Dr. Mwele Malecela aula WHO

Dr. Mwele Malecela aula WHO

Huu uzi unatufundisha mengi......binadamu hata kama watapenda ufanikiwe...Lakini hawatapenda uwazidi. do better but not better than them. Ukisoma huu uzi unaona kabisa kuna watu wameumia.

Ndugu zangu, ndo mambo tunaongea humu kila siku: dunia ina fursa nyingi sana. Kwa uzoefu wangu, nafasi kama hii ya Dr. Mwele, HAIHITAJI government clearance or support. Ni weledi na taaluma yako. Hii inadhihirisha kwamba huyu dada/mama ni very competent. Kwenye post kama hii applicants siyo chini ya 1000! Sasa mpaka kutoboa ujue kabisa huyu ni habari nyingine. kazi za UN SIYO ZA KUGAWANA U-DC na U-RC wa Taifa letu pendwa!

Again, nampongeza sana Dr. Mwele. Aende atuwakilishe vizuri. Na hopefully pale atakapoweza kuunga mkono juhudi za waTanzania wenzake wanaotafuta fursa WHO na kwingineko........ itakapowezekana awape support!

Huu ni ushindi wa Taifa letu. inabidi Waziri Ummy Mwalimu na Mahiga on behlf of the Government amwandikie hata barua ya kumpongeza kwa kuteuliwa kwa hii nafasi. kwa nafasi kama hii (I am sure ni D-2) NI CHACHE SANA! na Kuipata..ni changamoto kubwa.....Kwa hiyo Tanzania lazima tujivunie haya mafanikio. Kwa wanaojua wananielewa.

God bless Tanzania.
 
ninachojuwa ni kwamba Dr Mwele lazima amepata baraka za serekali kuweza kupata hizo nafasi. Msiwachonganishe watu wakuu
Hakuna Baraka za serikali hapo Ndugu..
Hizi post unatuma credentials zako wewe mwenyewe au la Organization husika wanaku approach wao directly na sio kupitia Serikali.
Kwa akili ya kawaida unafikiri Dr Mwele jinsi alivyosigana na Dikteta unafikiri serikali ingeweza kumpa baraka zozote..??
No.
Hizia appointments zote ni on her own effort.
Dikteta atakuwa anasaga meno huko lwa hasira.
Lazima tukubali serikali inadhalilika sana huyu mama anavyozidi kupanda.
 
Hakuna Baraka za serikali hapo Ndugu..
Hizi post unatuma credentials zako wewe mwenyewe au la Organization husika wanaku approach wao directly na sio kupitia Serikali.
Kwa akili ya kawaida unafikiri Dr Mwele jinsi alivyosigana na Dikteta unafikiri serikali ingeweza kumpa baraka zozote..??
No.
Hizia appointments zote ni on her own effort.
Dikteta atakuwa anasaga meno huko lwa hasira.
Lazima tukubali serikali inadhalilika sana huyu mama anavyozidi kupanda.

kwakweli wanaume mmebaki wachache...mweleze hyo!
 
Dr Mwele has been appointed the Director of Control of Neglected Tropical Disease at WHO (Duty station: Headquarters, Geneva).

Dr Mwele was previously Director in the Office of the Regional Director for the Africa Region (Duty station: Brazaville, Congo). Before she joined WHO, she served as the Director General for the National Institute for Medical Research (NIMR) in Tanzania.

She is the first woman to hold this position.

She is also director of the Tanzania Lymphatic Filariasis Elimination Program. Dr. Malecela holds a Bsc in zoology from the University of Dar es Salaam and an Msc and PhD in parasitology from the University of London (London School of Hygiene and Tropical Medicine). She specialized in filarial immunology, specifically on filarial immune evasion mechanisms.

Dr. Malecela has worked at the National Institute for Medical Research for 24 years, where she started off as a junior scientist. As director general, she has focused on institutional strengthening, research capacity building, and the translation of research into action, policy and practice.

Dr. Malecela has been in the forefront of priority setting for health research activities in Tanzania where she facilitated the Tanzania National Health Research Priority Setting process in 1999 and revision of these priorities in 2005.

Dr. Malecela chairs the Medical Research Coordinating Committee (MRCC), which is the main body responsible for oversight of health research in the country. She has served on a number of international committees including the Technical Advisory Group of the Global Program to Eliminate Lymphatic Filariasis, the Mectizan Expert Committee and the advisory board of the Initiative on Public/Private Partnerships in Health (IPPPH).

Dr. Malecela is currently a member of the WHO Strategic and Technical Advisory Committee for Neglected Tropical Diseases and a member of the Medicine in Need Steering Committee on Innovation, Alliance and Translation Management (MITAM).

Dr. Malecela is also on the International Advisory Board of Grand Challenges Canada. She is an adjunct faculty member of the Public Health Sciences Institute of Morehouse College. Dr. Malecela was president of the Global Alliance to Eliminate Lymphatic Filariasis and chair of the representative contact group of the Alliance.

She has also been involved in a number of philanthropic organizations, chairing the Tanzania Chapter of the African Reflections Foundation and is on the advisory board of the Lake Tanganyika Floating Health Clinic.

Dr. Malecela is patron and Founder of the IMANI Group, which is a support group of people living with HIV/AIDS.

=======

Kwa wazungumza Kiswahili:

Hongera sana, Dr Mwele....
Huyu Dada ni smart sana aisee,mbona yule kaka yake ana akili za kitoto wakati ni ndugu moja ? Kweli Mungu muache aitwe Mungu tu .
 
Huyu dada serikali imemgharamia kumsomesha, halafu amefukuzwa unceremoniously.

WHO wanakuja kumchukua kirahiiisiii tu.

Kwa sababu ya upumbavu wa siasa za umungu mtu za Magufuli.
Huyu mzee yupoyupo tu hata hajijui kama yeye ni rais,anapenda visasi,ubabe,ujuaji hataki kuambiwa ukweli,ukisema ukweli wewe adui yake
 
Huyu mzee yupoyupo tu hata hajijui kama yeye ni rais,anapenda visasi,ubabe,ujuaji hataki kuambiwa ukweli,ukisema ukweli wewe adui yake
Ni ulimbukeni fulani.

Halafu huyu katika familia yake lazima kuna matatizo fulani huko nyuma, aliteswa sana, hakuoneshwa upendo, alinyanyaswa kwa aina fulani hivi.

Lazima kuna kitu kwenye familia huko.

Wazazi tuwe makini sana katika malezi ya mapenzi kwa watoto, unaweza kutengeneza monster kama Magufuli.
 
Back
Top Bottom