johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Katibu mkuu aliyetumbuliwa!View attachment 1302424
Huu ni utaratibu wa kawaida kwa chama cha siasa kikubwa na kilichokomaa kama Chadema
Mungu ibariki Chadema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katibu mkuu aliyetumbuliwa!View attachment 1302424
Huu ni utaratibu wa kawaida kwa chama cha siasa kikubwa na kilichokomaa kama Chadema
Mungu ibariki Chadema
Ahaa asnte kwa ufafanuziMwenye shati la maua maua
Ahaa kumbe ni mwana yanga
Mbona umewaza mbali sana[emoji2]Hivi Usalama wa taifa wakurugenzi wao wanakabidhianaje ofisi
Wee ndogo nini sasa kama simjui nisiulize?tatizo humu baadhi mnaona ni wote wanaojua au kujihusisha na siasa.
Nimeuliza nionyeshwe mi simjui kuna konyo juu hapo anataka kunikosoaSasa hapo yupi ni yupi? Picha haijaandika majina.
Hocus pocu!What a silly statementHopeless you ass!
atamuachia John hecheSawasawa, tusubiri siku ya Mbowe kuachia kijiti na kukabidhi ofisi.
muulize kapiHivi Usalama wa taifa wakurugenzi wao wanakabidhianaje ofisi
Mashinji Lowasa aliyekutuma uhujumu serikali ya Kikwete kwa kuitisha mgomo wa madaktari watu wakafa kibao kwa kukosa huduma muhimbiki hatimaye Mungu kakulipa malipo yako hapa hapa Duniani na bado Mungu atakuonyesha Cha mtema kuni Wewe na Lowasa wakoView attachment 1302424
Huu ni utaratibu wa kawaida kwa chama cha siasa kikubwa na kilichokomaa kama Chadema
Mungu ibariki Chadema
Mashinji asije jitia kuomba arudi CCM muuaji mkubwa
Ahaa kumbe ni mwana yanga
Naona mko kwenye mpapaso mnapapasana tuMashinji asije jitia kuomba arudi CCM muuaji mkubwa
Wote tuseme Amen
Body language ya Mashinji inaongea mengi sana,dizain kama hajapenda kuachia kiti😀 astahimili tu ndo haki ilivyoView attachment 1302424
Huu ni utaratibu wa kawaida kwa chama cha siasa kikubwa na kilichokomaa kama Chadema
Mungu ibariki Chadema
Mwezi umeandama au ndiyo sikukuu zimeanza ?Mnyika jiandae na wewe kupata kiboko toka kwa Mungu uliitisha mgomo wa madreva ubungo wa mabasi yaendayo mikoani watu wakaumia Sana hawakuwa na hela za kulala guest dar Wala za huko walikoenda kwa kuchelewa wako waliyopewa barua za kufukuzwa kazi,kuchelewa kufuata wagonjwa wao wawalete dar muhimbili na kusababisha wafe nk jiandae huyo anayekukabidhi alisababisha vifo vya watu kibao muhimbili.Wote wawili wauaji mnaokabidhiana