Dr. Mwele Malecela: Asiyekuumba, kukuumbua hawezi

Dr. Mwele Malecela: Asiyekuumba, kukuumbua hawezi

Binafsi naamini Raisi naye anapenda kuanzisha Mijadala isiyo na tija.

Kwani ni lazima kusema kila Jambo linalomfurahisha au kumkera Sana?

Suala la Dk. Mwele lilishapita na hakutakiwa kulizungumzia tena kwa kuliunganisha na taasisi za kimataifa ambazo kesho na kesho kutwa tutahitaji msaada wao pale ambapo magonjwa ya mlipuko yatakapo tokea.

Jana nimeona BBC NEWS habari kubwa ilikuwa ni Raisi kumpongeza Ofisa aliye charaza wanafunzi viboko.

Huu nao pia ni mjadala mkubwa ambao ameuanzisha na hauna tija. Chanzo cha mjadala huu ni hotuba yake aliyoitoa Jana.

Mh. Raisi ajitahidi kuwa na kifua cha kuifadhi mambo hata kama yanamfurahisha au kumsikitisha.
Alikuwa anazungumzia propaganda zinazoenezwa kwamba Tanzania kuna Ebola, ili watu wamwelewe ilikuwa ni lazima arejee yalotokea nyuma kwa kutolea huo mfano.
 
Ila kiukweli CCM safari hii umetuweza hahaha...
Kumfukuza kazi mwele saa saba na nusu Dr Mwele...so what......Duh

Kila siku beberu beberu so what...unafikiri kila mtu anaweza kuwa beberu hahaha...
Kitambaa cha nguo hata kuvaa kwenyewe kumeletwa na wazungu....leo beberu beberu.....hamna jambo lingine....kila siku wimbo huo huo....

Pamoja na madhaifu yake mara mia tano Jakaya angeendelea tu....This president is making life so boring...na bora angekuwa anasoma tu alichoandaliwa...naamini washauri wake wanatamani kumwambia hili sema tatizo ni hulka yake na woga wa kufukuzwa kazi saa saba na nusu usiku...
 
Sio wakati wa vijembe mkuu kashasema inatosha
Kwetu ni mwiko kukaa unagombana gombana na mwanamke.....hawa ni mama zetu wewe ulishafanya maamuzi ukamfukuza kazi..huu ndio ulikuwa mwisho wa mchezo.....
Haya leo yanatoka wapi?......ulitaka afe nini?
Ok kapata kazi...wengine wamempa wewe unaumia...kwani unamlipa wewe mshahara...very strange....tuache roho za hivi sijui huko makanisani tunafuata nini?..
Tuwafunze watoto zetu mambo mema ....
I m out
 
Dawa ya msaliti inajulikana, kama mimi ningekuwa Rais huyo mama nisingeishia kumtumbua tu, angepambana na kesi ya uhujumu uchumi.
 
Exactly! Alitaka huyu mama ateseke hapa kitaa bila kazi. Ile kwamba amepewa kazi tena kubwa kuliko hii aliyotumbuliwa imemuuma sana...tena inaonekana imemuuma muda mrefu maana kaongea kwa uchungu.
Tatizo magu roho ina muuma kwamba licha ya kumfukuza kazi huyo mama ameendelea kuchanja mbuga siku zote mwisho wa ubaya ni aibu hila ufanye wewe maumivu pia upate wewe
 
Tena huyu jamaa ndio anajiona Mkristo kweli kweli. Eti juzi anaongea kuhusu uzuri kwa kusamehe. Leo anaonyesha chuki na hila dhidi ya huyu mwanamke...yani alitaka ateseke kweli hapa nchini...na kweli angebaki nchini hapa hakuna kazi ambayo angepata maana inaokena alishakua blacklisted na mtukufu.
Kwetu ni mwiko kukaa unagombana gombana na mwanamke.....hawa ni mama zetu wewe ulishafanya maamuzi ukamfukuza kazi..huu ndio ulikuwa mwisho wa mchezo.....
Haya leo yanatoka wapi?......ulitaka afe nini?
Ok kapata kazi...wengine wamempa wewe unaumia...kwani unamlipa wewe mshahara...very strange....tuache roho za hivi sijui huko makanisani tunafuata nini?..
Tuwafunze watoto zetu mambo mema ....
I m out
 
Binafsi naamini Raisi naye anapenda kuanzisha Mijadala isiyo na tija.

Kwani ni lazima kusema kila Jambo linalomfurahisha au kumkera Sana?

Suala la Dk. Mwele lilishapita na hakutakiwa kulizungumzia tena kwa kuliunganisha na taasisi za kimataifa ambazo kesho na kesho kutwa tutahitaji msaada wao pale ambapo magonjwa ya mlipuko yatakapo tokea.

Jana nimeona BBC NEWS habari kubwa ilikuwa ni Raisi kumpongeza Ofisa aliye charaza wanafunzi viboko.

Huu nao pia ni mjadala mkubwa ambao ameuanzisha na hauna tija. Chanzo cha mjadala huu ni hotuba yake aliyoitoa Jana.

Mh. Raisi ajitahidi kuwa na kifua cha kuifadhi mambo hata kama yanamfurahisha au kumsikitisha.

This president is a nut....!
Tunaweza kusema kwa ujumla Magufuli ni mtu mnafiki sana,mtu mwenye kinyongo,hasira,wivu wa kike,mmbeya na mwenye visasi kwa sana! Kwa sifa hizi this man wasn't supposed to be the Head of State……!
 
Uko sahihi mkuu lakn kwa hulka za wanadamu huwa ni ngumu mno kushinda hali kama ile, muda mwingine tunaumizwa ama kufurahishwa na ishara ya haya ni mtu akiumizwa analia, anaweza pia kupigana hata ngumi yote hii ni ishara ya disscontent lakn pia akiwa na furaha atacheka, kutabasamu ama hata kuimba wimbo wenye kuonyesha hali ile, kwa mh Rais na tukio alilolitenda Dr Mwele bado inajimuktadhanisha na maelezo yangu haya na ukweli hakuna ugonjwa wa ZIKA uliokuja kutukia sasa swali tulitakiwa kujiuliza je zika aliizika dr mwele? Kwanini hakukuwa na hata dalili baada ya taarifa yake hyo na kutumbuliwa kwake? Kwanini Rais asionyeshe hasra zake kwa alichokifanya huyo mtumishi wa umma?

Muda mwingine tunashabikia ujinga tu lakn ukwel wa habar hii tulipaswa kujiuliza swali hili tu kwamba huu ugonjwa ulikuwepo kweli? Kwann ulipotea?

Kama ugonjwa ulikuwepo au upo, tutajuwaje kama wenye kutoa taarifa ya kuwepo au kutokuwepo wamekaa kimya baada ya uchunguzi ( wamezuiwa kusema kilichopo)?

Hata kuhusu EBOLA bado ni MTIHANI

SHERIA YA TAKWIMU ILITUNGWA KWA MAANA YA MAMBO KAMA HAYA,


ILI IWE SIRI.
 
Back
Top Bottom