Tetesi: Dr. Ramadhani Dau apigwa marufuku uzinduzi wa Daraja la Kigamboni

Tetesi: Dr. Ramadhani Dau apigwa marufuku uzinduzi wa Daraja la Kigamboni

Status
Not open for further replies.
hivi kwanini tumeanza kuwa na habari za kitoto kuzungumzia mambo yasiyo ya msingi yasiyo tujenga? inatusaidia nini hii!? mbona mnatugawa?!
 
Wanaweza kwenye miradi mbalimbali ili kupata faida ya kuwalipa wanachama wao

Unajua Gharama za ujenzi zitarudi baada ya miaka mingapi ili nssf waanze kupata faida.
Kumbuka pia kuwa ujenzi wa madaraja is not their core business. Kuwekeza mitaji mikubwa ktk non core businesses kunaweza kulifilisi shirika.
 
Jamani, wakati mwingine kabla ya kuleta bandiko au kutoa maoni hapa inabidi utafakari faida na hasara yake, hii ndiyo inayoitwa hekima.

Tukirudi kwenye mada, hizi sifa mnazowapa hawa watu kwa kweli hazifanani nao, eti utakumbukwa, dah, kwa lipi lililotukuka?
Mingi kama si yote ya mifuko ya hifadhi ya jamii hiko hoi kifedha kutokana na uwekezaji mbovu kama huo Wa Kigamboni. Halafu mwanaume sijui mwanamke unakuja jamvini kutoa sifa za kijinga. Naomba nikuulize, wana nini hao ambacho watanzania wengine kati ya 45 milioni, hawakiwezi? Fedha za wanachama zinaibiwa na kutumika vibaya, miaka si mingi kanuni ya kulipa mafao imebadilishwa kwa gharama ya mwanachama, halafu wewe unamtukuza mtu kwa ishu ndogo ya dalaja la Kigamboni, hebu tupishe

Tafakari, chukua hatua
 
Asante kwa taarifa ngoja tuwasiliane nae kama bado yupo nchini tuone kama atapata wasaa nae awepo siku ya ufunguzi.
 
CgMY_7bXIAAh3vy.jpg

Kuna habari zimeenea kwenye mitandao ya kijamii toka juzi kuwa Waziri wa Kazi na ajira Jenista Mhagama na Katibu Mkuu wa hiyo wizara Eric Shitindi wametoa agizo kwa shirika la NSSF wasimwalike aliyekuwa DG wa shirika hilo Dr Ramadhani Dau kwenye sherehe za ufunguzi wa Daraja hilo wiki Ijayo.

Ikumbukwe kuwa Dr Ramadhani Dau amepigania hili daraja lijengwe kwa miaka yote aliyokuwepo kwenye hilo shirika mpaka aliopoondolewa wiki chache zilizopita.Sitaki kuingilia ugomvi na vita vinavyoendelea kati ya akina Magori, Eunice Chieume, Jenista Mgahama na Eric Shitindi lakini kama ni kweli bas sidhani kama Dr Dau alistahili kudhalilishwa kiasi cha kupigwa marufuku kuhudhuria sherehe za ufunguzi wa hili Daraja. Pia sidhani kama Mheshimiwa Rais Magufuli atafurahia uamuzi huu wa uongozi mpya wa NSSF na Wizara.




Ni kweli alipigania na ku inflate cost ili ajineemeshe na kupigania kwake alimdhalilisha mheshimiwa rais wetu JPM wakati huo akiwa Waziri wa ujenzi,huyu dau ni wa kufungwa kifungo kisichopungua miaka 30.
 
We
Liyumba ajenge BOT twin towers? Na gavana je?

By the way usichanganye vimiradi vidogovidogo kama kujenga magorofa na miradi mikubwa yenye kuinvolve state of art technologies kama daraja la kigamboni.
Daraja hili halipo east and central Africa
N
We punguani huko East and centra afrika kuna kigamboni?wajenge tu madaraka hata pasipohitajika,East and central afrika kuna thika road?unajua hali ya kifadha Nssf baada ya kujenga miradi mungu ambayo hadi sasa hakuna hata senti inayorudi?
 
Weka orodha ya walioalikwa tuone kama jina lake halipo
 
Bw dau mwizi na fisadi la kupindukia ila kwa kuwa ni inter family na mkwere nothing will be wrong
 
nilisoma humu back the days kuwa kwenye uzinduzi wa hilo daraja Dr Dau alimwalika Kikwete na delegates wengine lkn kwa makusudi akamchunia Magufuli... so mkuki kwa nguruwe!. ..
 
Dr Dau si ameishaondoka hapo na nafasi yake kachukua mtu mwingine sasa aende kwenye uzinduzi kama nani? Ingawa kama atakuwa free siku hiyo anaweza kwenda kama raia wa kawaida au kwa nafasi aliyonayo sasa kama inahusiana na madaraja....

Ikumbukwe kuwa muda wote ambao Dr Dau alikuwa pale NSSF alikuwa analipwa mshahara na kila alichokifanya hakufanya kwa hisani bali kutimiza wajibu. Jina la Dr Dau litakumbukwa kwa mchango wake kufanikisha ujenzi wa daraja miaka mingi ijayo lakini sherehe za ufunguzi ni siku moja tu
Well said
 
Mbona yeye Dr Dau hskumualika JPM wakati akiwa waziri wa Ujenzi siku ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa daraja na Kigamboni???

Hivi kwanini huyu Dr Dau anatetewa kwa nguvu hivyo? Ni nini kimejificha nyuma ya utetezi huu?

Jamaa alishasema akichukua nchi MTALIMIA MENO mkafikiri eti anatania
ooh,kumbe analipiziwa kisasi,asee..!!
 
Je ni lini wanachama wa nssf tutaanza kuuziwa hisa za uwekezaji wa mtaji yetu ndani ya miradi yoote hii?
Nilitumai watu kuanza kulitafakari hili badala ya kukalia kumjadili mtu au tukio ambalo ni history tayari
 
kuna watu kama machizi, huyu Dau ndio nani kwani?hivi vikauli vyako vina itikadi fulani za kipumbavu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom