponda Dai ndio Ali Kiba anafanikiwa? Diamond ameshapita yuko mbali mnoo.
Halafu mlivyo hamna akili mnamuita Dai mpenda kiki. Yes ana penda kiki, maana kiki zinampa fans wengi, zina fanya watu hata kama sio mashabiki wake wamuangalie wamfollow. Vodacom na makampuni makubwa wakiangalia wanamuona Dai anafuatwa na watu zaidi ya milion 2 kutoka kila pembe ya Africa. Who is a better person to carry their brand more than Dai?
Ndio maana nasemaga, Dai hajasoma mpaka chuo kikuu but ana akili sana za maisha. Na Mungu ana msimamia.
Kaeni hapo mkiandika mapost ya kumponda Dai na kumpaka Ali mafuta.... hata Dai aache mziki leo, Ali Kiba hamfikii mafanikio yake ng'oo. That's just how Ali Kiba is.