Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakika hilo lilikuwa tatizo, kweli? Ndicho walichomaanisha?
Moelex, hapo unapowaelekeza ni maua tu, mizizi iko huku
watendaji wa mitaa
polisi post
vyuoni
tawala za mikoa
mahospitali
mpirani
gesti
kwenye kulipa bili za maji na umeme
halafu zikitoka huko ndio zinakua maana watu wanaanza kuona tangu wanazaliwa... kama tunataka kupiga vita rushwa sustainably, basi tuanzie pia sio juu pekeyake
Hasa ikizingatiwa kuwa ilishatangazwa kuwa pccb imekatazwa kundelea kuwahoji wabunge na shughuli hiyo ikasitishwa rasmikwanza hatuna hata uhakika kama waliwahoji kweli
Tunashangazwa na mpambambanaji mkuu aliyejifanya kuwa kamwe hawezi kuhojiwa na PCCB kwa kuwa yeye anaelewa sheria na pia na Mwalimu wa sheria.yeye kwa akili yake alifikiria kuwa anamgomea EH kumbe anafunja sheria ya nchi.Sheria ni msemeno hajali kuwa aliyefunja sheria ni Dr. wa sheria kosa ni kosa tu.Huo ubabe wake alioutangazia Dunia uko wapi?Kama kweli tume yake imefanya haki katika kuchunguza RM kwa nini aogope kuundwa Tume Huru ya kuchunguza ukweli kuhusu sakata la RM? Anawataka wa TZ.tukubaliane na kila jambo analosema eti kwa sababu yeye Mwalimu wa sheria.Yeye achunguze, ahukumu na atoeasi adhabu.haki iko wapi?Watuhumiwa hawapewi nafasi ya kujitetea sijui ni sheria zipi anazositui Dr.Sheria.Wasi wasi mkubwa unadhihirika pale Dr. wa sheria anapopinga kwa nguvu zote kuundwa kwa tume huru ya kupitia upya mapendekezo hayo.Anaogopa nini kama kweli tume yake haikumwonea mtu.Rm ndio ulikuwa mtaji wake kwa hiyo aliogopa kuumbuliwa mbinu zake
U are such a HATER tu wewe sasa hapo unataka kusema nini, hivi ulitaka kitu hii ishu inyamaziwe tuu kama wewe si kibaraka mchakavu wa hao walarushwa????!@#$%^&Hatimaye mpiganaji ameamua kutii Sheria ya Nchi ambayo ameshiriki mwenyewe kuitunga? Halafu siku hizi haongei sana kwa kuwa kitu kilichompatia umaarufu, Richmond, kimewekwa kapuni, kwa hiyo mtaji wa kisiasa ume-expire?
Bosi wa walinzi wa walarushwa (TAKUKURU) akiwa mchafu ahina maana ofisi imekufa na kwamba ukatae kwenda kuhojiwa..ni jukumu letu kupiga kelele hivi hivi ili boss aondoke na ofc iwe safi na ifanye kazi kwa makusudio yaliowekwa period!je wewe kama wewe ulitaribu uthubutu alo utenda japo punje ya ulezi? Sifia panapostahili .ok mungu atakutoa huko gizini ulipo akulete kwenye mwanga ili upambanue cheupe na cheusi.
watu kwa kweli wana matatizo; tatizo halikuwa Mwakyembe kuhojiwa na TAKUKURU; tatizo lilikuwa huwezi kuwa subpoena wabunge wakiwa kwenye kikao ni kinyume na Katiba! Alipoingia AG mpya aliwatumia ujumbe kina TAKUKURU kuwa hawawezi kufanya hivyo na ndio HOsea akakimbia Dodoma maana kingemuungulia na ndio sababu wao kusitisha uchunguzi wao hadi kikao kilipoisha.
Nje ya kikao cha Bunge unaweza kumuita mbunge kumhoji kirahisi tu!
