Tindikali Kali
JF-Expert Member
- Jan 9, 2018
- 541
- 396
Siyo kwa nafasi ya mwenyekiti lakini...View attachment 1302424
Huu ni utaratibu wa kawaida kwa chama cha siasa kikubwa na kilichokomaa kama Chadema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo kwa nafasi ya mwenyekiti lakini...View attachment 1302424
Huu ni utaratibu wa kawaida kwa chama cha siasa kikubwa na kilichokomaa kama Chadema
Na gwanda katupa kule!View attachment 1302424
Huu ni utaratibu wa kawaida kwa chama cha siasa kikubwa na kilichokomaa kama Chadema
Mungu ibariki Chadema
Huyo mwenye magoti...!Sory mkuu hapo huyo mnyika ndio yupi[emoji134]
Sasa hapo yupi ni yupi? Picha haijaandika majina.
Tuonyeshe picha ya Dk.Slaa akimkabidhi Mashinji Ofisi.View attachment 1302424
Huu ni utaratibu wa kawaida kwa chama cha siasa kikubwa na kilichokomaa kama Chadema
Mungu ibariki Chadema
Aliyenunuliwa hawezi kukabidhi ofisi .
Hivi Usalama wa taifa wakurugenzi wao wanakabidhianaje ofisi
jamani mashinji kachoka, shavudodo lote kwisha, sasa sijui atarudi Regent hospital kutoa nusu kaputi?View attachment 1302424
Huu ni utaratibu wa kawaida kwa chama cha siasa kikubwa na kilichokomaa kama Chadema
Mungu ibariki Chadema
Yuko nyuma ya kabati.Sory mkuu hapo huyo mnyika ndio yupi[emoji134]
Uliwahi kuona wapi picha imaandika!?Sasa hapo yupi ni yupi? Picha haijaandika majina.
Mashinji Lowasa aliyekutuma uhujumu serikali ya Kikwete kwa kuitisha mgomo wa madaktari watu wakafa kibao kwa kukosa huduma muhimbiki hatimaye Mungu kakulipa malipo yako hapa hapa Duniani na bado Mungu atakuonyesha Cha mtema kuni Wewe na Lowasa wako
Mashinji asije jitia kuomba arudi CCM muuaji mkubwa
Hivi wewe kibobori unajua kabila la Mnyika?mashinji nenda kachunge ng'ombe kwenu usukumani tu,waachie wenye chama lao wachaga
Mwenye kombati (khaki).Sory mkuu hapo huyo mnyika ndio yupi[emoji134]
[emoji1][emoji1]