wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Ahaa asante mkuuMwenye kombati (khaki).
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaa asante mkuuMwenye kombati (khaki).
Anaekaimu madaraka ndo anaekabidhi ofis .Hivi Usalama wa taifa wakurugenzi wao wanakabidhianaje ofisi
Hongera Mr. Mnyika kwa uteuzi kuwa katibu mkuu wa chadema. Nimesikiliza kwa umakini vipa umbele vyako ktk short term lakini nakuomba sana jenga makao makuu mapya na anzisha vyombo vya habari (media platform) ili kufikia wananchi kwa ufanisi. Kwa makao makuu ni kitu rahisi mno yet ni aibu kwa chadema kuendeshea harakati uchochoroni pale ufipa. Anza kwa kila mbunge kuchangia 10million/= na utaona ndani ya miezi 6 mnakuwa na makao makuu ya kisasa na ukumbi kama kitega uchumi. Peoples!! Wasalaam.View attachment 1302424
Huu ni utaratibu wa kawaida kwa chama cha siasa kikubwa na kilichokomaa kama Chadema
Mungu ibariki Chadema
. Mnyika ni hyo mfupi mnene mwenye kofia ya ya bluu ambae amekaa chini.Sory mkuu hapo huyo mnyika ndio yupi[emoji134]
Sawasawa, tusubiri siku ya Mbowe kuachia kijiti na kukabidhi ofisi.
Hovyooooooo👹👹👹👺Sawasawa, tusubiri siku ya Mbowe kuachia kijiti na kukabidhi ofisi.
Mlivokuwa mnalialia😭😭 Mbowe aachie ngazi kwakuwa anawapa tabu sana hamlali akili zenu mlimuachia nani?Mimi nimeandika kwamba Mbowe naye muda wake ukifika atamkabithi mrithi wake ofisi, je nimekosea?
Mshinji anaonekana kupata ahueni. Sura yake yaonyesha akisema afadhali nimetua hili zigo....View attachment 1302424
Huu ni utaratibu wa kawaida kwa chama cha siasa kikubwa na kilichokomaa kama Chadema
Mungu ibariki Chadema
Thubutu!Sawasawa, tusubiri siku ya Mbowe kuachia kijiti na kukabidhi ofisi.
View attachment 1302424
Huu ni utaratibu wa kawaida kwa chama cha siasa kikubwa na kilichokomaa kama Chadema
Mungu ibariki Chadema
Muulize Yericko Nyerere. Atakuwa ameiandika kwenye kitabu chake.Hivi Usalama wa taifa wakurugenzi wao wanakabidhianaje ofisi
mashinji nenda kachunge ng'ombe kwenu usukumani tu,waachie wenye chama lao wachaga