Damy Scotty
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 717
- 454
View attachment 303429no democracy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
du #BoraElimu tena kwa miaka mitano.
No democracy
hongera Magufuli na Samia, CCM wamecheza kama Pele
Mbowe, Sumaye Kingunge, Mgeja na Msindai pamoja na wale makapi kina Juma Mwapachu na Evelyn Sinare.
Subirini mwaka 2025 , itakuwa nafasi nzuri Zaidi kwen.
Huyu ndiye Rais Mteule wa Tanzania aliyechaguliwa na watu milioni 8.8 kati ya watanznia milioni 48 including watoto wetu.
Kazi kwetu watanzania
Watanzania ni wanafiki sana .................... ndiyo maana ni rahisi sana kuwatawala!! Mwarabu hakupata shida, Mjerumani hakupata shida, Mwingereza ndiyo alitanua tu .......................!!!
Hapa ni kazi tu
Dr Joseph Magufuli (CCM) becomes the fifth president of Tanzania after defeated Edward Lowassa (Chadema) in a two-horse race from day-one Dr Magufuli, president-elect, garnered 8,882,935 votes to give him a 58.46 per cent lead in a race that took almost two gorilla months that had eight presidential hopefuls.