Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ARUSHA: Mji kama umetiwa ganzi wananchi hawaamini nini kimetokea, kauli za wengi ni 'basi tena'. Ila mitaa mingi ni kama picha inavyoonesha kwa mbali.
Hapa nilipo ni msiba hakuna anaeshangalia kura za makamba zimemfanya atangazwe.Poleni Watanzania wengi mliotaka mabadiliko.
Hakukuwa na uchaguz
dah amina mkuu..naomba mungu amjalie ilo..asitusahau sisi masikini tulio wengi..sio lzm atupe pesa mfukoni ata akishusha bei ya bati na cement amaetenda
Raisi wa nchi gani tena?me si mjui mtu huyoo