Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,816
- 8,809
Wewe unayefuatilia na kama uko vizuri, ungeliweka nukuu ya Dk. Kipilimba alisema hayo unayosema akiwa Namibia. Mwisho wa siku mnaaminishana kasema, kasema hamuweki ushahidi. Weka ushahidi hapa na nitafuta kauli yangu. Least, it will stand!Uwe unauliza clarification badala ya kubishana na kusema watu ni waongo. Hili tatizo tunalo watanzania wengi mno na limeshakuwa kama utamaduni wetu. Mtu anabishana kwanza halafu baadae unasikia anakuja kusema ''labda useme hivyo''.
Dogo, taarifa za zote za BBC ziko documented. Tupia hiyo taarifa tuione.Tatizo mnpata habari kwenye vyombo vya vichochoroni. Kipilimba alihojiwa na BBC mwaka 2021 akiwa hukohuko Namibia, akasema Magufuli ni mzima wa afya, akaknusha vikali taarifa za kuwa amefariki.
Mbona wewe ndio unaleta uzwazwa kabisa! Kwamba Dk. Kipilimba alipiga simu? Alimpigia nani? Erythrocytes? Ahahahahaha!!!Ndio maana unajiita mtoto wa shule huyajui mengi! Huyu alipiga simu akiwa Namibia akaongea Magufuli yupo mzima bukheri wa afya Erythrocyte yuko sahihi.
Nipo sana na nitaendelea kuwemo Ili niwaoneshe maana ya scholarly arguments!Wewe ndio bure kabisa tena toka humu jf usijiaibishe hujui lolote wala huna kumbukumbu
Sasa kama Waziri wake Mkuu alisema Boss wao ni mzima, yeye ni nani kumbishia Boss wake!?Tatizo mnpata habari kwenye vyombo vya vichochoroni. Kipilimba alihojiwa na BBC mwaka 2021 akiwa hukohuko Namibia, akasema Magufuli ni mzima wa afya, akaknusha vikali taarifa za kuwa amefariki.
Uzi mzima umekuona kilaza usijifichie upopoma wako kwangu mimi sio level yako.M
Mbona wewe ndio unaleta uzwazwa kabisa! Kwamba Dk. Kipilimba alipiga simu? Alimpigia nani? Erythrocytes? Ahahahahaha!!!
Jinga kabisa wewe. Unataka ushahidi kwani ulikuwa umefungiwa gerezani? Jambo limefanyika juzi juzi hata miaka mitatu haijaisha na watu tulijadili sana leo unajitoa ufahamu? Sina muda na idiot kama wewe!Wewe unayefuatilia na kama uko vizuri, ungeliweka nukuu ya Dk. Kipilimba alisema hayo unayosema akiwa Namibia. Mwisho wa siku mnaaminishana kasema, kasema hamuweki ushahidi. Weka ushahidi hapa na nitafuta kauli yangu. Least, it will stand!
Wewe unajiita mtoto wa shule, alafu unawaita wazee wako hapa JF 'dogo' 😀😀Dogo, taarifa za zote za BBC ziko documented. Tupia hiyo taarifa tuione.
Walikuwa wakifuata kauli moja hivyo asingesema vinginevyo. Ndo maana hata waziri mkuu nae akasema yake kule kwenye umati.Ndio maana unajiita mtoto wa shule huyajui mengi! Huyu alipiga simu akiwa Namibia akaongea Magufuli yupo mzima bukheri wa afya Erythrocyte yuko sahihi.
Of course wewe sio level yangu! Nipo juu sana zaidi yako!Uzi mzima umekuona kilaza usijifichie upopoma wako kwangu mimi sio level yako.
Bila shaka una division four ya ku reseat! Ahahahahaha!!Jinga kabisa wewe. Unataka ushahidi kwani ulikuwa umefungiwa gerezani? Jambo limefanyika juzi juzi hata miaka mitatu haijaisha na watu tulijadili sana leo unajitoa ufahamu? Sina muda na idiot kama wewe!
Taarifa zinasema ni risasi nne mkuu!Mkurugenzi wa zamani Afande Imran Kombe Yeye alijaribu kuwa Mwema akapigwa Risasi 14 kifuani kwa 'bahati mbaya' akafariki
Sahihi kabisa, Kitine mchango wake ni mkubwa sana kwenye ile vita.Dr Hassy Kitine wakati wa Vita ya Kagera ndio alikuwa DG, alilisaidia sana Jeshi letu
Alitoa kauli akiwa huko huko na kukanusha JPM hajafariki alipoulizwa na media za bongo. Au ulidhani angetoa kauli akiwa Tanzania?Kumbukumbu zako ziko vizuri? Mwaka 2019 aliteuliwa kuwa Balozi Namibia. Mwamba Jiwe Magufuli alifarikia mwaka 2021 wakati Kipilimba yuko Namibia. Halafu wewe eti alidanganya! Unakurupuka na nini?
Hii profile yake mbona inakinzana na statement yako ? Unaweza kufafanua zaidi ?NIkusaidie tu Dogo, Namibia haina High Commissioner!
Msameheni huyo mpumbavuHii profile yake mbona inakinzana na statement yako ? Unaweza kufafanua zaidi ?
Dr. Modestus Francis Kapilimba | Tanzania Foreign Ministry Official List
Tanzania Embassies and High Commissions Oversees Foreign Relations, conducts diplomacy; creates foreign policy; operates embassies and provides visa and passport service; as well as working with other ministries within the Tanzanian governmentwww.tzembassy.go.tz
View attachment 2720308
The picture of original devilsView attachment 2719872
The Originals. Look at how happy everyone was.
Alizira baada ya kupewa ubalozi. Alitarajia bado atapewa kitengo cha kuteka watu baada ya dhalimu kuelekea motoni.Kumbe ni huyu aliyekuwa haendi kazini analala tu madhabahuni. Mlokole aliyeanzisha kundi la kuua watu, kuteka, kutesa na kuwabambikia kesi