.watu kwa kweli wana matatizo; tatizo halikuwa Mwakyembe kuhojiwa na TAKUKURU; tatizo lilikuwa huwezi kuwa subpoena wabunge wakiwa kwenye kikao ni kinyume na Katiba! Alipoingia AG mpya aliwatumia ujumbe kina TAKUKURU kuwa hawawezi kufanya hivyo na ndio HOsea akakimbia Dodoma maana kingemuungulia na ndio sababu wao kusitisha uchunguzi wao hadi kikao kilipoisha.
Nje ya kikao cha Bunge unaweza kumuita mbunge kumhoji kirahisi tu!
Samwel unashangaza JF yote, maana inaonekana wazi unachuki na hawa wabunge mahiri tena wa kwanza nchini kutoka chama cha mafisadi. Tulia kidogo ungoje watakayoyafanya na kufichua pale TAKUKURU watapomaliza kuwahoji au kuwatishia. Itaanza movement ya aina yake ambayo hizi posho zote zitabidi zianikwe ndipo na Ikulu itakapochafuliwa. Wabunge hapa wamejikuta wameingizwa mjini lazima wote wakubali. Maana walizidiwa ujanja pale walipopitisha mswada wa kuanzisha TAKUKURU lakini hawakujua kuwa wamemwongezea tena mkono mrefu Rasi, hawakuweza kuweka hata kipengele kuwa wao ndiyo wamchague kiongozi wa hiyo taasisi, sasa imewageuka mara ya pili. Ya kwanza ni pale walipojaribu kufukia ukweli wa mambo ya Richmond na sasa kuwahoji kwa nia ya kuwatisha. Wakisha hojiwa wakaja wamepoa wakaacha mapambano kitakuwa kimeeleweka. Na wasipolifanyia kazi swala zima la posho mbili mbili serikalini na nyingine za aina hiyo tutajua kuwa wameshapatiwa kile alichopata mbunge mtegemewa akaanza kutetea Richmond..
Aliambiwa tangu mwanzo kuwa hakuna aliyejuu ya sheria?Yeye akaleta u richmond .Ohoo mbona mwenyewe pccb walinipa posho .ohoo.mimi mwanasheria niliye bobea.ohooo mbona waandishi wa habari wanakunywa chai yetu.Ujinga mtupu.Mnakula pesa za wananchi halafu mnajifanya waasafi.Pumbavu.acha sheria ichukue mkondo wake.
Avatar yako na hiyo comment , they do not tally.Hatimaye mpiganaji ameamua kutii Sheria ya Nchi ambayo ameshiriki mwenyewe kuitunga? Halafu siku hizi haongei sana kwa kuwa kitu kilichompatia umaarufu, Richmond, kimewekwa kapuni, kwa hiyo mtaji wa kisiasa ume-expire?
Taarifa nilizozipata kutoka nyumbani Tanzania zinaeleza kwamba makamanda wawili maarufu wa vita ya ufisadi, Dk. Harrison Mwakyembe na Fred Mpendazoe, wamehojiwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, Takukuru juzi kuhusiana na suala la posho mbili za wabunge.
naomba kuwasilisha
Samwel unashangaza JF yote, maana inaonekana wazi unachuki na hawa wabunge mahiri tena wa kwanza nchini kutoka chama cha mafisadi. Tulia kidogo ungoje watakayoyafanya na kufichua pale TAKUKURU watapomaliza kuwahoji au kuwatishia. Itaanza movement ya aina yake ambayo hizi posho zote zitabidi zianikwe ndipo na Ikulu itakapochafuliwa. Wabunge hapa wamejikuta wameingizwa mjini lazima wote wakubali. Maana walizidiwa ujanja pale walipopitisha mswada wa kuanzisha TAKUKURU lakini hawakujua kuwa wamemwongezea tena mkono mrefu Rasi, hawakuweza kuweka hata kipengele kuwa wao ndiyo wamchague kiongozi wa hiyo taasisi, sasa imewageuka mara ya pili. Ya kwanza ni pale walipojaribu kufukia ukweli wa mambo ya Richmond na sasa kuwahoji kwa nia ya kuwatisha. Wakisha hojiwa wakaja wamepoa wakaacha mapambano kitakuwa kimeeleweka. Na wasipolifanyia kazi swala zima la posho mbili mbili serikalini na nyingine za aina hiyo tutajua kuwa wameshapatiwa kile alichopata mbunge mtegemewa akaanza kutetea Richmond.
