Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwenye hili la Dr mvungi bwana alitoa tu lakini hakutwaa , bali wamemuua .
R.I.P mkuuOoh Jesus!
Umlaze mahali pema peponi eeh Mungu
Nadhani sasa Dr Mvungi amepumzika.
Majeraha ya upanga yangeendelea kumtesa muda mrefu.
Amelinganisha kati ya kubaki na kwenda, akaona itafaa zaidi akienda.
Nadhani amemhurumia sana mkewe akijua kuwa angeumia sana kumuuguza maisha yote na familia nzima ingekuwa katika maumivu.
Atakuwa pia ameona haifai kuonana na wauaji wake katika dunia hii, pia ameona roho yake inasita kusalimiana na waliomtuma muuaji na kuonana nao uso kwa uso.
Binafsi namuunga mkono. Ni bora tu ameenda.
Duniani huku kuna mateso na taabu. More you live more you expose yourself to trouble and agony.
Mateso yamekwisha.
Kwanini kusumbua watu bana!...hata ningepona hapa hospitali ni lazima ningekuja kufa siku ingine, sasa kwanini kuwaliza watu multiple times.
Hata hivyo nimeweka kumbukumbu yangu ya kutosha. Kama ni wa kuelewa wameelewa...tofauti na hivyo wasingekaa waelewe hadi dahari.
Kutafuta mno ukweli na haki kuna gharama yake, huenda labda ndio nalipia.
My Promotion to Glory...No more trouble!