Future ya nini tena wakati atakuwa mstaafu, kwani future ya mstaafu ni nini. au mpaka afie ofisini? ameshakuwa rais kwa miaka kumi that is enough. Kwani future ya Salmini ilikuwa nini?
future ya madarakaaaaa, sio ya fedha bwana na pia ya kulinda maslahi yetu, unajua tunavyo fanya haya mambo tunakuwa na mipango ya muda mfupi na pia ya muda mrefu. dynasty huanza vipi ?
Salim hakuchanga karata zake vizuri au ule wakati hakumpa nafasi hiyo.
Ndio maana unaona sera zetu ukitoka kuwa mkurugenzi wa shirika au katibu mkuu wa wizara, unafuatia ubunge, halafu uwaziri, ukikosa huko ukuu wa mkoa, mwenyekiti wa bodi, ubalozi nk nk ili mradi mambo yazunguke kwenye kikundi chetu. na mikataba yetu na watoto wetu.
