Kwa jinsi baadhi ya watu wanavyoandika kwa kejeli, ni wazi waliomuua hawakuwa majambazi......ndo maana polisi wamekamata mapanga lakini laptop haisemwi. Something is very wrong somewhere....
RIP Dk S. Mvungi.....
"Dr Sengondo Mvungi Is NO MORE, Allah ailaze Roho Yake Mahali Pema Peponi " - From SA Milpark Hospital
Source: Hussein Bashe Tweet todat at 16:51
Ooh, Dr. Mvungi,
Uliponambia ndoto yako ya kuona taifa linakuwa na katiba mpya unaiona ikitimia wakati wa uhai wako, sikujua kuwa hayo ndio maneno ya mwisho kwangu kutoka kwako...
Machungu ya kukupoteza yananielemea. Nakuombea kwa Mungu akupe pumziko jema milele, amina.
Poleni wanafamilia,
Poleni Tume ya Katiba
Poleni Chuo Kikuu cha Bagamoyo
Poleni watanzania wenzangu wote.
Mkuu CDM imengiaje hapo??? I bet you don't have a brain at all (Robot).
Mi nahisi siyo wenyewe. Watu watabambikiwa tu kesi hapo.
Mi nahisi siyo wenyewe. Watu watabambikiwa tu kesi hapo.
Dah! Walimu wangu mbona wanafariki kiaina hivi?
Kwa mujibu wa Mwananchi, Mkurugenzi wa Katiba, Sheria na Haki za Binadamu wa NCCR-Mageuzi, Dk Sengodo Mvungi amefariki dunia leo alasiri nchini Afrika Kusini alipokuwa akipatiwa matibabu baada ya kujeruhiwa na watu wanaosadikiwa ni majambazi.
Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na Mwenyekiti Taifa wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia.
Dk Mvungi ambaye pia alikuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba alijeruhiwa kwa kukatwa na mapanga kichwani Novemba 13, mwaka huu nyumbani kwake Kibamba Msakuzi, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam na kulazwa Taasisi ya Mifupa ya Muhimbili (Moi) na baadaye kuhamishiwa Hospitali ya Milpark, Johannesbarg, Afrika Kusini.
Chanzo: Dk Mvungi afariki dunia - Matukio ya Kusisimua - mwananchi.co.tz