Dr. Mwaka amjibu Sheikh wa mkoa wa Dar

Dr. Mwaka amjibu Sheikh wa mkoa wa Dar

Mimi ni muislamu pure lkn yule sheikh nina mashaka nae, sana lkn Uzuri yule sheikh yeye pia ameikuta tu hii dini kwa atapita kama alivyopita wengine na atatuachia dini yetu period.
 
Mimi ni muislamu pure lkn yule sheikh nina mashaka nae, sana lkn Uzuri yule sheikh yeye pia ameikuta tu hii dini kwa atapita kama alivyopita wengine na atatuachia dini yetu period.
Hapana mkuu kama mtu akikosea au ana tuhuma lazima arekebishwe na ahojiwe na hata kufukuzwa
Ila kwa sisi ni unafiki na uoga kuwa huyo ni mshirikina atawaroga
Nikisema Hana dini huyo bali maslahi tu ntakuwa nimekosea

Mange alimsema sana na Wanawake waliosemwa kwa mabaya walitoka pangoni na kuomba asiendelee kuwaanika kwani walikuwa na familia zao na hayo yalikuwa zamani ila ni ukweli hana hadhi ya kuongoza waumini ila ujinga wao na woga unatufanya kila mahali wawe dhaifu
 
Kumbuka muombewa ili apate matokeo, lazima amkili yesu, kuwa ndiyo muokozi wake, maana hakuna haja ya Imani nyingine.
Hili umelitoa wapi?
Kama hujui jambo ni busara kutulia kimya
Maombi sio kwaajili ya walioamini tu katika jina la Yesu ila ni kwa watu wote.

Unataka kusema Watoto wadogo au wasio wakristo wakiombewa Mwenyezi Mungu hawajibu kwakuwa hawajamwamini Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wao?

Hata walevi wanaweza kuombewa na wakabadilika na wakaja kuamini baadae.
 
DR MWAKA NAKUUNGA MKONO.

KUWA MCHUNGAJI AU SHEHE SIO TIKETI YA UTAKATIFU. UNAWEZA KUWA SHETANI KAMA SHETANI WENGINE.
KWENDA KUOMBEWA KWA SHEHE AU MCHUNGAJI SION KAMA NI TATIZO,TENA BORA YA KWENDA KWA HAWA KULIKO KWENDA KWA WAGANGA WA KIENYEJI.


USHAHIDI WA MATENDO YA HAWA WATU NI MENGI.
MIMI NATOA HUU👇

KUNA MTUMISHI MMOJA ANAJIITA APOSTLE D.M, ANA KANISA LAKE KULE BOKO, DSM. ANAENDESHA GARI YA DISCOVERY NYEKUNDU. KAZAA NA ALIYEKUWA MWANA KWAYA WAKE, ANAITWA ERICA (MCHAGA) MTOTO WAO NI WA KIKE, MIAKA 2.5 SASA. NA ALIMPANGISHIA NYUMBA ENEO LA MIVUMONI UMOJA ROAD, TEGETA DSM.YEYE MTUMISHI (WA MUNGU!!) ANAISHI MASHAMBA YA JESHI (TEGETA WAZO HILL).KWA SASA BINTI ANAISHI BUGURUNI KWA MZAZI WAKE. HUYU JAMAA ANA VIPINDI VINGI VYA TV PALE WASAFI.

NINA NGUVU YA KUANDIKA HAYA SIO KWA NIA YA KUCHAFUA MTU, BALI KUUWEKA WAZI UKWELI.
Je huyu apostolic ameoa au Hana mke nadiriki ku
 
Nimewasikiliza wote wawili nilichokisikia Dk.Mwaka amenyooka sana Sheikh wa Mkoa anajidhalilisha ni bora akapiga kimya tu mwanaharamu apite.
 
Maswali ya kidini yajibiwe kitaalamu na watu wenye kuijua dini,

Huyo Juma Mwaka anadai yeye ni Muislam, sasa kwa mujibu wa dni hiyo ni MAKOSA kulala kitanda kimoja na wake wawili

Sasa muwe mnajibu kwa kupitia dini ikiwa maswali ni ya kidini na sio MTAZAMO wa mtu binafsi
Umesoma na kuelewa au nirudie tena?