Tunashangazwa na mpambambanaji mkuu aliyejifanya kuwa kamwe hawezi kuhojiwa na PCCB kwa kuwa yeye anaelewa sheria na pia na Mwalimu wa sheria.yeye kwa akili yake alifikiria kuwa anamgomea EH kumbe anafunja sheria ya nchi.
Maneno yako yanadhihirisha kwamba una chuki binafsi dhidi ya Mwakyembe tena chuki mbaya! Sidhani kuna sehemu yoyote ambayo Mwakyembe alisema kuwa KAMWE hawezi kuhojiwa na PCCB 'kamwe' ni neno zito! Kama angelikuwa anavunja sheria ya nchi basi angelifunguliwa mashitaka mahakamani na si kuitwa PCCB.
Sheria ni msemeno hajali kuwa aliyefunja sheria ni Dr. wa sheria kosa ni kosa tu.Huo ubabe wake alioutangazia Dunia uko wapi?Kama kweli tume yake imefanya haki katika kuchunguza RM kwa nini aogope kuundwa Tume Huru ya kuchunguza ukweli kuhusu sakata la RM? Anawataka wa TZ.tukubaliane na kila jambo analosema eti kwa sababu yeye Mwalimu wa sheria.Yeye achunguze, ahukumu na atoeasi adhabu.haki iko wapi?Watuhumiwa hawapewi nafasi ya kujitetea sijui ni sheria zipi anazositui Dr.Sheria.
Ubabe gani? Mwakyembe alikuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge iliyopewa jukumu la kuchunguza kashfa ya Richmond. Kwa maana nyingine yeye na kamati yake walipewa kazi na Bunge zima wakiwemo watuhumiwa (wengi wape) kuifanya kazi hiyo. Bunge likaipokea ripoti ile na kutoa mapendekezo ya nini Serikali ifanye kuhusu yale yaliyokuwa kwenye ripoti ile na Serikali iliipokea ripoti hiyo kwa 'unyenyekevu' na kuahidi kuyafanyia kazi mapendekezo. Ubabe wa Mwakyembe unatoka wapi? Labda useme ubabe wa Bunge. Kama Mwakyembe alifanya na kusema lolote kuhusu Richmond ni kwa baraka za Bunge lililomteua kuwa Mwenyekiti wa Kamati ile. Ulitaka akae kimya kama kondoo pale inapobidi aseme ama kujibu shutuma dhidi yake na Kamati aliyoiongoza?[QUOTE]
Wasi wasi mkubwa unadhihirika pale Dr. wa sheria anapopinga kwa nguvu zote kuundwa kwa tume huru ya kupitia upya mapendekezo hayo.Anaogopa nini kama kweli tume yake haikumwonea mtu.Rm ndio ulikuwa mtaji wake kwa hiyo aliogopa kuumbuliwa mbinu zake
Tume huru ya kupitia mapendekezo gani wakati mapendekezo yalishapokelewa na Serikali na yanafanyiwa kazi? Alichokisema 'boss' wako ni kutaka jopo la majaji ndilo lianze kushughulikia suala la Richmond upyaa akijua kwamba keshaharibu na kufunika ushahidi wote wa maana ambao tayari Kamati ya Bunge iliweza kuukusanya. Na kwa hulka yake atakuwa keshajua ni majaji gani walioupande wake atakaotaka wateuliwe. He is a 'king maker' you know! Lolote kwake linawezekana.