Elections 2010 Dr. Shein aibuka kidedea; kuiwakilisha CCM urais Zanzibar 2010

Elections 2010 Dr. Shein aibuka kidedea; kuiwakilisha CCM urais Zanzibar 2010

Mkkj,

..kwa tabia zake za upendeleo kwa wa-Zenj zilizojionyesha alipokuwa Katibu Mkuu wa wizara ya elimu ya juu ni bora Dr.Bilal akabakia hukohuko Zenj.

I could not agree with u more thanks mkuu
 
Kwa hiyo nini future ya Karume (raisi wa sasa wa Zanzibar)?

duh.. huyu nilishamsahau.. nilifikiria ukitoka Urais wa Zanzibar anaenda kuretire tu.. ila last year alikuwa anapitishwa pitishwa sana bara kwenye shughuli shughuli so.. yawezekana kabisa ndiyo atakuwa mgombea mwenza.

Mimi nafikiri wamefanya kosa kubwa kumuweka Shein kule kugombea. Hili litakiwa libakia kuwa la kina Bilal, Vuai na wengine huko.. lakini kwa kumuweka Shein wamekoroga tu kwa sababu Vuai is controversial kwenye masuala ya Muungano.. binafsi simtaki.
 
duh.. huyu nilishamsahau.. nilifikiria ukitoka Urais wa Zanzibar anaenda kuretire tu.. ila last year alikuwa anapitishwa pitishwa sana bara kwenye shughuli shughuli so.. yawezekana kabisa ndiyo atakuwa mgombea mwenza.

Mimi nafikiri wamefanya kosa kubwa kumuweka Shein kule kugombea. Hili litakiwa libakia kuwa la kina Bilal, Vuai na wengine huko.. lakini kwa kumuweka Shein wamekoroga tu kwa sababu Vuai is controversial kwenye masuala ya Muungano.. binafsi simtaki.

Sema wazi mkuu ni kigeugeu nini Vuai?
 
Mkuu Invisible,

Ni saa 12 jioni Tanzania na:

There are currently 250 users browsing this thread. (69 members and 181 guests)

Obuntu,Njilembera,Ndamwe,SILENT WHISPER,KEIKEI,Shagihilu,MawazoMatatu,Gaijin,Kingwele,Easymutant,chapa,Eddie,Saharavoice,kipipili,De javu,Limbani,Jasusi,mwandupe,Mama 5J's,Roya Roy,nguvumali,Awo,Hofstede,lyangalo,Natasha Ismail,Belo,Mganyizi,Kinyambiss,ELNIN0,Mkaguzi,Mathias,Kiazi Kikuu,Akili Unazo!,Liz Senior,Jituoriginal,Marigwe,Butola,BornTown,Chiluba,Mike-Austin,Arsene Wenger,Domhome,Ngongo,hope 2,Chacha wa Mwita,Sabasaba,MJM,nyabina,Bob Nash,kashwagala,Thadeus,N-handsome,Kaitaba,Middle,DOUGLAS SALLU,Kyachakiche,Dfour,RedDevil,kasyabone tall,Mess,The Good,KAPONGO,care4all,abdu,Mkungo,m-bongotz,Shalom,

Note: Mbona Wageni ni WENGI zaidi?
 
Duh Mohammed aboud katoswa!? Sishangai sana lkn anasifa zote zisizopendwa na ccm znz

Hana asili ya afro shirazi

Ana asili ya kisiwa cha pili

Ana asili ya bara arabu
 
Jamani.. basi muwe mnafuatilia ratiba ya kutangazwa wagombea.. lililofanyika leo ni kuwasikiliza watarajiwa, kuwachuja na kubakisha majina matatu ambayo yatapelekwa kwenye NEC kupigiwa kura na Mkutano Mkuu itakapofika J'pili ndiyo utatangaza for sure wagombea wake wote ikiwepo mgombea mwenza wa JK. Mimi niko interested zaidi kujua nani atakuwa mgombea mwenza kwa sababu kama Shein atakuwa mgombea wa Zanzibar Dr. Bilal anaweza kuwa Mwenza wa Kikwete.. sidhani kama watamtupa safari hii lazima atoke na consolation prize.

Binafsi naamini tunamhitaji Bilal zaidi kwenye Muungano kuliko wanavyomhitaji Zanzibar

Mzee Mwanakijiji,

Kikao cha NEC kinafanyika leo kwahiyo kitatangaza jina la mgombea wa CCM kwenye uchaguzi wa rais kwa Zanzibar. Hawawezi kukaa kimya mpaka Jumapili maana siri itavuja.
 
