Dr. Modestus Kipilimba astaafu rasmi utumishi wa umma

Hapa
View attachment 2719872
The Originals. Look at how happy everyone was.
Kipilimba alikuwa na pistol kali sana ambayo iko verified kuingia nayo popote tz inaonekana wazi ; huyu ndio alimnyetisha mchonga juu ya bwawa la mindu morogoro miaka ya 80 wabrazili kuiba dhahabu na mchonga akawatimua ndani ya masaa 24
 
ST.Magufuli atawashughulikia kama alivyowashughulikia kibiti
 
"What goes around comes around"

Mtu kama huyu sasa hivi, kweli atakuwa tena na maisha ya maana duniani?
 
Tatizo mnpata habari kwenye vyombo vya vichochoroni. Kipilimba alihojiwa na BBC mwaka 2021 akiwa hukohuko Namibia, akasema Magufuli ni mzima wa afya, akaknusha vikali taarifa za kuwa amefariki.
Nafuta niliyoandika hapo juu kuhusu "uungwana wa mkuu'Erythro'.

Hii kauli ya huyu mtu ninaikumbuka vizuri sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…