mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
mkuu unatumia nini kufikiri?
Huyu ndiye Rais Mteule wa Tanzania aliyechaguliwa na watu milioni 8.8 kati ya watanznia milioni 48 including watoto wetu.
Kazi kwetu watanzania
Sasa hivi ndiyo nitakufuta kabisa hadi kwenye phone book,wakorinto wa kwanza wewe!! Shadabbulicheka wahed wewe!! Na hayo ni kidogo tu,ntakuwa nakutukana kila siku asubuhi na jioni,mchana ntasunya tu kalabash wewe,nyoooTukajipongeze jamani....mimi nimetukanwa sana na kutolewa kwenye magrup yooote ya wasap kisa tu namkubali jpm..asante mungu asante watanzania,,mmetenda haki wala hatuna mda wa kwenda ngome..tuna imani na jpm...asante mugu wetu
Mnaosema hapa kazi msije mkalalamika kuwa hamna kazi. Tunasubiri viwanda nchi nzima. Tunasubir mil50 kila kijiji.
Sasa wewe ulitaka tumupigie kura fisadi lowassa. Fisadi limekatwa tu. Lingeuza nchi tu