Tetesi: Dr. Ramadhani Dau apigwa marufuku uzinduzi wa Daraja la Kigamboni

Tetesi: Dr. Ramadhani Dau apigwa marufuku uzinduzi wa Daraja la Kigamboni

Status
Not open for further replies.
Si ajabu ndo siku ya kutumbuliwa, ni vyema asiende yasije yakamkuta kama yale ya chuo cha utumishi. Unatumbuliwa live bila chenva
 
CgMY_7bXIAAh3vy.jpg

Kuna habari zimeenea kwenye mitandao ya kijamii toka juzi kuwa Waziri wa Kazi na ajira Jenista Mhagama na Katibu Mkuu wa hiyo wizara Eric Shitindi wametoa agizo kwa shirika la NSSF wasimwalike aliyekuwa DG wa shirika hilo Dr Ramadhani Dau kwenye sherehe za ufunguzi wa Daraja hilo wiki Ijayo.

Ikumbukwe kuwa Dr Ramadhani Dau amepigania hili daraja lijengwe kwa miaka yote aliyokuwepo kwenye hilo shirika mpaka aliopoondolewa wiki chache zilizopita.Sitaki kuingilia ugomvi na vita vinavyoendelea kati ya akina Magori, Eunice Chieume, Jenista Mgahama na Eric Shitindi lakini kama ni kweli bas sidhani kama Dr Dau alistahili kudhalilishwa kiasi cha kupigwa marufuku kuhudhuria sherehe za ufunguzi wa hili Daraja. Pia sidhani kama Mheshimiwa Rais Magufuli atafurahia uamuzi huu wa uongozi mpya wa NSSF na Wizara.



haya bana,..endeleeni tu kuparurana. sisi tunasema mradi ni mardadi ila bei tumepigwa.
 
Mkuu unajua wangekufahamu wewe ni nani wasingechangia.Acha hizo umeshakua bhana

Tangu ule mjadala wa siku ile kuhusu possibility ya uteuzi wa Susan Rice au Kerry kama Secretary of State leo ndio nimekuona umeirudia tena hii ID.

Mwali na Bishanga baada ya kuvuliwa nguo walizifutilia mbali ID zao na sasa wako na ID nyingine zile.

Halafu kuna kitu ambacho sio kizuri kwa mtu wa Calibre yako hupaswi kukipandikiza hapa. Hebu tumia zile busara zako kama vile upo kwa ID yako Real mkuu.Acha hizo bhana

Ahahahaha kumbe? Bora afanye kama siye wengine.... Tulirejea JF tukiwa wapyaaa kabisa
 
haya bana,..endeleeni tu kuparurana. sisi tunasema mradi ni mardadi ila bei tumepigwa.

Je unajua kuwa hawa ni watoto wa MUNGU MMOJA?. NA MUNGU ALIWAPA AMRI KUU YA PILI KUWA WAPENDANE?. Pia unajua kuwa ni uzao mmoja wa IBRAHIMU?. Sasa ni wakati wa kuacha chuki na kufuata amri ya MUNGU inayogusa upendo wa kutoka moyoni. Upendo wa MUNGU. Nawapenda WAISILAMU nawapenda WAKRISITO. Tupendane wooooooote kabisa. Kama unampenda MUNGU mpende jirani yako. Mie ni mkrisito na NDUGU ZANGU NI WAISILAMU.
 
Ndugu huyo nakumbuka yuko nje kama balozi. Akialikwa kwa shughuli ya siku moja ya ufunguzi wa daraja la Kigamboni, safari ya kuja na kurudi gharama hiyo kwa maoni yangu ni matumizi mabaya ya pesa ya umma.
 
Hakuna chuki ya Dau, bali kuna chuki kali dhidi ya majizi yote akiwemo Dr Dau kama hawa, Liyumba, Chengeee, Tiba, Mkwele,Rizmoko and likes, ila ukivaa miwani ya udini huwezi kuzijuwa fact hizi hapa

Mattaka ndio amejenga PPF Tower na Geneva of Africa Arusha na tumemtia jela

Pili Liyumba ndio amejenga Bot twin tower na jiji kupendeza na tumemtia jela pia.

Sasa ni zamu ya Dr Dau kunyea debe.
Wapuuzi wote ambao hawawezi kujenga hoja wala kuwa na akili fikirishi ambazo zitawatoa nje ya makundi ya kiitikadi na ya kidini na wakaweza kukubalika na makundi yote.

Nyerere aliweza, wakati wake aliweza kukaa na wazee wa Dar akanywa nao kahawa na kucheza nao bao, aliweza kukaa na wasomi wakamuelewa, ila hawa waso na hoja jadidi wanaotetea wahalifu kwa misingi ya imani ni wabaya kuliko hata majizi yenyewe. Ukiwa na akili timamu na unaipenda nchi yako tena una uzalendo moyoni unaweza kumsifia mtu aliyenunua heka moja ya ardhi kwa shilingi takriban billion moja?
 
