TANZIA Dr. Sengondo Mvungi afariki Dunia

TANZIA Dr. Sengondo Mvungi afariki Dunia

poleni sana familia ya Dr Mvungi na watanzania kwa ujumla.
 
kwenye hili la Dr mvungi bwana alitoa tu lakini hakutwaa , bali wamemuua .

Mkuu,

Nakubaliana na wewe. Ukweli ni kwamba there must be a point of our departure no matter what is the cause, in fact, there must be a cause.

Tunaungana na wafiwa ktkt hili zaidi Mungu akiwa ndiye mfariji mkuu.

Jambo moja najua ' auaye kwa upanga atauawa kwa upanga'
 
Oh my God......he is dead.??? Huu ni uzembe wa serikali kufukia matukio makubwa ......ulimboka alipona...kibanda kadhalika...Mungu atawalipa tu siku c nyingi....daah....i pray siku moja haya yamkute kova ndo wajue umuhimu wa usalama na ufatiliaji wa kesi za watu
 
Nadhani sasa Dr Mvungi amepumzika.

Majeraha ya upanga yangeendelea kumtesa muda mrefu.

Amelinganisha kati ya kubaki na kwenda, akaona itafaa zaidi akienda.

Nadhani amemhurumia sana mkewe akijua kuwa angeumia sana kumuuguza maisha yote na familia nzima ingekuwa katika maumivu.

Atakuwa pia ameona haifai kuonana na wauaji wake katika dunia hii, pia ameona roho yake inasita kusalimiana na waliomtuma muuaji na kuonana nao uso kwa uso.

Binafsi namuunga mkono. Ni bora tu ameenda.
Duniani huku kuna mateso na taabu. More you live more you expose yourself to trouble and agony.

Mateso yamekwisha.

Kwanini kusumbua watu bana!...hata ningepona hapa hospitali ni lazima ningekuja kufa siku ingine, sasa kwanini kuwaliza watu multiple times.

Hata hivyo nimeweka kumbukumbu yangu ya kutosha. Kama ni wa kuelewa wameelewa...tofauti na hivyo wasingekaa waelewe hadi dahari.

Kutafuta mno ukweli na haki kuna gharama yake, huenda labda ndio nalipia.

My Promotion to Glory...No more trouble!
 
Nadhani sasa Dr Mvungi amepumzika.

Majeraha ya upanga yangeendelea kumtesa muda mrefu.

Amelinganisha kati ya kubaki na kwenda, akaona itafaa zaidi akienda.

Nadhani amemhurumia sana mkewe akijua kuwa angeumia sana kumuuguza maisha yote na familia nzima ingekuwa katika maumivu.

Atakuwa pia ameona haifai kuonana na wauaji wake katika dunia hii, pia ameona roho yake inasita kusalimiana na waliomtuma muuaji na kuonana nao uso kwa uso.

Binafsi namuunga mkono. Ni bora tu ameenda.
Duniani huku kuna mateso na taabu. More you live more you expose yourself to trouble and agony.

Mateso yamekwisha.

Kwanini kusumbua watu bana!...hata ningepona hapa hospitali ni lazima ningekuja kufa siku ingine, sasa kwanini kuwaliza watu multiple times.

Hata hivyo nimeweka kumbukumbu yangu ya kutosha. Kama ni wa kuelewa wameelewa...tofauti na hivyo wasingekaa waelewe hadi dahari.

Kutafuta mno ukweli na haki kuna gharama yake, huenda labda ndio nalipia.

My Promotion to Glory...No more trouble!

Maneno yako yana ukweli ulitulia 100% mkuu, heri kule kuliko huku kwenye mateso mengi hasa majeraha ambayo yangemsababishia depression.
Tangulia baba wengi tupo nyuma yako twaja! Yamekwisha!!

Msiba Tume ya Katiba: Dk. Sengondo Mvungi afariki Duania Afrika ya Kusini
 
Mkui PakaJimmy umeniliza. Tumuombee akakapumzike kwa.amani. RIP Dr.
 
A very sad news for the members of the Bar, we shall miss you brother!! May your soul rest in peace!!
 
Kitu ambacho siwezi kuafiki juu ya madhira yaliyomkumba Dr.Mvungi kuwa yote haya yalifanywa hili kukwapua simu na laptop au kopora fedha.Ni kitu ambacho kamwe sitokaa kuafiki,nadhani kuna motive kubwa zaidi ya vitu tajwa hapo juu,ukizingatia jukumu alilokabidhiwa lilikuwa ni muhimu na nyeti kwa mustakabali wa taifa letu.Kifupi waliotenda unyama huu walikusudia na inawezekana kuna mtu aliyesanifu na kufadhili unyama huu Kwa maslahi yake au taasisi aliyomo.RIP doctor.
 
Poleni sana familia ya dr.Mvungi.lkn binafsi nina mashaka na tukio zima la kushambuliwa kwa dr.Mvungi,inakuwaje mtu mwenye ulinzi wa serikali akavamiwa kienyeji namna hiyo.?very sad! R.I.P dr.Mvungi.
 
R. I. P Dr. Mvungi. Mwenyezi peke yake ndiyo atalipiza kisasi kwa waliotenda uharamia huu, ikiwa ni pamoja na waliowatuma na kuwalipa ujira. Hata vyombo vya usalama kwa kutotimiza wajibu wao wa kulinda raia na mali zao wasidhani wako salama mbele za Mungu.
 
Back
Top Bottom