DE FULE
JF-Expert Member
- Jan 10, 2013
- 1,214
- 711
kwa nguvu walizowekeza wakati wa kampen...na asilimia hizo alizopata magufuli haziendani....pamoja na kuibaaa weee....hata 60% hajafika
So what??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa nguvu walizowekeza wakati wa kampen...na asilimia hizo alizopata magufuli haziendani....pamoja na kuibaaa weee....hata 60% hajafika
daaa!!!!! xxxxx ndo TZ HiyoBila shaka, ni manung'uniko kila kona, hasa kufuatia utabiri wa January Makamba kwamba Magufuli lazima atanganzwe leo.
Kumekuwepo ujuma za wazi, hasa ushahidi wa Matokeo ya kule Bumbuli, ambayo yalikuwa dhahiri kabisa kwamba mchezo fulani ulichezwa.
Hii inatuacha kutafakari kwamba: je, Magufuli ni Rais wa NEC au wa Watanzania?
CCM wanatufanya watanzania wajinga!
Misingi ikiharibika mwenye haki atasimama WAP?? Mungu ni wa haki pia Hukumu! Hajapita kwa haki! Kiti kitamtapikaa!
haina msisimko
haina mashiko
haina hisia.
kuna tofauti kubwa sana ya mapokeo ya kutangazwa kwa urais na ulinganifu wa matokeo ya kutangazwa kwa rais kwa mwaka 2005 na 2010
Wizi wa kura umemuweka madarakani, Mungu atalipa!
Haya bwana, kwenye anga zangu nikisikia mtu ana lalama maisha magumu namkata kidevu
kazi imeanza,baba katimize ahadi ukicheza tu utakuwa raisi wa muhula mmoja
nasubiri kauli ya ukawa ila mimi binafsi simtambui kama rais
Hakika toka moyoni mwangu, Magufuli si rais wangu bali ni rais wa ccm. Ila kwa katiba iliyopo atanitawala kilazima. My heart to cdm and ukawa, shall remain.