HOPECOMFORT
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 3,921
- 6,646
Ivi tukijumlishaa kura zilizo aribika nchi nzima atupati elfu 10 au 20...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi huku niliko ni shangwe tu...Nimepita pita sehemu kadhaa na kukuta watu wakitizam Tv live kutangazwa kuteuliwa Raisi Mpya wa awamu ya tano Wa Tanzania... lakini ukiwatizama wamenyong'onyea sana kama wanaumwa...
Naomba ufanye kazi sasa kama ulivyoahidi... CCM Oyee
Kwahiyo kumbe NEC wamepangiwa ratiba na Makamba??Bavicha mna mambo.Bila shaka, ni manung'uniko kila kona, hasa kufuatia utabiri wa January Makamba kwamba Magufuli lazima atanganzwe leo.
Kumekuwepo ujuma za wazi, hasa ushahidi wa Matokeo ya kule Bumbuli, ambayo yalikuwa dhahiri kabisa kwamba mchezo fulani ulichezwa.
Hii inatuacha kutafakari kwamba: je, Magufuli ni Rais wa NEC au wa Watanzania?
Hatumtambui na Tutamuonesha,hataweza kuitawala hii nchi kamwe
Hongera rais wetu.
Mungu akupe hekima na maarifa yakuifikisha Tanzania pale inapostahili.
rais wa lubuva
Nimepita pita sehemu kadhaa na kukuta watu wakitizam Tv live kutangazwa kuteuliwa Raisi Mpya wa awamu ya tano Wa Tanzania... lakini ukiwatizama wamenyong'onyea sana kama wanaumwa...
Naomba ufanye kazi sasa kama ulivyoahidi... CCM Oyee
Simtambui kamwe
Mwaka 2005 Ushindi 80%
Mwaka 2010 Ushindi 68%
Mwaka 2015 Ushindi 58%
Mwaka 2020 Ushindi .....