Wanaweza kwenye miradi mbalimbali ili kupata faida ya kuwalipa wanachama wao
Hakuna lolote wewe ahawa jamaa wanawekeza ktk miradi kwa ajili ya 20% wanachama wanacholipwa ni UPUUZI mtupu na manyanyaso juu!
 
Wapuuzi wote ambao hawawezi kujenga hoja wala kuwa na akili fikirishi ambazo zitawatoa nje ya makundi ya kiitikadi na ya kidini na wakaweza kukubalika na makundi yote.

Nyerere aliweza, wakati wake aliweza kukaa na wazee wa Dar akanywa nao kahawa na kucheza nao bao, aliweza kukaa na wasomi wakamuelewa, ila hawa waso na hoja jadidi wanaotetea wahalifu kwa misingi ya imani ni wabaya kuliko hata majizi yenyewe. Ukiwa na akili timamu na unaipenda nchi yako tena una uzalendo moyoni unaweza kumsifia mtu aliyenunua heka moja ya ardhi kwa shilingi takriban billion moja?
Mkuu kuna vijitu vina akili ya kuku kweli kweli humu! hata ukimwambia facts kwa kuwa ni.... basi wanatetea kwa nguvu zote! Mie namshukuru Mola hakunipa akili KUTU kama zao!
 
CgMY_7bXIAAh3vy.jpg

Kuna habari zimeenea kwenye mitandao ya kijamii toka juzi kuwa Waziri wa Kazi na ajira Jenista Mhagama na Katibu Mkuu wa hiyo wizara Eric Shitindi wametoa agizo kwa shirika la NSSF wasimwalike aliyekuwa DG wa shirika hilo Dr Ramadhani Dau kwenye sherehe za ufunguzi wa Daraja hilo wiki Ijayo.

Ikumbukwe kuwa Dr Ramadhani Dau amepigania hili daraja lijengwe kwa miaka yote aliyokuwepo kwenye hilo shirika mpaka aliopoondolewa wiki chache zilizopita.Sitaki kuingilia ugomvi na vita vinavyoendelea kati ya akina Magori, Eunice Chieume, Jenista Mgahama na Eric Shitindi lakini kama ni kweli bas sidhani kama Dr Dau alistahili kudhalilishwa kiasi cha kupigwa marufuku kuhudhuria sherehe za ufunguzi wa hili Daraja. Pia sidhani kama Mheshimiwa Rais Magufuli atafurahia uamuzi huu wa uongozi mpya wa NSSF na Wizara.



NSSF ni taasisi sio mtu binafsi. Serikali haiko obliged kumualika mtu ambaye hayuko tena huko.
 
Unataka Dau aende lama nani kama Dg au kama mwanachi wa kawaida au kama barozi wa nchi x?
 
Kama ni kweli ni dharau sana. Baniani mbaya kiatu chake dawa
 
Kama ni kweli ni dharau sana. Baniani mbaya kiatu chake dawa

Mkuu..
Huyu jamaa ni mchochezii hakuna ukweli hapo anajaribu kuendelea kumchafua ndugu Dau,
Kiufupi fatilia kama kuna pahali amejibu/comment hii hoja yake chochezi/yakutunga tokea haiweke..
 
Unajua Gharama za ujenzi zitarudi baada ya miaka mingapi ili nssf waanze kupata faida.
Kumbuka pia kuwa ujenzi wa madaraja is not their core business. Kuwekeza mitaji mikubwa ktk non core businesses kunaweza kulifilisi shirika.

Absolutely true: Ujenzi wa Hosteli za wanafunzi, Mabibo na ujenzi wa UDOM. Daraja Kigamboni, EGO Village etc yote ni miradi ya fedha nyingi sana na ROI (Return on Investment) itachukua muda murefu sana. NSSF ni shirika lililo-kuwa trusted kushikilia akiba za uzeeni za wananchi wengi watanzania. Sijui kwenye Board of Trustee ya shirika hili wawakilishi wa Wafanyakazi wana nafasi gani kwenye maamuzi? Mifuko mingine kama LAPF wameshafikia hatua ya kuwaruhusu wafanyakazi ku- draw up to 50% ya contributions azao wanapo- attain age fulani, lakini si NSSF wao memekomaa na miradi isiyokuwa na direct benefit kwa wafanyakazi
 
Duu, huyu mtoa maada amulikwe, anaweza kuwa shahidi mzuri sana. Who is Dau anyway?? A THIEF!! Mtu utatumiaje hela za watu at an inflated rates na kufanyia vikao vya bodi DUBAI, halafu unataka ukumbukwe,, KWA LIPI? UBADHIRIFU.?
Kwa lipi mdau KWA LIPI?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom