Jile79,
Mkuu maneno yako msumari na hili ni fumbo kwa wale wasiojua uchafu wa siasa..
Huu mpango wote sii kwa ajili ya kutafuta ukweli isipokuwa mwanzo wa kuivunja nguvu report ya Mwakyembe..Kazi yote hii ni kuonyesha kwamba Mwakyembe na kamati yake sii watu wa kuaminika, wakiomba takrima ktk ofisi za seriikali jambo ambalo linaweza thibitishwa na hundi walopokea kama posho.. It might have been offered na ofisi husika lakini kwa vile hawa kina Mwakyembe hawakufahamu dhumuni la posho hizo walichukua...
Now, kama Mwakyembe na wenzake walichukua, na kisheria kuchukua kwao ni kinyume cha taratibu za bunge na kamati zake hapo mkuu wangu kachemsha..lakini navyofahamu mimi kamati zote nchini huchukua posho nje ya malipo ya awali isipokuwa hawa jamaa wanadai kwamba kamati hizi (ikiwa ni pamoja na ya Mwakyembe) HUOMBA TAKRIMA ktk vikao vyao..Hapa Mwakyembe akae wima laa sivyo ndio wamemmaliza na kuikata makali report ya kamati yake, Ushindi kwa Richmond na Mafisadi..
Mkuu maneno yako msumari na hili ni fumbo kwa wale wasiojua uchafu wa siasa..
Huu mpango wote sii kwa ajili ya kutafuta ukweli isipokuwa mwanzo wa kuivunja nguvu report ya Mwakyembe..Kazi yote hii ni kuonyesha kwamba Mwakyembe na kamati yake sii watu wa kuaminika, wakiomba takrima ktk ofisi za seriikali jambo ambalo linaweza thibitishwa na hundi walopokea kama posho.. It might have been offered na ofisi husika lakini kwa vile hawa kina Mwakyembe hawakufahamu dhumuni la posho hizo walichukua...
Now, kama Mwakyembe na wenzake walichukua, na kisheria kuchukua kwao ni kinyume cha taratibu za bunge na kamati zake hapo mkuu wangu kachemsha..lakini navyofahamu mimi kamati zote nchini huchukua posho nje ya malipo ya awali isipokuwa hawa jamaa wanadai kwamba kamati hizi (ikiwa ni pamoja na ya Mwakyembe) HUOMBA TAKRIMA ktk vikao vyao..Hapa Mwakyembe akae wima laa sivyo ndio wamemmaliza na kuikata makali report ya kamati yake, Ushindi kwa Richmond na Mafisadi..