Sent from my HUAWEI RIO-L01 using JamiiForums mobile app
dini hiyo hiyo inayoMkataza dk. JJ Mwaka kulala na wake zake kitanda kimoja, ndiyo dini hiyo hiyo pia inawakataza Wanaume kula "NDOGO" kitu ambacho baadhi ya Masheikh & Wachungaji wanafanya kwa mujibu wa dk. JJ Mwaka. Dada Mkubwa wa USA aliwahi kuPost wahanga wakilalamika kuliwa NDOGO na Sheikh mmoja wa DAR.
 
Sawa mkuu,nimekuelewa, ila mwisho wa majibizano lazima watumbuize na kapambano kidogo, wachapane mangumi.
Ukijibizana na mtu kwenye mitandao hakikisha huna kashfa tangu uanze kujitambua. Kama uliua panya, ulibaka panzi, ulitoa mimba, ulilewa ukalala mitaroni,
au hata mke wako mume wako alishafanya Jambo la aibu huko nyuma, ujuee Kuna kiumbe jf anajua.
Ukianza tu Mambo yako yote yatakua hadharani. Sasa imagine wewe Ni mbunge wa kuteuliwa au DC au waziri.
 
Hayo ni maamuzi ya mtu km alale na mmoja au alale na wote maana wote ni wake zake usimpangie jinsi ya kuwahudumia kindoa au kwa maana ya ndani usimpangie jinsi ya kuwatomba ushaelewa..
Angetaka hivyo asingeyaweka hadharani.
 
Kwa hio kwenye zile hafra kubwa za kiserikali mashekhe hua wanaombea nchi ambayo ndani ya nchi kuna wakristu (ambao wamesema wasiwaombee) na mapadri/wachungaji wanaombea nchi ambayo ndani ya nchi kuna waislam (ambao anasema sio sawa kuombewa na wakristu), kwa hio mashekhe hua wanafanya unafki wanawaombea waislamu tu pale kwenye zile hafra za kiserikali hawataki kuombea wakristu au kuna kuwaga na nini kinatokea?
Hakuna watu wanafiki na wenye IQ ndogo kama viongozi wa wavaa kobazi..mana hata uelewa wa mambo hawana..vichwa vyao vimejazwa story za miaka 2000 ilopita wengi ni lasaba felia.

Ndio mana unafiki na chuki vimewajaa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Maswali ya kidini yajibiwe kitaalamu na watu wenye kuijua dini,

Huyo Juma Mwaka anadai yeye ni Muislam, sasa kwa mujibu wa dni hiyo ni MAKOSA kulala kitanda kimoja na wake wawili

Sasa muwe mnajibu kwa kupitia dini ikiwa maswali ni ya kidini na sio MTAZAMO wa mtu binafsi
Umesoma na kuelewa au nirudie tena?

Sent from my HUAWEI RIO-L01 using JamiiForums mobile app
Kwani huko peponi hao mabikra 70 kila mmoja atakua na geto lake kwamba kidume kazi yake kuzungukia mageto kipiga pumbu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hata kama shehk ana makandokando yake lakini katika hili yuko sawa,uislam haukatazi mwislamu asisaidiwe na mkristo au wasi juhusishe katika mambo fulani NO isipokua kuna mipaka


Kwa hilo shehk yuko right
Mipaka ipi??kama sio ubaguzi mtupu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Sawa kapangiwa sikatai ila faragha yake pia unampangia ili iweje ile ni faragha shekhe unampangiaje faragha yake yeye na wake zake? Hayo masuala mengine sitaki kuyazungumzia mkuu tuende kwenye mada kuu usinitoe kwenye reli

Hivi unaelewa maana ya faragha?
Ni ujinga tu na wivu unawasumbua..utadhani dr mwaka aliomba mchango wa posa.

Wake zake acha aamue yeye atakacho fanya juu yao chamsingi wamekubaliana.

Mashehe ubwabwa ni shida sana.

#MaendeleoHayanaChama
 
Alitoa sababu na ushahidi wa aya au hadithi za Mtume kwamba kulala nao kitanda kimoja si sahihi? Kiukweli kama wake wote wanaridhia kulala pamoja mbona iko poa sanaa hiyo?? Wakati unamchakata wa upande wa kulia wa upande wa kushoka anakusaidia kushika miguu, mashine ikilala wanashiriana kuisimamisha.. Honestly this is so awesome and exciting experience.. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji28][emoji28][emoji28]

Neema za allah sheikh.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom