Dr. Mwele Malecela: Asiyekuumba, kukuumbua hawezi

Unasema jambo, linazusha mtafaruku na watalii wanafuta booking zao za Mahoteli. Imagine Hoteli ipo full house mwezi mzima, kisha watu wanafuta, suppliers wote mafutiwa orders zenu, njaa tayarii !
Hayo ma dessertation watu wengi wanayo swala la uwepo kwenye google au laa....is all about technology.....
but msifate mkumbo kwa mambo ya kijinga...
yule dada aliharibu sana....
muda ni mwalimu mzuri sana....
huo ugonjwa wa zika hatujauona...
 
Kuna sehemu hapo kwenye paragraph ya pili umejichanganya Mkuu!
 
Ni bahati mbaya sana tuna kiongozi ambaye akiwa jukwaani anahisi wanaomtazama na kumsikiliza ni wale tu walioko pale uwanjani
...tofauti yako na hao wanao mtazama ni wewe kuwa haupo hapo !
 
...hawa watu nongwa inawasumbua !
 
Mpaka Iran, Uturuki na yule wa Korea, waiwahi kusema kuna magonjwa ya kupandikiza. UN -WHO waliwahi kupeleka kipindu pindu Haiti. Na waliua watu kweli kweli. Baadae walikuja kuomba radhi.
Kwa mara ya kwanza tunapata rais msema kweli. Haya magonjwa tunaletewa sana na hawa wazungu.

Hiyo Ebola, Zika sijui ukimwi ni upuuzi mtupu
 
Kwa mtindo huu, je nitakuwa nakosea nikitabili kuwa siku moja huko mbele tutakuja kuambiwa Benno Ndullu nae alifukuzwa kazi kama gavana wa BOT kwa kufanya kazi kwa maelekezo ya mabeberu? Na sasa hao hao wamemtafutia kazi huko aliko!!!
Hauko mbali na ukweli !
 
Dr Mwele twambie Zika iko wapi?
 

Kwa hiyo una jaribu kutwambia kuwa Rais Magufuli ni bingwa wa kuficha magonjwa hahaha hivi huo ugonjwa wa Zika na Ebola uko wapi?
 

Vipi Zika iko wapi? Ebola iko wapi? Yote yamekwenda WHO?
 
Hapa naona watu wameishia kunanga PhD tu..Lakini tumeshindwa kujibu kile alichohoji Mh Rais?je Zika iliishia wapi?Au Dr.Mwella aliondoka nayo kuirudisha UN-WHO?Mimi nataka kujua kama ilikuwepo ilimalizikaje?
Si kama dengue tu zimekuja zimeondoka...
 
Aliambiwa na nani atutangazie hivyo virusi nchi nzima ! Pumbavuu !
 
Thesis ya PhD ya Dr Mwele Malecela ipo hata uki google tu unaipata London School of Hygiene and Tropical Diseases.
Umeanza vizuri mama. Malizia basi ya nani haipo ila kama unaogopa yasikukute yaliyomkuta Ben, basi nimekuelewa!
 
Na ile nyingineje? Sihitaji jibu kwa sababu umekwishatoa jibu katika mstari huo mmoja.
Huyu anatafuta sifa kwa kuwafukuza kazi wengine hata kama hawana makosa?
Na bahati mbaya sana bado anawaonea wivu wakipata kazi nzuri zaidi ya hizi za kwake. Anatamani angepewa aongoze dunia ili akamfukuze na huko aliko. Hatari sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…