Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakenya ndo nani? Wakenya ni malofa tu kama wewe
Upo Dodoma mkuu?Mimi huku niliko ni shangwe tu...
Watu wanaimba 'Lowassa.....Tumemkataa'
Hiyo ndiyo demokrasia. Shangilia kwanza jaribu tena 2020. Tunakupenda. Tujenge nchi yetu.
rais wa nec asubilie migomo tu mpaka wa mabeki 3 maana hakuna namna ya kumkataa zaidi ya migomo
Lile mlilosema chaguo la Mungu liko wapi?? Mungu huwa anashindwa??
Raisi wa nchi gani tena?me si mjui mtu huyoo
Kwanni mirembe ilijengwa Dodoma??