Tetesi: Dr. Ramadhani Dau apigwa marufuku uzinduzi wa Daraja la Kigamboni

Status
Not open for further replies.
Liyumba ajenge BOT twin towers? Na gavana je?

By the way usichanganye vimiradi vidogovidogo kama kujenga magorofa na miradi mikubwa yenye kuinvolve state of art technologies kama daraja la kigamboni.
Daraja hili halipo east and central Africa
 
Naona mmeumbuka Dr Dau kaongea na Kasifiwa kwa kazi yake nzuri iliyo tukuka...!
 
Dau alikuepo kaongea, aka pga na quotes flan hvi, so ata haikawa hvo
 
Haya maneno ndio wanatakia akina Mohamed Said wawe wanafikiria kwanza kabla ya kuanza kuandika habari za kiswahiba,hawajui kwamba wanazidi kumpaka matope Dr Dau kwa kujifanya wao ndio watetezi wake wakati yeye kakaa kimya tu.Ni wangapi wameifanyia mema nchi hii na wapo wapo tuna hatusikia wapambe wakiandika unafiki humu,huyu Dau ana kipi zaidi?msituletee mambo ya Saigon hapa.
 
Wamuue, wamfunge, walibomoe Daraja bado historia yake Itabaki pale pale!
Wamuue kwa kitu gani?Muumba peke yake ndio mwenye uwezo wa kutoa roho,acheni upambe na hakuna atakaye mjadili humu jua mazidi kuwaudhi watu kwa kutaka kumfanya Dr Dau malaika,unaweza ukatenda mengi mazuri na lakini baya moja ndio likakuchafua zaidi ,uatake usitake jamaa yako ni mchafu.
 
Kuna chuki kali sana dhidi ya Dr Dau, hilo liko wazi.
Hata wasipomualika, ukizungumzia ujenzi wa daraja la Kigamboni, JK, JPM na Dr Dau majina yao yataandikwa kwenye kurasa za dhahabu
Mpambe /mnufaika utamjua tu
 


KWA THREAD HII INADHIHIRISHA WAZI CHUKI NA WIVU WA WATU FLANI KUHUSU DAU NAIMANI HUKO ULIKO UNAJUTIA SANA MUNGU HAMFICHI MTU MBAYA.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…