Na mwandishi wetu.
Emanuel Sukariguzi

Habari kutoka Dodoma zinasema kuwa dalili zote zinaonyesha kuwa makubaliano ya ndani kabisa ya CCM ni kumpitisha Dr Shein.

Shein ambae alikuwa amezingirwa na wapinga maendeleo yake huku akishutumiwa na kukandamizwa kwa sababu mbali mbali ikiwemo ile ya kuonekana kuwa ni mpemba.Hali iliyowafanya wapenda maendeleo wa Zanzibar akiwemo Dr Salmini Amour kutoikubali na kulazimika kuhamia upande wa Shein katika kumuunga mkono.

Pia hali iliyokuwa imezingira wakutanaji wa mkutano huo ni kule kuhudhuriwa na wakuu wa walioshiririki Mapinduzi ya kumuondoa mkoloni mwarabu ,Mheshimiwa Moyo na Mheshimiwa Natepe ,waliosikika wakieneza umoja wa kulaani sumu ya upemba na uunguja kwa kuwataka wapiga kura kutokumchagua yeyote yule anaeonekana ni mwenye kupandikiza chuki za aina hio.

[FONT=ArialMT, sans-serif]Minong'ono ya ndani inadai sababu kubwa ya kutaka Dk. Shein ateuliwe kugombea nafasi hiyo, kwanza ni kudumisha umoja na mshikamano visiwani na pili kutaka kuendeleza yale ambayo tayari yamefanyika[/FONT].

Habari ambazo zimepatikana kutoka ndani ni kuwa tayari uhakika wa ushindi wa Shein umeshahakikishwa iliyobaki ni utekelezaji tu.
 
Heeee..... si tumesikia ni mpaka jumapili!!!!

Go Shein Go...
 
Mkulima.. lakini ni Mkutano Mkuu wa CCM ndio unapiga kura kumchagua nayo ni kesho.. maana NEC ilikuwa ichuje majina matatu tu au ndio wamebadili utaratibu tena?
 
Kwa hiyo nini future ya Karume (raisi wa sasa wa Zanzibar)?
Future ya nini tena wakati atakuwa mstaafu, kwani future ya mstaafu ni nini. au mpaka afie ofisini? ameshakuwa rais kwa miaka kumi that is enough. Kwani future ya Salmini ilikuwa nini?
 
Mkuu Invisible,

Ni saa 12 jioni Tanzania na:

Note: Mbona Wageni ni WENGI zaidi?


Usidhani ni sisi tu mkuu, wengi tu tuliokuwa tunawaita wapiga chabo, wanataka kujua muelekeo wa moshi mweupe!!
 
Kule kwenye jamvi la kisiasa mkuu Mwiba amemwaga "razi": Shein kaibuka kidedea!!!

Nina walakini, kuna yeyote mwenye different results?!!
 
Jamani!
Kichwa cha habari kimenistua sana.ATI "MZEE WA MIKASI"........ nilishtuka kidogo!
 
Mbona title haiko related?




FAITH GIVES SUBSTANCE TO OUR HOPES AND MAKES US CERTAIN OF REALITIES WE DO NOT SEE
 
hamna , hayo ni matarajio na mapenzi yako kwa Dr Shein, hakuna kinachoendelea kama taswira na fikra zako zinavyotamani hali iwe.
 
Mkulima.. lakini ni Mkutano Mkuu wa CCM ndio unapiga kura kumchagua nayo ni kesho.. maana NEC ilikuwa ichuje majina matatu tu au ndio wamebadili utaratibu tena?

Mzee Mwanakijiji,

HAPANA, nafikiri umechanganya kidogo juu ya hili. Kwa wagombea wa urais wa Zanzibar mchakato ni kamati kuu kuchuja majina na kubakiza matatu. Hii kamati kuu imefanyika leo na kulingana na Invisible waliopelekwa mbele ni Dr. Shein, Dr. Bilali na Nahodha kama sijakosea.

Baada ya hapo ni NEC ambayo inachagua mgombea kwa Zanzibar na kupendekeza wagombea kwa Tanzania. Mgombea wa Tanzania nzima ndio anachaguliwa na Mkutano Mkuu.
 
Jamani matokeo vp? Kikao nasikia kimeisha au bado kinaendelea?
 
je kuna taarifa yoyote mpya kabisa kutoka Dodoma.

Taarifa ya nini wakati ni Shein? Unategemea Shein ataanguka? MAKAMU WA RAIS alipokwenda kuchukuwa form mlifikiri wanabahatisha? Mambo yooooooooooooote yalishaisha kinachofanyika sasa ni formalities tu
 
Back
Top Bottom