Dr. Modestus Kipilimba astaafu rasmi utumishi wa umma


Mwanzo wa maisha ya Majuto, na masikitiko yatakayofuatwa na kifo kisicho na furaha
 
Apumzike ale maisha

Mengine haya ya wanadamu ni upumbavu tu usio na maana, hisia za kijinga haziwezi mfanya mtu akose kile Mungu kampa!

Hukumu za Mungu ni za haki na kweli

Za wanadamu ni upumbavu, ujinga, na husuda na wivu usio na maana
 
Ndio maana unajiita mtoto wa shule huyajui mengi! Huyu alipiga simu akiwa Namibia akaongea Magufuli yupo mzima bukheri wa afya Erythrocyte yuko sahihi.
Kumbukumbu zako ziko vizuri? Mwaka 2019 aliteuliwa kuwa Balozi Namibia. Mwamba Jiwe Magufuli alifarikia mwaka 2021 wakati Kipilimba yuko Namibia. Halafu wewe eti alidanganya! Unakurupuka na nini?
 
View attachment 2719872
The Originals. Look at how happy everyone was.
Kwny Hii picha aliebaki peke yake ni Madam Makakala

Huyo wa kushoto alistuka Dereva wake anamuonesha Message za Pongezi kutoka kwny group la Ofisini kuwa Rais karidhia ombi lake la kustaafu kwa hiyari wakati hajawahi kuomba kustaafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…