Bandiwe
JF-Expert Member
- Oct 19, 2013
- 9,530
- 3,556
Unasema jambo, linazusha mtafaruku na watalii wanafuta booking zao za Mahoteli. Imagine Hoteli ipo full house mwezi mzima, kisha watu wanafuta, suppliers wote mafutiwa orders zenu, njaa tayarii !
Hayo ma dessertation watu wengi wanayo swala la uwepo kwenye google au laa....is all about technology.....
but msifate mkumbo kwa mambo ya kijinga...
yule dada aliharibu sana....
muda ni mwalimu mzuri sana....
huo ugonjwa wa zika hatujauona...